Ameer Ally BamchawiKiongozi wa muda wote wa Makolo aliitwa Bamchawi
Simba wa Yuda yule aliyemsema mama watu wanamuogopa, akishikwa sharubu watu wanarukaruka au sio huyu?Simba wa yuda!
Huyu huyu aliyeidai Simba Chapati zake? Aiseee........yaani kusema yupo tayari kufa kwaajili ya mikia unaona ndiyo kiongozi bora?Sijui imekuaje Leo. Nimejikuta namkumbuka huyu mwamba.View attachment 2173199