Kwaiyo Bi chui amezingua kutokwenda na Gentleman wa taifa ziara...
Kama mwenza ana wake 2+ huwezi safiri naye zamu za wenzako[emoji3][emoji3]
Acha kukomalia vitu vya kipuuziMimi naona hilo swala linategemea na umuhimu wa mke kwa jamii......hivi kama mke ni Rais unawezaje kugoma kwenda kuambatana nae kisa si zamu yake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachokonoa Home Hana Jipya Pia Hataki Kusema Moja Kwa MojaUnataka kusemaje sasa mkuu
Unabeba WoteKama mwenza ana wake 2+ huwezi safiri naye zamu za wenzako😀😀
[emoji3][emoji7]Putin na mme wake??
Mmmh!
[emoji849][emoji849][emoji849] kwahiyo zamu ina angukia siku mbaya?.nauliza tu!Hangaya Ni mke Wa tatu Kwa mumewe
Wewe hufuatana na mumeo kazini!?Kumbe mtu kuambatana na mwenza wake ni upuuzi? Basi kumbe ndoa ni upuuzi fulani eeh...?
Wa kwanza kutatua dharura ni Dkt mengine ni kuongezea gharama wananchi, siungi mkono hoja yakoHili swali nimekuwa nikijiuliza ikiwa ni lazima au ni busara kiongozi kufuatana au kuambatana na mwenza wake akiwa kwenye shughuli muhimu za kitaifa ndani na nje ya nchi, hili ni jambo la busara au la lazima?
Yani Viongozi wenzio uko duniani wanakuona kila leo kama uko single wanashindwa kujua au kuuliza yuko wapi mkeo au mumeo! Wakati wa kutambulishana unajikuta unatambulusha huyu ni body guard huyu ni mlinzi wangu huyu ni msaidizi wangu wa hotuba au huyu ni waziri wangu ...wanasubiri kusikia huyu ni mke wangu au huyu ni mume wangu lakini olaaaaahhhh
Hili ni jambo liko sawa? Kiongozi mkubwa kutotambua uwepi wa mwenza wake hata kwa kuambatana nae ni sawa? Au ni sawa kiongozi mkubwa hata akiwa single ni sawa tuu hakuna shida yeyote?
Au viongozi wakubwa huwa hawatengewi posho na matunzo kwaajili ya wenza wao hivyo ni gharama kiongozi kuambatana na wenza wao?
Ikiwa kiongozi anapata dharura ambayo mume au mke anatakiwa ndio atatue wa kwanza au kujua wa kwanza inakuwaje hapo?
Labda huwa anamtambulisha kwa wafanyakazi wenzakeWewe hufuatana na mumeo kazini!?
Maza huwa anaenda nae ila huwa haoneshwiHili swali nimekuwa nikijiuliza ikiwa ni lazima au ni busara kiongozi kufuatana au kuambatana na mwenza wake akiwa kwenye shughuli muhimu za kitaifa ndani na nje ya nchi, hili ni jambo la busara au la lazima?
Yani Viongozi wenzio uko duniani wanakuona kila leo kama uko single wanashindwa kujua au kuuliza yuko wapi mkeo au mumeo! Wakati wa kutambulishana unajikuta unatambulusha huyu ni body guard huyu ni mlinzi wangu huyu ni msaidizi wangu wa hotuba au huyu ni waziri wangu ...wanasubiri kusikia huyu ni mke wangu au huyu ni mume wangu lakini olaaaaahhhh
Hili ni jambo liko sawa? Kiongozi mkubwa kutotambua uwepi wa mwenza wake hata kwa kuambatana nae ni sawa? Au ni sawa kiongozi mkubwa hata akiwa single ni sawa tuu hakuna shida yeyote?
Au viongozi wakubwa huwa hawatengewi posho na matunzo kwaajili ya wenza wao hivyo ni gharama kiongozi kuambatana na wenza wao?
Ikiwa kiongozi anapata dharura ambayo mume au mke anatakiwa ndio atatue wa kwanza au kujua wa kwanza inakuwaje hapo?
Kwahiyo mababa Askofu na Ma-padre hawaowi ni wahuni? maanake akifiwa na mume/mke huyo hafai?Mleta mada umeongea jambo la msingi sana.
Hivi kwenye fomu ya kugombea nafasi zile za juu kitaifa kuna kipengele cha kujaza taarifa za ndoa? Na kama kipo vipi umuhimu wake?
Ipo siku tutakuja kuongozwa na wahuni na tulazimike kufuata uhuni wao[emoji23]