The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
Wewe mnyakyusa?Pepsi baridi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mnyakyusa?Pepsi baridi
NdiyoWewe mnyakyusa?
Nakusalimu mwakatobeNdiyo
😂😂😂😂👍Nakusalimu mwakatobe
Ofisini kahawa kikombe 1 ( black) na maji walau lita 1 kila siku. Baada ya kazi jioni ni Serengeti lights baridiii zisizozidi 3 au 4 safi.Binafsi hunywa sana tangawizi iliyochanganywa na Pilipili manga pamoja na asali; kuanzia asubuhi hadi ofisi kufungwa naweza kunywa galoni moja au zaidi. Mara moja moja jioni baada ya kazi huwa nakunywa Bia - "He was a wise man who invented beer." Bia zangu ni lager na light tu.
Hata kahawa huwa pia nakunya nikiwa kazini. Ila coffee maker ya ofini kwangu binafsi huwa inatengeneza tangawizi tu, hata hivyo nikienda common room huko huwa nakunywa kahawa pamoja na wafanyakazi wenzanguOfisini kahawa kikombe 1 ( black) na maji walau lita 1 kila siku. Baada ya kazi jioni ni Serengeti lights baridiii zisizozidi 3 au 4 safi.