Mnapoambiwa tunataka katiba mpya kwanini mnakataa?Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk. Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua mafuta ghafi kwa bei nafuu na kuyasafisha kwa gharama nafuu na kufanya bei ya mafuta kuwa nafuu kwa walaji.
Ulipoingia MZIMU wa ubinafsishaji kiwanda kikafa tukaanza kununua mafuta yaliyosafishwa. Hapa ndipo tulipopotea maboya! Sasa tunakula jeuri yetu kwa kukomolewa kwa bei ghali ya mafuta. Laiti kingekuwepo kiwanda chetu kile tusingeumia kiasi hiki!
Kama hujui undani wa kufa TIPPER nyamaza fanya utafiti.Kwanza mtambo wa Tipper haukuweza kutosheleza mahitaji ya nchi toka ifuguliwe hadi kifo chake cha aibu.It was smallest refinery in the world but also was too old.Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk. Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua mafuta ghafi kwa bei nafuu na kuyasafisha kwa gharama nafuu na kufanya bei ya mafuta kuwa nafuu kwa walaji.
Ulipoingia MZIMU wa ubinafsishaji kiwanda kikafa tukaanza kununua mafuta yaliyosafishwa. Hapa ndipo tulipopotea maboya! Sasa tunakula jeuri yetu kwa kukomolewa kwa bei ghali ya mafuta. Laiti kingekuwepo kiwanda chetu kile tusingeumia kiasi hiki!
The minds of our policy maker's are corrupted....Changamoto tuliyonayo hata lile wazo la kukifufua kiwanda hiki halipo kabisa!
Ach uongo, serikali haikutaifisha hicho kiwanda. Nakumbuka wakati ule iliamuliwa kiwanda kifungwe na kigeuzwe kuwa storage facility ya mafuta yaliyosafishwa. Hoja za kifisadi zilitolewa wakati ule kuwa Msumbiji na Afrika Kusini kuna refinery kubwa ambazo zitahudumia mpaka huku kwetu, kulikuwa na malumbano makali wazalendo wakipinga na wahujumu ndani ya serikali na washirika wao nje ya serikali wakishabikia Tipper ifungwe isisafishe mafuta. Hadi wakati kinafungwa kiwanda hicho kilikuwa mali ya ubia kati ya Italia na Tanzania.Zambia wanacho hawakuua kilijengwa same time na chetu
Cost ya kukikarabati sio kujenga kiwanda kipya zinahitajika dola milioni 500 hawana wanahaha kutafuta private investors!!
Kuna biashara Serikali haiwezi fanya Haina pesa za hiyo biashara
Kiwanda cha Tipper waitaliano wa Agip ndio waliwekeza Serikali ikajifanya kutaifisha limewatokea kooni
Private sector capital ina raise capital markets za kimataifa.Miradi kama hiyo Serikali haiiwezi kutegemea ukusanye Kodi dola milioni 500 kwenye mauzo ya nje ya mazao kama ya korosho sijui pamba sio rahisi!!
Mwenye nguvu mpishe Serikali irudishe kwa Agip hicho kiwanda cha kusafisha mafuta Serikali haiwezi kuwa na mtaji wa kufufuka hicho kiwanda ni lofa
Hivi unaelewa ulichoandika ? Hisa za Serikali kampuni ya Agip walizipataje? Hadi wakawa na wakurugenzi wateuliwa na Serikali kuingia bodi ya Agip?Ach uongo, serikali haikutaifisha hicho kiwanda. Nakumbuka wakati ule iliamuliwa kiwanda kifungwe na kigeuzwe kuwa storage facility ya mafuta yaliyosafishwa. Hoja za kifisadi zilitolewa wakati ule kuwa Msumbiji na Afrika Kusini kuna refinery kubwa ambazo zitahudumia mpaka huku kwetu, kulikuwa na malumbano makali wazalendo wakipinga na wahujumu ndani ya serikali na washirika wao nje ya serikali wakishabikia Tipper ifungwe isisafishe mafuta. Hadi wakati kinafungwa kiwanda hicho kilikuwa mali ya ubia kati ya Italia na Tanzania.
Uamuzi wa kukifunga haukuwa wa busara bali uligubikwa na ufisadi na sindicate iliyolenga kuifanya Tanzaniaiwe tegemezi wa mafuta yaliyosafishwa nje ya nchi.
Sijaelewa ulichoandika,Hivi unaelewa ulichoandika ? Hisa za Serikali kampuni ya Agip walizipataje? Hadi wakawa na wakurugenzi wateuliwa na Serikali kuingia bodi ya Agip?
Ukikusanya Kodi kwenye madini unatakiwa kurudisha kwenye madini!?Kwanini SGR isikamilike wakati wanakusanya kodi ya Railway Development Levy.
Hii kodi inakwenda kufanya kazi gani??
Kiwanda kilipatikana kwa Katiba ya zamaniMnapoambiwa tunataka katiba mpya kwanini mnakataa?
Hiyo Kodi ni maalum kwa ajili hiyo ndio maana wakaiita hivyo.Ukikusanya Kodi kwenye madini unatakiwa kurudisha kwenye madini!?
Ni kiasi gani kwa mwaka?Hiyo Kodi ni maalum kwa ajili hiyo ndio maana wakaiita hivyo.
Watuambie inatumikaje??
Sijui ila inatozwa kwenye imports.Ni kiasi gani kwa mwaka?
Naunga mkono hoja.Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk. Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua mafuta ghafi kwa bei nafuu na kuyasafisha kwa gharama nafuu na kufanya bei ya mafuta kuwa nafuu kwa walaji.
Ulipoingia MZIMU wa ubinafsishaji kiwanda kikafa tukaanza kununua mafuta yaliyosafishwa. Hapa ndipo tulipopotea maboya! Sasa tunakula jeuri yetu kwa kukomolewa kwa bei ghali ya mafuta. Laiti kingekuwepo kiwanda chetu kile tusingeumia kiasi hiki!
Serikali inaweza ikiamua.Zambia wanacho hawakuua kilijengwa same time na chetu
Cost ya kukikarabati sio kujenga kiwanda kipya zinahitajika dola milioni 500 hawana wanahaha kutafuta private investors!!
Kuna biashara Serikali haiwezi fanya Haina pesa za hiyo biashara
Kiwanda cha Tipper waitaliano wa Agip ndio waliwekeza Serikali ikajifanya kutaifisha limewatokea kooni
Private sector capital ina raise capital markets za kimataifa.Miradi kama hiyo Serikali haiiwezi kutegemea ukusanye Kodi dola milioni 500 kwenye mauzo ya nje ya mazao kama ya korosho sijui pamba sio rahisi!!
Mwenye nguvu mpishe Serikali irudishe kwa Agip hicho kiwanda cha kusafisha mafuta Serikali haiwezi kuwa na mtaji wa kufufuka hicho kiwanda ni lofa
Daah!!Sijui ila inatozwa kwenye imports.
Kama hiyo pesa inakusanywa of which ni kwa mabilioni kwa mwaka.Daah!!
Hujui kiasi gani,then unasema mabilioni,sgr inagharimu kiasi gani!?Kama hiyo pesa inakusanywa of which ni kwa mabilioni kwa mwaka.
Kwanini isimalizie Reli ya SGR.
Nini kinaleta mkwamo??