Kioja cha Tanzania kuogopa Waarabu kimetoka wapi?

Kioja cha Tanzania kuogopa Waarabu kimetoka wapi?

Ukiingia kwenye ndege zinazokuja Tanzania sisi wenyewe hatuzidi hata 10%.Ndege karibu yote ni wageni ama wachina wanaofanya biashara Tanzania.Lakini nchi za wenzetu ukienda wenyeji mara zote wanazidi 50%. Si umaskini wa pesa tu hata kisiasa tuko nyuma sana.Tunashupalia historia za kizushi tu.
Ningekuwa mchoraji mzuri ningechora mchoro wa bandari ya Tanzania itakavyokuwa mwaka 2028 kwa upuuzi wetu dhidi ya bandari kavu ya Rwanda itakayochukua mizigo kutoka Kenya.Yetu itakuwa kama kijiji cha wavuvi na wasafriri wa majahazi
Nilipita transit mchi moja mwezi uliopita nikamuona msanii mmoja mchekeshaji ana madevu halafu ndege nzima yeye ndio kavaa hooded sweater kwenye joto kali halafu kajifunika kichwa utafikiri anavamia benki

Yaani kama ndio kaanza kusafiri anavyopepesa macho
Wabongo wengi ni ujanja na kejeli ila hakuna kitu ni wachache sana wametoka nje
 
Utumwa hasa ulikuwa wa wazungu kununua waafrika kule magharibi ya Afrika na tena kwa kutumia nembo ya dini ya Ukristo..Na Kwa Tanzania na ukanda wa Afrika mashariki ni hao hao waliokuwa na soko kubwa ndani ya kanisa kule Unguja.
kama nilivyosema hapo juu, hauamini kama mwarabu anaweza kufanya kitu kibaya. umesahau kuwa waarabu ndio waliouza wabongo kuliko hata wazungu. route zote za bara toka pwani hadi ujiji, ni waarabu walipita wakikusanya wabongo kupeleka zanzibar kuwauza. ndio maana nimesema mwarabu hata akitoa harufu huwa mnasema pafumu. hakuna anayemkataa mwarabu kuwekeza, tunakataa vipengele vya mkataba. akili yako ndogo sana.
 
Mkuu exposure hawana kabisa, kuna mmoja kanitukana anafikiri nina kadi ya kupigia kura [emoji1] [emoji1787] ya huko poor sod

Hajui niliondoka wakati Baba yake yuko shule ya msingi

Mimi sisomi vitabu bali huwa naangalia passports zangu Tatu zilizojaa hiyo ni elimu tosha ila wengi kuvuka borders wanaona ni jambo gumu sana
sasa kama wewe ulishaondoka bongo, nchi yetu inakuhusu nini? ninyi ndio mnaofanya hata uraia wa nchi mbili uchelewe, kwasababu ya akili kama hiii. mkiondoka hamuoni uthamani wa nchi yenu, pamoja na kwamba hata huko ulipo wewe ni second class citizen tu.
 
kama nilivyosema hapo juu, hauamini kama mwarabu anaweza kufanya kitu kibaya. umesahau kuwa waarabu ndio waliouza wabongo kuliko hata wazungu. route zote za bara toka pwani hadi ujiji, ni waarabu walipita wakikusanya wabongo kupeleka zanzibar kuwauza. ndio maana nimesema mwarabu hata akitoa harufu huwa mnasema pafumu. hakuna anayemkataa mwarabu kuwekeza, tunakataa vipengele vya mkataba. akili yako ndogo sana.
Hiyo hadithi yako ni ya hao wazungu wenyewe waliofanya biashara hiyo ya watumwa.Sidhani kama una majina ya waarabu waliofanya hiyo biashara.Yupo mmoja mwenye asili ya unyamwezi ambaye alitajwa sana.Kumbe mwenyewe alikuwa mfanyabiashara ya vipusa kutoka bara na bidhaa nyengine kutoa pwani kupeleka bara.Wazungu walikuwa wakiwasubiri wale wapagazi wake ambao alikuw akiwalipa wakifika pwani walikuwa wanawachukua kwa nguvu kuwapeleka kuwauza huko Marekani na Carribean.
 
Kwa kiingereza wenyewe wanasema "do not put all your eggs in one basket" hivi kukabidhi bandari zote kwa mwarabu mshenzi tuu hiyo ni akili au matope bora angepewa mchina. Niambie mwarabu ana msaada gani kwa sio Tanzania tu bali Afrika nzima. Wale wanataka kuleta ushenzi wao hapa na tutawafurikua ngoja huyo mama aleye waweka hapo aondoke
Kwa watu wenye akili kama yako kweli bdo Tz tunasafari ndefu sana acha tu tuendelee kutawaliwa
 
Hiyo hadithi yako ni ya hao wazungu wenyewe waliofanya biashara hiyo ya watumwa.Sidhani kama una majina ya waarabu waliofanya hiyo biashara.Yupo mmoja mwenye asili ya unyamwezi ambaye alitajwa sana.Kumbe mwenyewe alikuwa mfanyabiashara ya vipusa kutoka bara na bidhaa nyengine kutoa pwani kupeleka bara.Wazungu walikuwa wakiwasubiri wale wapagazi wake ambao alikuw akiwalipa wakifika pwani walikuwa wanawachukua kwa nguvu kuwapeleka kuwauza huko Marekani na Carribean.
umeenda shule? au ndio wale wameishia madrasa? Unamjua Tiputipu, mwarabu koko aliyeishi Tabora, aliyefanya biashara toka Ujiji nadi zanzibar? yule ni mzungu au mwarabu? na hao waarabu wanaomiliki miti ya mikarafuu pemba hadi leo huku wabongo wakimiliki ardhi unawasemeaje? unaujua umiliki wa ardhi zanzibar kwamba mwarabu alikuwa anamiliki miti na mwafrika anamiliki nini na waafrika walioenda zanzibar walienda kufanya nini kule? Kulikuwa na mzungu kule? ndio maana tunasema "elimu elimu elimu". kumbe tunabishana na mazombie.

yaani kama haujui biashara ya utumwa afrika mashariki hadi leo, wewe ni mjinga kabisa. wazungu walihusika sana biashara ya afrika magharibi kupeleka america. waarabu walihusika afrika mashariki kupeleka zanzibar kulima karafuu, na wengine walipelekwa mauritius na reunion islands kwa wafaransa. waarabu walikuwa wanaenda kuwauza kwa wafaransa waliokuwa wanalima miwa huko.
 
Kwa watu wenye akili kama yako kweli bdo Tz tunasafari ndefu sana acha tu tuendelee kutawaliwa
mtatawaliwa ninyi kama mlivyozoea kutawaliwa. sisi wengine hatutatawaliwa never. dp world tunawataka, waarabu tunawataka ila wabadilishe terms za mkataba. kama hujaelewa hiki tunasema, basi akili yako huna.
 
Kwa namna zote inaonesha wapinzani wa mkataba wa DP world hawana hoja zaidi ya kwamba huo mkataba wa uwekezaji mkubwa unahusisha nchi ya kiarabu. Inashangaza kwamba mikataba kama hiyo ilikwishafanyika nchi za jirani na Tanzania miaka kadhaa iliyopita na hakukuwa na kelele.

Kama kuna nchi zingekuwa na hofu na waarabu basi ingekuwa ni Kenya na Rwanda kwani uhusiano wa nchi hizo na waarabu ni wa chini kuliko wa Tanzania.

Waarabu ni waasisi wa shughuli karibu zote za kiuchumi ikiwemo biashara na kilimo kwa Tanzania..Zaidi ya hivyo Tanzania ina idadi kubwa sana ya raia zake wenye asili ya kiarabu.

Iwapo Uiengereza haina tatizo kutawaliwa na viongozi wake wakubwa wenye asili ya Tanzania na Kenya na India.Tanzania ina ujinga gani na umetokea wapi wa kupinga kila mradi unaotokana na waarabu.

Mimi natilia shaka kwenye vitabu vya historia vinavyofundiswa mashuleni kwetu.Kuanzia sasa somo la historia lenye kutaja ujinga na chuki vifutwe kabisa.
Makota koya
 
Waarabu hawafai kabisa walituchukua utumwani lakini mpaka sasa hauna mtu au watu weusi katika jamii za uarabuni,
Jamaa waliua watu wote weusi na kibaya zaidi ndio waliongoza kwenye kuwafanyia ufirauni kwa watu weusi
Mimi kwangu mwaraabu ni shetani hapaswi kuonekana Tanganyika
 
Ikiwa katika usajili waislamu wanawekewa vikwazo lukuki na wakifanikiwa kupata kibali zinatafutwa sababu ndogo kuzifunga hospitali zao utaonaje madawa yao hapo bandarini.
Jengine iwapo kumbe kuna msamaha wa kodi kwa vitu vya kidini vya kikristo mbona mkifika huko vituoni hamtibu bure na wala hamuweki nafuu ya matibabu. Huo ni ujanja ujanja wenu tu kuikuza imani yenu kwa migongo ya kodi zetu.
kama wanafunga hospitali zenu, ni kwasababu zinakosa vigezo, kuna sababu za msingi, na watakuwa wamewaambia nini cha kuboresha. kwa taarifa yako katika nchi hii vitu vya waislam huwa vinafanywa kwa umakini sana kuhakikisha havizuiliwi kwasababu vikizuiliwa inajulikana jinsi mnavyojua kulalamika. pia, jua kuwa, kama vile ambavyo bakwata haipendwi na waislam wote, na pengine kuna baadhi ya vitu vya kiislam vinapita kwa mgongo wa bakwata, waislam kama wa shia hawawakilishwi, vivyo hivyo hata huku, mimi ninayeandika sio mkatoliki na katu sitakuja kuwa mkatoliki, na shirika la dini lililoingia hayo makubaliano ni catholics ambalo mimi simo. sio wakristo wote tanzania ni wakatoliki, hao walokole wengi kama mchanga, walutheran, anglican, moravian na makanis ameengi sio wakatoliki na hawamo kwenye hayo makubaliano.

ila catholics wametujengea hospitali na mashule watoto wetu wanasoma na tunatibiwa kwenye hospitali zao. mimi natibiwa hata kama mimi sio mkatoliki na sitegemei kuja kuwa mkatoliki. pia jua kwamba, ni serikali iliwaomba catholics kuingia hayo makubaliano kwasababu catholics wamefika hadi sehemu serikali haijafika, hospitali nyingi tu kwa mfano zimekuwa designated na serikali na serikali naajiri watu kwenye hospitali hizo hata kama ni za kidini kwasababu serikali haina hospitali kuwaajiri watu wake waliosoma, inapunguza tatizo la ajira. pia, watu wa dini zingine hata madhehebu yangu mimi pia hatujazuiwa kwenda serikalini kuingia hayo makubaliano, nendeni hata kesho mseme kwasababu wakatoliki wamekubaliwa hili na sisi tunaomba, muone kama mtakataliwa. pia, jua kuanzia leo, catholics wana nguvu sana, na hawategemei serikali,wanategemea misaada ya ulaya na sadaka, hata leo hii mkiondoa huo ushiriki wenu au hizo incentives, hakuna shule wala hospitali yao moja tashindwa kufanya kazi.

mwisho, acha wivu, subiri uugue ili uone kama catholics hawatakutibu ukienda kwenye hospitali zao. usiwe na wivu labda kwasababu dini yako imeshindwa kufanya jambo fulani, dini nyingine ikifanya unaona inapendelewa. acha ujinga.
 
Serikali isijaribu kuhamisha magoli juu ya utata wa mkataba huu kwa kigezo cha kwamba wa tz wanachuki na waarabu nasema big NOOO kama huu mkataba ungekuwa na time limit na baadhi ya vipengele kutokuwa na utata wala kusengukuwa na kelele.wahusika waliongia mkataba huu ni wazenji kama wanajua mkataba huu unamanufaa kwanini wa exclude bandari za zenji alafu waingie za tz bara tu na huku bandari ni jambo LA muungano,ni wapi walitangaza tenda ili kushindanisha bidders jambo ambalo ni kinyume cha sheria za kimataifa,is Dubai a state? Jibu ni No .Huruhusiwi kuvunja mkataba mpaka pale shughuli za bandari zitakapo koma meaning until the second coming of Messiah jambo ambalo ni tanzi kwa kizazi kijacho watakapo taka kijiamulia mambo yao wenyewe kama wazawa wa nchi hili.Mfano mzuri wa ubaya wa mkataba ni mkataba wa MTO Nile nchi ambazo MTO huu umepita wakazi wa nchi hizo hawaruhusiwi kutumia maji Yale kwa shughuli za kiuchumi .kimataifa hata maji ya ziwa Victoria ni marufuku kuvuta Yale maji kwa ajili ya matumizi ya majumbani na shughuli za kiuchumi jambo ambalo ni utumwa in the name of mkataba maji yapo nchini mwenu but you have right to use which is absurdity but just because of contracts you have no option but to abide huko mbeleni tusipo Fanya marekibisho hali itakuja kuwa tata kuliko watawala wanavyochukulia hili la huu mkataba huu wa bandari.
 
mtatawaliwa ninyi kama mlivyozoea kutawaliwa. sisi wengine hatutatawaliwa never. dp world tunawataka, waarabu tunawataka ila wabadilishe terms za mkataba. kama hujaelewa hiki tunasema, basi akili yako huna.
Mkataba hauwezi kuwa wa upande mmoja kama unavyotaka ww kama kweli mnauzalendo mbona mnauongelea mkataba mmoja tu vipi kuusu mikataba ya madini mbona hamlalamikii au uko Tz inapata tija nyingi kuliko Mzungu mfn Mkataba Tz na Acacia na baadae Tz na Barrick Gold Corp. Bdo Mikataba ya Tz na wawekezaji huko Mkoani Mara na Geita Kila Leo tunazidi kuachiwa maandaki na mashimo yasiokuwa na Tija mbona hamzungumzia ukomo wa haya mpaka lini?
 
Kwa namna zote inaonesha wapinzani wa mkataba wa DP world hawana hoja zaidi ya kwamba huo mkataba wa uwekezaji mkubwa unahusisha nchi ya kiarabu. Inashangaza kwamba mikataba kama hiyo ilikwishafanyika nchi za jirani na Tanzania miaka kadhaa iliyopita na hakukuwa na kelele.

Kama kuna nchi zingekuwa na hofu na waarabu basi ingekuwa ni Kenya na Rwanda kwani uhusiano wa nchi hizo na waarabu ni wa chini kuliko wa Tanzania.

Waarabu ni waasisi wa shughuli karibu zote za kiuchumi ikiwemo biashara na kilimo kwa Tanzania..Zaidi ya hivyo Tanzania ina idadi kubwa sana ya raia zake wenye asili ya kiarabu.

Iwapo Uiengereza haina tatizo kutawaliwa na viongozi wake wakubwa wenye asili ya Tanzania na Kenya na India.Tanzania ina ujinga gani na umetokea wapi wa kupinga kila mradi unaotokana na waarabu.

Mimi natilia shaka kwenye vitabu vya historia vinavyofundiswa mashuleni kwetu.Kuanzia sasa somo la historia lenye kutaja ujinga na chuki vifutwe kabisa.
Papai jingine hili. Jiulize kwanini Djibouti wameuvunja na mkataba wao ni kama wetu?
 
Serikali isijaribu kuhamisha magoli juu ya utata wa mkataba huu kwa kigezo cha kwamba wa tz wanachuki na waarabu nasema big NOOO kama huu mkataba ungekuwa na time limit na baadhi ya vipengele kutokuwa na utata wala kusengukuwa na kelele.wahusika waliongia mkataba huu ni wazenji kama wanajua mkataba huu unamanufaa kwanini wa exclude bandari za zenji alafu waingie za tz bara tu na huku bandari ni jambo LA muungano,ni wapi walitangaza tenda ili kushindanisha bidders jambo ambalo ni kinyume cha sheria za kimataifa,is Dubai a state? Jibu ni No .Huruhusiwi kuvunja mkataba mpaka pale shughuli za bandari zitakapo koma meaning until the second coming of Messiah jambo ambalo ni tanzi kwa kizazi kijacho watakapo taka kijiamulia mambo yao wenyewe kama wazawa wa nchi hili.Mfano mzuri wa ubaya wa mkataba ni mkataba wa MTO Nile nchi ambazo MTO huu umepita wakazi wa nchi hizo hawaruhusiwi kutumia maji Yale kwa shughuli za kiuchumi .kimataifa hata maji ya ziwa Victoria ni marufuku kuvuta Yale maji kwa ajili ya matumizi ya majumbani na shughuli za kiuchumi jambo ambalo ni utumwa in the name of mkataba maji yapo nchini mwenu but you have right to use which is absurdity but just because of contracts you have no option but to abide huko mbeleni tusipo Fanya marekibisho hali itakuja kuwa tata kuliko watawala wanavyochukulia hili la huu mkataba huu wa bandari.
Pale kauli za mwanzo zilipotaja uarabu halafu mukaenda kutafuta ushauri wa Pengo ndio mlikosea sana na kuchokoza mambo.
Kama ilivyooneshwa mikataba mibovu iko mingi sana na haijahojiwa kuanzia mkataba wa Muungano mpako MOU na kanisa.Kwanini mumekuwa wakali kwa hii ya DP warld waislamu wameshtuka kumbe mnataka kuleta udhini kwenye masuala ya kiuchumi ilhali udini mumeutumia huko nyuma kuwakandamiza waislamu.
 
Papai jingine hili. Jiulize kwanini Djibouti wameuvunja na mkataba wao ni kama wetu?
Najua wana sababu na kwa hilo hatuna haja ya kuwahoji sana.Muhimu sababu zetu za awali za kukataa huu mkataba zilikuwa za kitoto sana.Kama tuna sababu nyengine za kuuvunja au kuurekebisha itakuwa tumetumia akili zetu kama za kwao Wajibuti sio kutumia upuuzi wa kikabila na kidini.
 
kama nilivyosema hapo juu, hauamini kama mwarabu anaweza kufanya kitu kibaya. umesahau kuwa waarabu ndio waliouza wabongo kuliko hata wazungu. route zote za bara toka pwani hadi ujiji, ni waarabu walipita wakikusanya wabongo kupeleka zanzibar kuwauza. ndio maana nimesema mwarabu hata akitoa harufu huwa mnasema pafumu. hakuna anayemkataa mwarabu kuwekeza, tunakataa vipengele vya mkataba. akili yako ndogo sana.
Kweli na waafrika wenzao ndio walikuwa wanawakusanya na kuwapelekea wazungu na waarabu kama biashara
Leo miaka karibu 300 bado kuna waafrika wanapanda boti wenyewe na kujipeleka kwa wazungu na wengi kufia baharini

Zamani walibebwa siku hizi wanajipeleka wenyewe kama Mbwa kaona Chatu
 
Waarabu hawafai kabisa walituchukua utumwani lakini mpaka sasa hauna mtu au watu weusi katika jamii za uarabuni,
Jamaa waliua watu wote weusi na kibaya zaidi ndio waliongoza kwenye kuwafanyia ufirauni kwa watu weusi
Mimi kwangu mwaraabu ni shetani hapaswi kuonekana Tanganyika
Acha ubaguzi pambana uwe juu kiuchumi,utapewa heshima

Ova
 
Kweli na waafrika wenzao ndio walikuwa wanawakusanya na kuwapelekea wazungu na waarabu kama biashara
Leo miaka karibu 300 bado kuna waafrika wanapanda boti wenyewe na kujipeleka kwa wazungu na wengi kufia baharini

Zamani walibebwa siku hizi wanajipeleka wenyewe kama Mbwa kaona Chatu
Kwani wanalazimishwa kwenda huko UAE nk [emoji1]
Siku zote nawaambia wabongo waache kulialia badala yake na wao
Watafute nguvu ya kiuchumi
Siyo wanaishia kukatika mauno kwenye singeli na amapiano

Ova
 
Heti waarabu wakiwatesa babu zetu,lakini heti wazungu hawa kuhusika na utumwa[emoji2957][emoji2957]
Ukienda Marekani utawakuta Waafrika kama masalia ya watumwa waliochukuliwa enzi hizo, sasa nenda uarabuni kama utawakuta! Waliua wote walioenda huko. Hawa jamaa roho zao mbaya kuliko wazungu. Ndio mana wamehadaa kwenye mkataba mpya wa kitumwa mamboleo
 
Back
Top Bottom