Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mwanachama wa chama chochote ila kwa same yetu hasa mashariki hapana kiongozi mama kaboyoka hatufai kabsa ,nenda magharibi kiasi David amejitahid kwa kiasi fulani, barabar ya same chome ,vudee ameiboresha , ukija same hadi kisiwan barabar ipo vizur nenda mashariki barabar zake dake ni tabu sanaBora umejipambanua mkuu kuwa we ni nan maana nikikumbuka Uzi wako juu ya same mashariki nikiconnect dots nia yako IPO waz juu ya same tatzo n chadema na maendeleo unayoyataka chief acha kupaka watu matope siasa haziendi hivyo mkuu wenye same yao wanakuangalia halafu wanasema hiiiiiii in jiwe's voice
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa Taarifa"Uyu ni mtumishi wa Tanzania intelligent security service"
Huyu hajaanza leo,alinunuliwa na ccm toka zamani na ndio alisababisha kura za maruhani za huko pemba wakati wa marehemu seif sharrif hamadKuna habari zimeenea kuwa kuna kiongozi mmoja mkubwa wa upinzani nchini Tanzania amenunuliwa aende CCM. Kwa kuangalia upepo wa mambo namuona mpare ndugu JAMES MBATIA aliyekuwa NCCR Mageuzi. Japo ni tetesi na zitakuja kuwa kweli naiweka CV yake hapa.
View attachment 1074059
JAMES MBATIA PROFILE
James Francis Mbatia was born on 10th June 1964 in Tanzania. He is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and member of parliament for Vunjo constituency.
James Mbatia Education Background
2007 – 2009: Diploma in International Civil Engineering Management, University of Hanze-Netherlands.
2008: Certificate in Basic Elements of Safety and Health, University of Hanze-Netherlands.
1987 – 1992: Degree in Civil Engineering, University Of Dar es Salaam ( Not Completed)
1984 – 1986: “A” Level, Tambaza Secondary,Dar es Salaam
1980 – 1983: “O” Level, Kilimanjaro Boys, Kilimanjaro
1973 – 1979: Primary Education, Iwa-Kirua Vunjo,Moshi.
James Mbatia Political Career
2012 – 2015: Nominated Member of Parliament.
Since 2000: National Chairman, NCCR-Mageuzi.
1995 – 2000: Member of Parliament for Vunjo constituency
1994 – 2000: Secretary Department of Organization and Election, NCCR-Mageuzi
1992 – 1994: National youth chairman,
NCCR-Mageuzi.
Kuna huyu na yule wa ACT WASALITI WOTE WAANIKWEKuna habari zimeenea kuwa kuna kiongozi mmoja mkubwa wa upinzani nchini Tanzania amenunuliwa aende CCM. Kwa kuangalia upepo wa mambo namuona mpare ndugu JAMES MBATIA aliyekuwa NCCR Mageuzi. Japo ni tetesi na zitakuja kuwa kweli naiweka CV yake hapa.
View attachment 1074059
JAMES MBATIA PROFILE
James Francis Mbatia was born on 10th June 1964 in Tanzania. He is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and member of parliament for Vunjo constituency.
James Mbatia Education Background
2007 – 2009: Diploma in International Civil Engineering Management, University of Hanze-Netherlands.
2008: Certificate in Basic Elements of Safety and Health, University of Hanze-Netherlands.
1987 – 1992: Degree in Civil Engineering, University Of Dar es Salaam ( Not Completed)
1984 – 1986: “A” Level, Tambaza Secondary,Dar es Salaam
1980 – 1983: “O” Level, Kilimanjaro Boys, Kilimanjaro
1973 – 1979: Primary Education, Iwa-Kirua Vunjo,Moshi.
James Mbatia Political Career
2012 – 2015: Nominated Member of Parliament.
Since 2000: National Chairman, NCCR-Mageuzi.
1995 – 2000: Member of Parliament for Vunjo constituency
1994 – 2000: Secretary Department of Organization and Election, NCCR-Mageuzi
1992 – 1994: National youth chairman,
NCCR-Mageuzi.
KWA bulaya hapo naweza sema ni kweli.Amebaki Malando,Saidi kubenea, Ester bulaya na Yeriko nyerere.
List ni ndefu sana ila wakiondoka hao upinzani kwaanza kushamili kiasi.
CCM ni DINI Si CHAMA Cha siasa. Kama China na Mao.Kuna wakati unakuwaga na akli sana ..ila somtyme sjui huwa unamuazimisha nani..ahsante kwa kutambua kuwa CCM ni zaidi ya chama cha siasa....neno chama kwa CCM ni geresha tuuu..hyo ni dola usishangae kusikia hata Trump ni member wa CCM
Yeriko ni kipepeo pia, uncle alipiga stop paleKWA bulaya hapo naweza sema ni kweli.
Maana haingii akili mdee akawa ameshikwa akili mpaka akasaliti chama.
Ila yeriko naona unamuonea tu
Ngumu kumeza hii.Yeriko ni kipepeo pia, uncle alipiga stop pale
Siri, sirini, linganisha upeo na ujasiri alionao na position aliyonayo chamani utapata majb.Ngumu kumeza hii.
Nipe namna ya ku prove usemalo
MkuuCCM ni DINI Si CHAMA Cha siasa. Kama China na Mao.
Ni Kweli kabsa. Yule Mzee alikuwa na AKILI sana.Mkuu
"Catholic church movement" ccm
Mzee mmoja aliwahi niambia!!
Nilibisha
Lakini nilipokuja kujua ofisi za idara nyeti zipo st. Peters pale nikaanza kuamini kidogo!!
Labda ni kweli Siamini BADO!!