Tetesi: Kiongozi mkubwa wa upinzani aliyenunuliwa na CCM ni James Mbatia?

Tetesi: Kiongozi mkubwa wa upinzani aliyenunuliwa na CCM ni James Mbatia?

Hata Jussa wa CUF na sasa hivi ACT alishawahi kuteuliwa na Dkt Kikwete

Unajua chanzo cha Mbatia kuanza kuhisiwa ni TISS?

Mwanzoni mwa Miaka ya 2000 alipatiwa Flat ya kuishi ya NSSF Mbezi Beach na aliekuwa DG wake Dr Dau

Gari yake ilisajiliwa sambamba na Gari Mia moja za Usalama ambazo zilikuwa na Plate number zinazoanzia na TZR , sasa Wazee wa Mjini tukashangaa Gari yake ikapewa plate number ( -TZR....) sambamba na za kijitonyama watu wakahisi kapewa na Mfumo kumbe na Dada yake anaeishi Duniani
Huna koromeo kabisa walah[emoji2][emoji2]
 
Hata Jussa wa CUF na sasa hivi ACT alishawahi kuteuliwa na Dkt Kikwete

Unajua chanzo cha Mbatia kuanza kuhisiwa ni TISS?

Mwanzoni mwa Miaka ya 2000 alipatiwa Flat ya kuishi ya NSSF Mbezi Beach na aliekuwa DG wake Dr Dau

Gari yake ilisajiliwa sambamba na Gari Mia moja za Usalama ambazo zilikuwa na Plate number zinazoanzia na TZR , sasa Wazee wa Mjini tukashangaa Gari yake ikapewa plate number ( -TZR....) sambamba na za kijitonyama watu wakahisi kapewa na Mfumo kumbe na Dada yake anaeishi Duniani
Umenikumbusha enzi za Pajero
 
Kuna habari zimeenea kuwa kuna kiongozi mmoja mkubwa wa upinzani nchini Tanzania amenunuliwa aende CCM. Kwa kuangalia upepo wa mambo namuona mpare ndugu JAMES MBATIA aliyekuwa NCCR Mageuzi. Japo ni tetesi na zitakuja kuwa kweli naiweka CV yake hapa.

View attachment 1074059

JAMES MBATIA PROFILE

James Francis Mbatia was born on 10th June 1964 in Tanzania. He is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and member of parliament for Vunjo constituency.

James Mbatia Education Background
2007 – 2009: Diploma in International Civil Engineering Management, University of Hanze-Netherlands.
2008: Certificate in Basic Elements of Safety and Health, University of Hanze-Netherlands.
1987 – 1992: Degree in Civil Engineering, University Of Dar es Salaam ( Not Completed)
1984 – 1986: “A” Level, Tambaza Secondary,Dar es Salaam
1980 – 1983: “O” Level, Kilimanjaro Boys, Kilimanjaro
1973 – 1979: Primary Education, Iwa-Kirua Vunjo,Moshi.

James Mbatia Political Career
2012 – 2015: Nominated Member of Parliament.
Since 2000: National Chairman, NCCR-Mageuzi.
1995 – 2000: Member of Parliament for Vunjo constituency
1994 – 2000: Secretary Department of Organization and Election, NCCR-Mageuzi
1992 – 1994: National youth chairman,

NCCR-Mageuzi.

Mchagga.
Si Mpare...
 
Kuna habari zimeenea kuwa kuna kiongozi mmoja mkubwa wa upinzani nchini Tanzania amenunuliwa aende CCM. Kwa kuangalia upepo wa mambo namuona mpare ndugu JAMES MBATIA aliyekuwa NCCR Mageuzi. Japo ni tetesi na zitakuja kuwa kweli naiweka CV yake hapa.

View attachment 1074059

JAMES MBATIA PROFILE

James Francis Mbatia was born on 10th June 1964 in Tanzania. He is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and member of parliament for Vunjo constituency.

James Mbatia Education Background
2007 – 2009: Diploma in International Civil Engineering Management, University of Hanze-Netherlands.
2008: Certificate in Basic Elements of Safety and Health, University of Hanze-Netherlands.
1987 – 1992: Degree in Civil Engineering, University Of Dar es Salaam ( Not Completed)
1984 – 1986: “A” Level, Tambaza Secondary,Dar es Salaam
1980 – 1983: “O” Level, Kilimanjaro Boys, Kilimanjaro
1973 – 1979: Primary Education, Iwa-Kirua Vunjo,Moshi.

James Mbatia Political Career
2012 – 2015: Nominated Member of Parliament.
Since 2000: National Chairman, NCCR-Mageuzi.
1995 – 2000: Member of Parliament for Vunjo constituency
1994 – 2000: Secretary Department of Organization and Election, NCCR-Mageuzi
1992 – 1994: National youth chairman,

NCCR-Mageuzi.
Hapana sio Mbatia. Why CCM wamnunue mwanasiasa asiye na impact yoyote kwenye siasa za Tanzania? They had a bigger fish to catch, and unfortunately, they actually succeeded to. Time will tell!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..Mbatia alifukuzwa chuo kikuu wakati wa utawala wa Raisi Mwinyi kwasababu alikuwa ktk ya viongozi walioongoza mgomo wa wanafuzi wa udsm.

..na alifukuzwa akiwa amebakisha mwaka 1 amalize shahada yake ya uhandisi chuo kikuu Dsm.

..pamoja na kuomba arejee kumalizia masomo yake serekali ilimkatalia.
 
Bora umejipambanua mkuu kuwa we ni nan maana nikikumbuka Uzi wako juu ya same mashariki nikiconnect dots nia yako IPO waz juu ya same tatzo n chadema na maendeleo unayoyataka chief acha kupaka watu matope siasa haziendi hivyo mkuu wenye same yao wanakuangalia halafu wanasema hiiiiiii in jiwe's voice
Ccm nichama chenye mizizi kila kona usishangae hata peter msigwa akawa ni mwanachama wa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana sio Mbatia. Why CCM wamnunue mwanasiasa asiye na impact yoyote kwenye siasa za Tanzania? They had a bigger fish to catch, and unfortunately, they actually succeeded to. Time will tell!

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi umefungwa na kuonesha tetesi na kuhisi kwangu sio kweli tuendelee kununua muda tutakuja kumfahamu au tuendelee kuhisi ni nani huyo Mwanasiasa mkubwa wa upinzani aliyekula ndoano. Asante Evarist Chahali
 
Mbatia Anaweza kua Sio Mwanasisiemu ila akawa Mtu asiye na Madhara kwa CCM kwa kipindi chote cha Jiwe kwa
kuthubutu kua Mpinzani yule tuliyemfahamu zamani zile, kama aina ya Nyerere Mpya.
Aliyenyooshwa Vidole wanasiasa wanaoiharibu 'Mama Tanzania'.

Ni Baada ya Kunyooshewa Fimbo ya Dhahabu kumuona Jiwe pale magogoni, na kupata baraka za kuendelea na Ujenzi wa barabara kule kwao kupitia michango ya harambee. siasa ngumu bhana. Tafuta maisha. Siasa waachieni wenye roho ngumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom