Kiongozi analazimika kufuatana na Mwenza wake kwenye safari za kikazi na shughuli za Kitaifa nje na ndani ya nchi?

Kiongozi analazimika kufuatana na Mwenza wake kwenye safari za kikazi na shughuli za Kitaifa nje na ndani ya nchi?

Hili swali nimekuwa nikijiuliza ikiwa ni lazima au ni busara kiongozi kufuatana au kuambatana na mwenza wake akiwa kwenye shughuli muhimu za kitaifa ndani na nje ya nchi, hili ni jambo la busara au la lazima?

Yani Viongozi wenzio uko duniani wanakuona kila leo kama uko single wanashindwa kujua au kuuliza yuko wapi mkeo au mumeo! Wakati wa kutambulishana unajikuta unatambulusha huyu ni body guard huyu ni mlinzi wangu huyu ni msaidizi wangu wa hotuba au huyu ni waziri wangu, wanasubiri kusikia huyu ni mke wangu au huyu ni mume wangu lakini olaaaaahhhh

Hili ni jambo liko sawa? Kiongozi mkubwa kutotambua uwepo wa mwenza wake hata kwa kuambatana nae ni sawa? Au ni sawa kiongozi mkubwa hata akiwa single ni sawa tuu hakuna shida yeyote?

Au viongozi wakubwa huwa hawatengewi posho na matunzo kwaajili ya wenza wao hivyo ni gharama kiongozi kuambatana na wenza wao?

Ikiwa kiongozi anapata dharura ambayo mume au mke anatakiwa ndio atatue wa kwanza au kujua wa kwanza inakuwaje hapo?
Asiye ambatana na mwenza ni mhuni au mrupo tu!
 
Kwahiyo mababa Askofu na Ma-padre hawaowi ni wahuni? maanake akifiwa na mume/mke huyo hafai?
Nje ya mada.

Maandiko yenyewe yanakwambia ni heri kuchagua kuwa wa moto au baridi na siyo uvuguvugu.
 
Naogopa kuchangia ila hata magufuli na ukali wake wote alikua safari za ndani zote anaongozana na mkewe, same kikwete na viongozi wote sababu ni mke wako kuna huduma huwezi pewa na mlinzi. ila sasa huyu chief mmmh hata kwenye ziara za ndani mwenyewe hatuwaoni ingawa sio lazima ila muhimu sana.
 
Niliwahi kuleta uzi humu kuulizia alipo mume wa Rais.

Lakini manyakanga wa humu wakatunisha shingo zao za mabox kuwa ni thread haramu.

Anyways

Hii nayo tena, inaulizwa kulikoni mama kuonekana mwali na siyo mke?
Mwali ana age ya 62 na watoto juu Lisa kutokusafiri na mmewe ndyo iwe shida hii nchi Raha sana[emoji23][emoji1787]
 
Kwani akimuonesha mume wake wewe kitaongezeka nini katika maisha yako??? Akili za kipumbavu ndio zinaweza ujinga ujinga kila siku.

Mwenzako àshatoboa, yake yanaenda wewe unakaa nyuma ya keyboard kuandika mada za udaku.
 
Kwani akimuonesha mume wake wewe kitaongezeka nini katika maisha yako??? Akili za kipumbavu ndio zinaweza ujinga ujinga kila siku.

Mwenzako àshatoboa, yake yanaenda wewe unakaa nyuma ya keyboard kuandika mada za udaku.
Wewe pia ni mdaku pasei
 
Back
Top Bottom