isotaaaa
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,944
- 824
Hata mboye mwenyewe.........ni TISS..[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mboye mwenyewe.........ni TISS..[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Hata mboye mwenyewe.........ni TISS..[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwanga fulani unaonekana haya ndiyo yanaitwa mapandikizi inabidi intelijensia ya hivi vyama ziwe imara bila hivyo sijui wananchi watasubiria sana.
Ccm nichama chenye mizizi kila kona usishangae hata peter msigwa akawa ni mwanachama wa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Easy easy mkuu.Nina wasiwasi na upeo wenu wa kupambanua mambo
Ni kitu gani kinaonesha Mbatia ni tiss
Kufukuzwa chuo?
Nonsense!
Halafu mbatia alipofukuzwa chuo alifungua kesi na kuishinda serikali na mahakama ikaamuru arudishwe chuoni, alipoandikiwa barua ya kurudishwa, akakataa kurudi.
Sio kweli kwamba aliomba kurudishwa chuoni serikali ikakataa.
Zitto je!Hata mboye mwenyewe.........ni TISS..[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
umesahau mwingne......Sharif HamadZitto je!
Hahaa...kila mtu tiss...
Ni kweli kabisa na ndiye aliyeivuruga NCCR"Uyu ni mtumishi wa Tanzania intelligent security service"
Aliivuruga kwa tamaa zake tu, gambas wakamtumua kuisambaratisha nccr kama zito alivyotaka kuisambaratisha chadema.Ni kweli kabisa na ndiye aliyeivuruga NCCR
Una maana gani. Kufanya kazi mpaka uwe mtumishi wa serikali?Hivi kumbe mshkaji hajawahi kufanyakazi sehemu yeyote baada ya masomo??
Yani aliingia kwenye siasa moja kwa moja?
Rudia kusoma tena swali langu. Hamna neno serikaliUna maana gani. Kufanya kazi mpaka uwe mtumishi wa serikali?
Una ushahidi kuhusu ili mkuu? Au speculation tu.
Nina ushahidi wa kutosha haikuwa bahati mbaya yeye kuteuliwa kuwa mbunge kutoka kwenye chama cha NCCR na Kikwete.
Hata Jussa wa CUF na sasa hivi ACT alishawahi kuteuliwa na Dkt Kikwete
Unajua chanzo cha Mbatia kuanza kuhisiwa ni TISS?
Mwanzoni mwa Miaka ya 2000 alipatiwa Flat ya kuishi ya NSSF Mbezi Beach Makonde na aliekuwa DG wake Dr Dau
Gari yake ilisajiliwa sambamba na Gari Mia moja za Usalama ambazo zilikuwa na Plate number zinazoanzia na TZR , ( Gari nyingi za TISS wakati huo zilikuwa TZR) sasa Wazee wa Mjini tukashangaa Gari yake ikapewa plate number ( -TZR....) sambamba na za kijitonyama watu wakahisi kapewa na Mfumo kumbe na Dada yake anaeishi Duniani
Kwa hiyo Puuzeni tetesi na Uvumi wowote wa kumhusisha Mh. Mbatia na mambo hayo