misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Ungeweka japo kidogo tafadhari mkuu.Nina ushahidi wa kutosha haikuwa bahati mbaya yeye kuteuliwa kuwa mbunge kutoka kwenye chama cha NCCR na Kikwete.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeweka japo kidogo tafadhari mkuu.Nina ushahidi wa kutosha haikuwa bahati mbaya yeye kuteuliwa kuwa mbunge kutoka kwenye chama cha NCCR na Kikwete.
😂😂 eti kilaza!!
Ndio style..Mbatia alifukuzwa chuo kikuu wakati wa utawala wa Raisi Mwinyi kwasababu alikuwa ktk ya viongozi walioongoza mgomo wa wanafuzi wa udsm.
..na alifukuzwa akiwa amebakisha mwaka 1 amalize shahada yake ya uhandisi chuo kikuu Dsm.
..pamoja na kuomba arejee kumalizia masomo yake serekali ilimkatalia.
hili hata mimi nnamshaka nalo kama dada yake marehemu alivyokua anamheshimu ni mzazi wa mkwe wa magufuli basi kuna namnaCcm nichama chenye mizizi kila kona usishangae hata peter msigwa akawa ni mwanachama wa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Thats goes the same with chadema bora ccm mwenyekiti anaokomo chadema jee!!! Ukomo wake lini?CCM ni taasisi siyo chama ndiyo maana mwenyekiti anaamua atakalo.
Kuna habari zimeenea kuwa kuna kiongozi mmoja mkubwa wa upinzani nchini Tanzania amenunuliwa aende CCM. Kwa kuangalia upepo wa mambo namuona mpare ndugu JAMES MBATIA aliyekuwa NCCR Mageuzi. Japo ni tetesi na zitakuja kuwa kweli naiweka CV yake hapa.
View attachment 1074059
JAMES MBATIA PROFILE
James Francis Mbatia was born on 10th June 1964 in Tanzania. He is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and member of parliament for Vunjo constituency.
James Mbatia Education Background
2007 – 2009: Diploma in International Civil Engineering Management, University of Hanze-Netherlands.
2008: Certificate in Basic Elements of Safety and Health, University of Hanze-Netherlands.
1987 – 1992: Degree in Civil Engineering, University Of Dar es Salaam ( Not Completed)
1984 – 1986: “A” Level, Tambaza Secondary,Dar es Salaam
1980 – 1983: “O” Level, Kilimanjaro Boys, Kilimanjaro
1973 – 1979: Primary Education, Iwa-Kirua Vunjo,Moshi.
James Mbatia Political Career
2012 – 2015: Nominated Member of Parliament.
Since 2000: National Chairman, NCCR-Mageuzi.
1995 – 2000: Member of Parliament for Vunjo constituency
1994 – 2000: Secretary Department of Organization and Election, NCCR-Mageuzi
1992 – 1994: National youth chairman,
NCCR-Mageuzi.
"Uyu ni mtumishi wa Tanzania intelligent security service"
Una ushahidi kuhusu ili mkuu? Au speculation tu.
Ccm nichama chenye mizizi kila kona usishangae hata peter msigwa akawa ni mwanachama wa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Jussa wa CUF na sasa hivi ACT alishawahi kuteuliwa na Dkt Kikwete
Unajua chanzo cha Mbatia kuanza kuhisiwa ni TISS?
Mwanzoni mwa Miaka ya 2000 alipatiwa Flat ya kuishi ya NSSF Mbezi Beach Makonde na aliekuwa DG wake Dr Dau
Gari yake ilisajiliwa sambamba na Gari Mia moja za Usalama ambazo zilikuwa na Plate number zinazoanzia na TZR , ( Gari nyingi za TISS wakati huo zilikuwa TZR) sasa Wazee wa Mjini tukashangaa Gari yake ikapewa plate number ( -TZR....) sambamba na za kijitonyama watu wakahisi kapewa na Mfumo kumbe na Dada yake anaeishi Duniani
Kwa hiyo Puuzeni tetesi na Uvumi wowote wa kumhusisha Mh. Mbatia na mambo hayo
Karibu mkuuUzi umefungwa na kuonesha tetesi na kuhisi kwangu sio kweli tuendelee kununua muda tutakuja kumfahamu au tuendelee kuhisi ni nani huyo Mwanasiasa mkubwa wa upinzani aliyekula ndoano. Asante Evarist Chahali
Kwahyo mtaka kusema kila MTU in mtumishi wa idara hiyo?"Uyu ni mtumishi wa Tanzania intelligent security service"
Uzuri mnajuana"Uyu ni mtumishi wa Tanzania intelligent security service"
Naomba uelewe maana ya tetesi mkuu Mmawia kupitia kuconnect dots na kuwaza nje ya box sio kwamba namdefame. Tusubirie ni mwanasiasa mkubwa atajulikana au kuna mtu atakuja kumtaja na itadhihirika hizi tetesi ni ukweli.Umemtendea kitu kibaya sana mh Mbatia kwa kuamua kumlisha jambo ambalo huna uhakika nalo
In God we trust
kumbe TIS mbona engineering hakumaliza kwa kumtusi mwinyi?"Uyu ni mtumishi wa Tanzania intelligent security service"