Kiongozi Mkoa wa Tabora apingana na agizo la timu ya Mawaziri 8 kuhusu Vijiji vya Kakoko na Usinga

Kiongozi Mkoa wa Tabora apingana na agizo la timu ya Mawaziri 8 kuhusu Vijiji vya Kakoko na Usinga

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
"Ndugu zangu Wananchi wa Ukumbikakoko na Usinga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anawapenda Sana ndio maana aliwaruhusu Mawaziri 8 kuja na kuwatangazia kuishi kwenye maeneo yenu lakini Kiongozi mmoja wa Mkoa anaonekana kuanza kupinga Agizo la timu ya Mawaziri 8 kwamba Miradi isiletwe kwenu huku Huku akijua kuna Shule, Zahanati" - Mhe. ALOYCE KWEZI​

"Rais ametupatia Mradi wa Maji wa milioni 440 na Ujenzi wa Daraja la Mto Ugala umewekwa kwenye bajeti. Nawathibitishia Niko pamoja nanyi na Tamko la Mawaziri 8 Halijafutwa" - Mhe. ALOYCE KWEZI.

FqUl_YtXgA4fWsU.jpg
WhatsApp Image 2023-03-04 at 21.34.02.jpeg
WhatsApp Image 2023-03-04 at 21.33.58(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-03-04 at 21.34.00(1).jpeg
 
Back
Top Bottom