Kioja cha Tanzania kuogopa Waarabu kimetoka wapi?

Kioja cha Tanzania kuogopa Waarabu kimetoka wapi?

Waarabu na wazungu wamefanya biashara ya watumwa. Hiyo haifutiki hata miaka 100%.
Miaka hii 2023, Ni rahisi sana muafrika kuishi kwenye nchi ambazo siyo za waarabu akazaa na akawa kizazi chake, Marekani, canada, australia, uingereza n.k ila siyo nchi za waarabu zenye waislamu wengi. Mfano hai Tunisia. Watakuua ili kizazi cha kiarabu kisipotee. Kuna mwarabu wa kiislam alimchoma mwafrika kisu, wakitaka waondoke hawawataki waafrika.
Shida yenu mkiwa kwenye dini ya waarabu na nyie mnajifanya waarabu wakati wenyewe hawawataki.
Nikikuwekea visa ya nchi yoyote ya uarabuni na Marekani au Canada, utaenda Marekani au Canada.
Mimi nakwambia biashara ya watumwa tunayoizungumzia ni ya wazungu kuwataja waarabu kwa huku Afrika Mashariki ni vita ya kidini kati ya wakristo na waislamu.Waarabu waliwahi kuwa na watumwa lakini huko kwao kabla ya Mtume Muhammada s.a.w .Hiyo sisi haituhusu.
Ugomvi wa mtu mmoja kumchoma mwenzake kisu huko Tunisia umefanya ndio ushahidi wa waarabu kuwachukia waafrika.Hujaona makumi ya watu weusi wanaouliwa kinyama huko Marekani tena na vyombo vya dola kabisa.Halafu zaidi watunisia ni waafrika kama sisi.kama kulikuwa na ugomvi yawezekana ni wa aina nyengine sio kwa ajili ya uarabu na uafrika.
Uislamu sio dini ya waarabu kama unavyosema wewe,hii ni dini ya walimwengu wote.Hebu weka hivyo visa vya waarabu tutafute ukweli kama ni kweli au ni vile vile vita vyenu vinaendelea. vya kusingizia watu uongo kwa makosa ya watu wengine.
 
Kwaiyo kwa vile wazungu wametupiga Sasa iwe zam ya wa arabu?
Hapana cjamaanisha hilo ila watu wamekuwa wabaguzi sana kitu ambacho kinaichafuwa nchi katika sura ya kimataifa inaonekana cc Kuna wawekezaji tunawabagua
 
mkuu mimi napambana na laki 8 kuna kipindi inakuja mpaka sita harafu ina drop mpaka laki najikakamua inakwenda nne inashuka, yaan kama masika vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani kinachofanya Kenya iwe kimbilio la watu ni nini? Au Kenya kuna Waarabu? Au umeamua kufungia ubongo wako kabatini?

Sent from my 2107113SG using JamiiForums mobile app
 
Kwa namna zote inaonesha wapinzani wa mkataba wa DP world hawana hoja zaidi ya kwamba huo mkataba wa uwekezaji mkubwa unahusisha nchi ya kiarabu. Inashangaza kwamba mikataba kama hiyo ilikwishafanyika nchi za jirani na Tanzania miaka kadhaa iliyopita na hakukuwa na kelele.

Kama kuna nchi zingekuwa na hofu na waarabu basi ingekuwa ni Kenya na Rwanda kwani uhusiano wa nchi hizo na waarabu ni wa chini kuliko wa Tanzania.

Waarabu ni waasisi wa shughuli karibu zote za kiuchumi ikiwemo biashara na kilimo kwa Tanzania..Zaidi ya hivyo Tanzania ina idadi kubwa sana ya raia zake wenye asili ya kiarabu.

Iwapo Uiengereza haina tatizo kutawaliwa na viongozi wake wakubwa wenye asili ya Tanzania na Kenya na India.Tanzania ina ujinga gani na umetokea wapi wa kupinga kila mradi unaotokana na waarabu.

Mimi natilia shaka kwenye vitabu vya historia vinavyofundiswa mashuleni kwetu.Kuanzia sasa somo la historia lenye kutaja ujinga na chuki vifutwe kabisa.
Kanisa.
 
Sio kweli kuna kampuni ya mafuta nimefanya kazi ni ya waarabu na HR ni mkristo tena mlokole jmosi Haji kazini na wakristo wapo wa kutosha Tu na Hakuna mtu anayebugudhiwa dini yake
Tatizo lenu nyie shule ina wasumbua sana halafu kingine huwa mnahisi mnatengwa.
Hili suala walizungumzia imani tv ila katika maelezo ya shule ina wasumbua sana.
Mikataba yote ilishawahi kusainiwa kwanini huu wananchi wamegoma? Wanakuja na udini mara wakristo, na blah blah zingine
Weka mkataba mezani, tuuchambue km wasomi.
Mkataba hauna ukomo, hauelezei nchi itanufakaje. Huu mkataba wapelekee zanzibar nao wanabandari
 
Ajabu kubwa hii iliyopo Tanzania.Yaani tumekuwa na chuki na visasi vya ngamia.Unamuona mtu yupo kimya kumbe anadoelea nafasi tu atoe chuki za moyoni mwake.
Shida yenu nyie shule inawasumbua. Umeshupaza shingo na kujifananisha na wewe ni mwarabu.
Huo mkataba wa watu ambao hawajaenda shule pelekeni Zanzibar, huko ambao kuna watu wana elimu ya madrasa
1. Huwezi kutuletea mkataba ambao hauna ukomo wa muda.
2. Mkataba hauoneshi nchi na watanzania tutanufaikaje.
 
Tatizo lenu nyie shule ina wasumbua sana halafu kingine huwa mnahisi mnatengwa.
Hili suala walizungumzia imani tv ila katika maelezo ya shule ina wasumbua sana.
Mikataba yote ilishawahi kusainiwa kwanini huu wananchi wamegoma? Wanakuja na udini mara wakristo, na blah blah zingine
Weka mkataba mezani, tuuchambue km wasomi.
Mkataba hauna ukomo, hauelezei nchi itanufakaje. Huu mkataba wapelekee zanzibar nao wanabandari
 
Tatizo lenu nyie shule ina wasumbua sana halafu kingine huwa mnahisi mnatengwa.
Hili suala walizungumzia imani tv ila katika maelezo ya shule ina wasumbua sana.
Mikataba yote ilishawahi kusainiwa kwanini huu wananchi wamegoma? Wanakuja na udini mara wakristo, na blah blah zingine
Weka mkataba mezani, tuuchambue km wasomi.
Mkataba hauna ukomo, hauelezei nchi itanufakaje. Huu mkataba wapelekee zanzibar nao wanabandari
Naamini una tatizo la uoga. Kuujadili mkataba utake wewe halafu unataka niuweke mimi "mezani"? Una akili sawasawa?

Shule imsumbuwe aliyeianzisha? Fikiri.

Mimi nataka wewe usiyesumbuliwa na shule, tuongee kishule.

Wewe una dini?
 
Naamini una tatizo la uoga.

Shule imsumbuwe aliyeianzisha? Fikiri.

Mimi nataka wewe usiyesumbuliwa na shule, tuongee kishule.

Wewe una dini?
Mtu muoga na aliyesumbuliwa na shule huuliza kuhusu dini. Wasomi hawaulizi kuhusu dini.
 
Mtu muoga na aliyesumbuliwa na shule huuliza kuhusu dini. Wasomi hawaulizi kuhusu dini.
Kajisome tena uone ulichoandika, neno "udini" kalileta nani?

Ukishajuwa aliyelileta, sasa nijibu, wewe una dini?
 
Back
Top Bottom