Tetesi: Kiongozi mkubwa wa upinzani aliyenunuliwa na CCM ni James Mbatia?

Tetesi: Kiongozi mkubwa wa upinzani aliyenunuliwa na CCM ni James Mbatia?

Kinachosikitisha zaidi ni kwa hawa viongozi kufanya wanayofanya wakati huu ambapo yote tuliyodhani wanayapinga yanapozidi kushamiri zaidi huko wanakokwenda.

Hili ni jambo la kusikitisha kama ni kweli Mbatia naye, kama Dr Mihogo, na yeye anaelekea huko!

Lakini huu sio wakati wa kukaa chini na kulialia. Mapambano na yaendelee. Nchi hii haina upungufu wa wazalendo wa kweli.
 
Hata Jussa wa CUF na sasa hivi ACT alishawahi kuteuliwa na Dkt Kikwete

Unajua chanzo cha Mbatia kuanza kuhisiwa ni TISS?

Mwanzoni mwa Miaka ya 2000 alipatiwa Flat ya kuishi ya NSSF Mbezi Beach Makonde na aliekuwa DG wake Dr Dau

Gari yake ilisajiliwa sambamba na Gari Mia moja za Usalama ambazo zilikuwa na Plate number zinazoanzia na TZR , ( Gari nyingi za TISS wakati huo zilikuwa TZR) sasa Wazee wa Mjini tukashangaa Gari yake ikapewa plate number ( -TZR....) sambamba na za kijitonyama watu wakahisi kapewa na Mfumo kumbe na Dada yake anaeishi Duniani

Kwa hiyo Puuzeni tetesi na Uvumi wowote wa kumhusisha Mh. Mbatia na mambo hayo
Hii umeiandika kikamilifu sana. Wakati mwingine hunichanganya!

Na kule alipofukuzwa chuo kikuu ilikuwa ni sehemu ya mbinu.
 
Unajuwaje kama yeye siyo mwana tiss?

In God we trust
Na mimi nataka kujua kama kweli ni tiss kwa prove za uhakika kwasababu binafsi namuona kama mpinzani au mwananchi wa kawaida sio muajiriwa wa tiss,je wewe unaamini kama ni tiss?
 
Hapana sio Mbatia. Why CCM wamnunue mwanasiasa asiye na impact yoyote kwenye siasa za Tanzania? They had a bigger fish to catch, and unfortunately, they actually succeeded to. Time will tell!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni zaidi ya kushawishi, bali kukubaliana na wazo hili.

Ya nini kumchukua mtu ambaye hana madhara wakati huu, na kama ni sehemu ya limbukeni, kwa nini kumtoa huko anakofanya kazi yake kwa ufanisi na mafao yake anayapata?
 
Hata Jussa wa CUF na sasa hivi ACT alishawahi kuteuliwa na Dkt Kikwete

Unajua chanzo cha Mbatia kuanza kuhisiwa ni TISS?

Mwanzoni mwa Miaka ya 2000 alipatiwa Flat ya kuishi ya NSSF Mbezi Beach Makonde na aliekuwa DG wake Dr Dau

Gari yake ilisajiliwa sambamba na Gari Mia moja za Usalama ambazo zilikuwa na Plate number zinazoanzia na TZR , ( Gari nyingi za TISS wakati huo zilikuwa TZR) sasa Wazee wa Mjini tukashangaa Gari yake ikapewa plate number ( -TZR....) sambamba na za kijitonyama watu wakahisi kapewa na Mfumo kumbe na Dada yake anaeishi Duniani

Kwa hiyo Puuzeni tetesi na Uvumi wowote wa kumhusisha Mh. Mbatia na mambo hayo
Mke wa mbatia alikuwa ni meneja pale nssf, kama sikosei wa customer and public relations, na walipangisha nyumba pale mbezi beach,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nitakua wa mwisho kuamin. huyu chama ni chake. aondoke amwachie nani? hata kama ni eagle 🦅 mweupe bado hawez kwenda ccm! hata akiongea unaona kabisaaaa yupo kww ajili ya Tz na sio watawala
 
..Mbatia alifukuzwa chuo kikuu wakati wa utawala wa Raisi Mwinyi kwasababu alikuwa ktk ya viongozi walioongoza mgomo wa wanafuzi wa udsm.

..na alifukuzwa akiwa amebakisha mwaka 1 amalize shahada yake ya uhandisi chuo kikuu Dsm.

..pamoja na kuomba arejee kumalizia masomo yake serekali ilimkatalia.
Unanifanya nizidi kuamini kuwa huyu ni Nzi!
 
Ccm sio chama cha siasa bali ni taasisi ya kidola iliyojivika koti la chama cha siasa.
Nimemuona Dr slaa amegonga Like kwenye uzi huu, habari za siku nyingi kamanda Dr slaa.
 
Hivi kumbe mshkaji hajawahi kufanyakazi sehemu yeyote baada ya masomo??

Yani aliingia kwenye siasa moja kwa moja?
 
Ccm sio chama cha siasa bali ni taasisi ya kidola iliyojivika koti la chama cha siasa.

Kuna wakati unakuwaga na akli sana ..ila somtyme sjui huwa unamuazimisha nani..ahsante kwa kutambua kuwa CCM ni zaidi ya chama cha siasa....neno chama kwa CCM ni geresha tuuu..hyo ni dola usishangae kusikia hata Trump ni member wa CCM
 
Nimemuona Dr slaa amegonga Like kwenye uzi huu, habari za siku nyingi kamanda Dr slaa.

Duuu kumbe na wewe umemuona. Hata mimi nimeshangaa, ajitokeze mzee aache uoga, yeye ndio watu waliotupa ujasiri wa siasa kumbe naye akipata ulaji anapotezea!
 
Back
Top Bottom