Kiongozi aliyehujumu na kuua kiwanda cha TIPER ni wa ovyo kuwahi kutokea Tanzania

Kiongozi aliyehujumu na kuua kiwanda cha TIPER ni wa ovyo kuwahi kutokea Tanzania

Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk. Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua mafuta ghafi kwa bei nafuu na kuyasafisha kwa gharama nafuu na kufanya bei ya mafuta kuwa nafuu kwa walaji.

Ulipoingia MZIMU wa ubinafsishaji kiwanda kikafa tukaanza kununua mafuta yaliyosafishwa. Hapa ndipo tulipopotea maboya! Sasa tunakula jeuri yetu kwa kukomolewa kwa bei ghali ya mafuta. Laiti kingekuwepo kiwanda chetu kile tusingeumia kiasi hiki!
Mnapoambiwa tunataka katiba mpya kwanini mnakataa?
 
W
Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk. Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua mafuta ghafi kwa bei nafuu na kuyasafisha kwa gharama nafuu na kufanya bei ya mafuta kuwa nafuu kwa walaji.

Ulipoingia MZIMU wa ubinafsishaji kiwanda kikafa tukaanza kununua mafuta yaliyosafishwa. Hapa ndipo tulipopotea maboya! Sasa tunakula jeuri yetu kwa kukomolewa kwa bei ghali ya mafuta. Laiti kingekuwepo kiwanda chetu kile tusingeumia kiasi hiki!
Kama hujui undani wa kufa TIPPER nyamaza fanya utafiti.Kwanza mtambo wa Tipper haukuweza kutosheleza mahitaji ya nchi toka ifuguliwe hadi kifo chake cha aibu.It was smallest refinery in the world but also was too old.
Tipper ilikufa kwa hiyo mikataba mibovu,alipotoka Kambarage ma Taliani wakatumia upungufu ulio kwenye mikataba wakachuma pesa nyingi tu,tukikopa kama nchi kukarabati mitambo ya miaka 40,na hiyo pesa inaishia kwao wala haikuja kukarabati TIPPER alioiacha Nyerere.
Benki ya dunia kwa ubora wake akagundua janja ya nyani akajiondoa kufadhili au kukopesha TIPPER. nao mafia Italy walijiondoa wakauza hisa zake kwa kuwa walikuwa ndio wachumia tumbo.Ndio ukawa mwisho TIPPER.
Mtaliani anasimamiwa na nchi au watu makini sio waomba scholarship ya mwanae au kufadhili harusi ya mwanae.
 
Zambia wanacho hawakuua kilijengwa same time na chetu

Cost ya kukikarabati sio kujenga kiwanda kipya zinahitajika dola milioni 500 hawana wanahaha kutafuta private investors!!

Kuna biashara Serikali haiwezi fanya Haina pesa za hiyo biashara

Kiwanda cha Tipper waitaliano wa Agip ndio waliwekeza Serikali ikajifanya kutaifisha limewatokea kooni

Private sector capital ina raise capital markets za kimataifa.Miradi kama hiyo Serikali haiiwezi kutegemea ukusanye Kodi dola milioni 500 kwenye mauzo ya nje ya mazao kama ya korosho sijui pamba sio rahisi!!

Mwenye nguvu mpishe Serikali irudishe kwa Agip hicho kiwanda cha kusafisha mafuta Serikali haiwezi kuwa na mtaji wa kufufuka hicho kiwanda ni lofa
Ach uongo, serikali haikutaifisha hicho kiwanda. Nakumbuka wakati ule iliamuliwa kiwanda kifungwe na kigeuzwe kuwa storage facility ya mafuta yaliyosafishwa. Hoja za kifisadi zilitolewa wakati ule kuwa Msumbiji na Afrika Kusini kuna refinery kubwa ambazo zitahudumia mpaka huku kwetu, kulikuwa na malumbano makali wazalendo wakipinga na wahujumu ndani ya serikali na washirika wao nje ya serikali wakishabikia Tipper ifungwe isisafishe mafuta. Hadi wakati kinafungwa kiwanda hicho kilikuwa mali ya ubia kati ya Italia na Tanzania.

Uamuzi wa kukifunga haukuwa wa busara bali uligubikwa na ufisadi na sindicate iliyolenga kuifanya Tanzaniaiwe tegemezi wa mafuta yaliyosafishwa nje ya nchi.
 
Ach uongo, serikali haikutaifisha hicho kiwanda. Nakumbuka wakati ule iliamuliwa kiwanda kifungwe na kigeuzwe kuwa storage facility ya mafuta yaliyosafishwa. Hoja za kifisadi zilitolewa wakati ule kuwa Msumbiji na Afrika Kusini kuna refinery kubwa ambazo zitahudumia mpaka huku kwetu, kulikuwa na malumbano makali wazalendo wakipinga na wahujumu ndani ya serikali na washirika wao nje ya serikali wakishabikia Tipper ifungwe isisafishe mafuta. Hadi wakati kinafungwa kiwanda hicho kilikuwa mali ya ubia kati ya Italia na Tanzania.

Uamuzi wa kukifunga haukuwa wa busara bali uligubikwa na ufisadi na sindicate iliyolenga kuifanya Tanzaniaiwe tegemezi wa mafuta yaliyosafishwa nje ya nchi.
Hivi unaelewa ulichoandika ? Hisa za Serikali kampuni ya Agip walizipataje? Hadi wakawa na wakurugenzi wateuliwa na Serikali kuingia bodi ya Agip?
 
Hivi unaelewa ulichoandika ? Hisa za Serikali kampuni ya Agip walizipataje? Hadi wakawa na wakurugenzi wateuliwa na Serikali kuingia bodi ya Agip?
Sijaelewa ulichoandika,

Tipper ilikua kiwanda cha ya ubia kati ya Tanzania na Italia (Tanzania and Italy Petroleum Refinery Ltd) Agip ilikuwa ni i kampuni ya Italia iliyokuwa ikifanya biashara ya mafuta Tanzania ingawa serikali ya Tanzania ilikuwa na hisa mule. Hivi ni vitu viwili kwa uelewa wangu wa wakati ule.
 
Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk. Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua mafuta ghafi kwa bei nafuu na kuyasafisha kwa gharama nafuu na kufanya bei ya mafuta kuwa nafuu kwa walaji.

Ulipoingia MZIMU wa ubinafsishaji kiwanda kikafa tukaanza kununua mafuta yaliyosafishwa. Hapa ndipo tulipopotea maboya! Sasa tunakula jeuri yetu kwa kukomolewa kwa bei ghali ya mafuta. Laiti kingekuwepo kiwanda chetu kile tusingeumia kiasi hiki!
Naunga mkono hoja.
Tusimung'unye maneno, Rais Mwinyi ndiye aliyeuza kiwanda cha TIPER.
 
Sisi wabongo ni wababaishaji mno hakuna chochote tunachoweza kuendesha kwa ufanisi. Angalia vitu vingi tu tulivyonavyo lakini uendeshaji wake ni ubabaishaji mtupu; serikali, viwanda, bandari, utalii, chadema, nk
 
TIPER ile ya refinery imekufa na kuzikwa kabisa maana mitambo yte imeshauzwa kama sikilepa...wazeni kujenga matank ya serikali...yaani storage ya serikali
 
Zambia wanacho hawakuua kilijengwa same time na chetu

Cost ya kukikarabati sio kujenga kiwanda kipya zinahitajika dola milioni 500 hawana wanahaha kutafuta private investors!!

Kuna biashara Serikali haiwezi fanya Haina pesa za hiyo biashara

Kiwanda cha Tipper waitaliano wa Agip ndio waliwekeza Serikali ikajifanya kutaifisha limewatokea kooni

Private sector capital ina raise capital markets za kimataifa.Miradi kama hiyo Serikali haiiwezi kutegemea ukusanye Kodi dola milioni 500 kwenye mauzo ya nje ya mazao kama ya korosho sijui pamba sio rahisi!!

Mwenye nguvu mpishe Serikali irudishe kwa Agip hicho kiwanda cha kusafisha mafuta Serikali haiwezi kuwa na mtaji wa kufufuka hicho kiwanda ni lofa
Serikali inaweza ikiamua.
 
Back
Top Bottom