Tetesi: Kiongozi mkubwa wa upinzani aliyenunuliwa na CCM ni James Mbatia?

Tetesi: Kiongozi mkubwa wa upinzani aliyenunuliwa na CCM ni James Mbatia?

Bora umejipambanua mkuu kuwa we ni nan maana nikikumbuka Uzi wako juu ya same mashariki nikiconnect dots nia yako IPO waz juu ya same tatzo n chadema na maendeleo unayoyataka chief acha kupaka watu matope siasa haziendi hivyo mkuu wenye same yao wanakuangalia halafu wanasema hiiiiiii in jiwe's voice

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio mwanachama wa chama chochote ila kwa same yetu hasa mashariki hapana kiongozi mama kaboyoka hatufai kabsa ,nenda magharibi kiasi David amejitahid kwa kiasi fulani, barabar ya same chome ,vudee ameiboresha , ukija same hadi kisiwan barabar ipo vizur nenda mashariki barabar zake dake ni tabu sana
 
Kuna habari zimeenea kuwa kuna kiongozi mmoja mkubwa wa upinzani nchini Tanzania amenunuliwa aende CCM. Kwa kuangalia upepo wa mambo namuona mpare ndugu JAMES MBATIA aliyekuwa NCCR Mageuzi. Japo ni tetesi na zitakuja kuwa kweli naiweka CV yake hapa.

View attachment 1074059

JAMES MBATIA PROFILE

James Francis Mbatia was born on 10th June 1964 in Tanzania. He is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and member of parliament for Vunjo constituency.

James Mbatia Education Background
2007 – 2009: Diploma in International Civil Engineering Management, University of Hanze-Netherlands.
2008: Certificate in Basic Elements of Safety and Health, University of Hanze-Netherlands.
1987 – 1992: Degree in Civil Engineering, University Of Dar es Salaam ( Not Completed)
1984 – 1986: “A” Level, Tambaza Secondary,Dar es Salaam
1980 – 1983: “O” Level, Kilimanjaro Boys, Kilimanjaro
1973 – 1979: Primary Education, Iwa-Kirua Vunjo,Moshi.

James Mbatia Political Career
2012 – 2015: Nominated Member of Parliament.
Since 2000: National Chairman, NCCR-Mageuzi.
1995 – 2000: Member of Parliament for Vunjo constituency
1994 – 2000: Secretary Department of Organization and Election, NCCR-Mageuzi
1992 – 1994: National youth chairman,

NCCR-Mageuzi.
Huyu hajaanza leo,alinunuliwa na ccm toka zamani na ndio alisababisha kura za maruhani za huko pemba wakati wa marehemu seif sharrif hamad
 
Kuna habari zimeenea kuwa kuna kiongozi mmoja mkubwa wa upinzani nchini Tanzania amenunuliwa aende CCM. Kwa kuangalia upepo wa mambo namuona mpare ndugu JAMES MBATIA aliyekuwa NCCR Mageuzi. Japo ni tetesi na zitakuja kuwa kweli naiweka CV yake hapa.

View attachment 1074059

JAMES MBATIA PROFILE

James Francis Mbatia was born on 10th June 1964 in Tanzania. He is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and member of parliament for Vunjo constituency.

James Mbatia Education Background
2007 – 2009: Diploma in International Civil Engineering Management, University of Hanze-Netherlands.
2008: Certificate in Basic Elements of Safety and Health, University of Hanze-Netherlands.
1987 – 1992: Degree in Civil Engineering, University Of Dar es Salaam ( Not Completed)
1984 – 1986: “A” Level, Tambaza Secondary,Dar es Salaam
1980 – 1983: “O” Level, Kilimanjaro Boys, Kilimanjaro
1973 – 1979: Primary Education, Iwa-Kirua Vunjo,Moshi.

James Mbatia Political Career
2012 – 2015: Nominated Member of Parliament.
Since 2000: National Chairman, NCCR-Mageuzi.
1995 – 2000: Member of Parliament for Vunjo constituency
1994 – 2000: Secretary Department of Organization and Election, NCCR-Mageuzi
1992 – 1994: National youth chairman,

NCCR-Mageuzi.
Kuna huyu na yule wa ACT WASALITI WOTE WAANIKWE

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Amebaki Malando,Saidi kubenea, Ester bulaya na Yeriko nyerere.

List ni ndefu sana ila wakiondoka hao upinzani kwaanza kushamili kiasi.
KWA bulaya hapo naweza sema ni kweli.
Maana haingii akili mdee akawa ameshikwa akili mpaka akasaliti chama.
Ila yeriko naona unamuonea tu
 
Kuna wakati unakuwaga na akli sana ..ila somtyme sjui huwa unamuazimisha nani..ahsante kwa kutambua kuwa CCM ni zaidi ya chama cha siasa....neno chama kwa CCM ni geresha tuuu..hyo ni dola usishangae kusikia hata Trump ni member wa CCM
CCM ni DINI Si CHAMA Cha siasa. Kama China na Mao.
 
CCM ni DINI Si CHAMA Cha siasa. Kama China na Mao.
Mkuu

"Catholic church movement" ccm

Mzee mmoja aliwahi niambia!!

Nilibisha

Lakini nilipokuja kujua ofisi za idara nyeti zipo st. Peters pale nikaanza kuamini kidogo!!

Labda ni kweli Siamini BADO!!
 
Back
Top Bottom