Tetesi: Kiongozi mkubwa wa upinzani aliyenunuliwa na CCM ni James Mbatia?

Tetesi: Kiongozi mkubwa wa upinzani aliyenunuliwa na CCM ni James Mbatia?

Kuna wakati unakuwaga na akli sana ..ila somtyme sjui huwa unamuazimisha nani..ahsante kwa kutambua kuwa CCM ni zaidi ya chama cha siasa....neno chama kwa CCM ni geresha tuuu..hyo ni dola usishangae kusikia hata Trump ni member wa CCM

Ccm dola imeshakata pumzi, vijana mnaoendelea kuwapa vijiti nao hawaelewi wasimamie wapi. Kizazi kimebadilika, kizazi hiki hakiamini tena habari ya mwenge wa uhuru na matambiko ya muungano.
 
Amebaki Malando,Saidi kubenea, Ester bulaya na Yeriko nyerere.

List ni ndefu sana ila wakiondoka hao upinzani kwaanza kushamili kiasi.
nna wasiwasi sana na yericko Nyerere kuwa ni mtu wa pale getini mkabala na restaurant kwasababu anaongea mambo makubwa mno bila woga Nadhani hata kina mbowe hawamwamini ndio maana hawampi nafasi pamoja ya kwamba anawatetea sana kina mbowe
 
[emoji23][emoji23] eti kilaza!!

Nikukumbushe kitu zamani system nilikuwaa sijui kama inaendelea sasa lazima aidha afukuzwe chuo asimalize halafu anakuwa kama depressed kumbe ndio wale wale,usishangae siku dogo Abdul ni wale wale mkuu.

Mbona ujamshuku mzee wa elimu ya hapa na pale mkuu?
Hata John Mnyika "alifukuzwa" chuo. Labda ni mbinu inayotumika sana na kitengo kwa vifuniko vyao baada ya kukamilisha mission au ku-abort... Kama exit strategy fulani hivi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo
Na mimi nataka kujua kama kweli ni tiss kwa prove za uhakika kwasababu binafsi namuona kama mpinzani au mwananchi wa kawaida sio muajiriwa wa tiss,je wewe unaamini kama ni tiss?

In God we trust
 
Hata John Mnyika "alifukuzwa" chuo. Labda ni mbinu inayotumika sana na kitengo kwa vifuniko vyao baada ya kukamilisha mission au ku-abort... Kama exit strategy fulani hivi!

Sent using Jamii Forums mobile app

I entirely agree with you mkuu.

Ndio methods imetumika sana miaka ya nyuma sijajua kama inaendelea hadi sasa,je tumuhisi dogo Abdul ni wale wale?
 
Alafu utafaidika kitu gani ukishajua?
I entirely agree with you mkuu.

Ndio methods imetumika sana miaka ya nyuma sijajua kama inaendelea hadi sasa,je tumuhisi dogo Abdul ni wale wale?
 
Jf ni mkusanyiko wa watu wengi sana bila utambulisho wa kazi zao na kama wanazionyesha wengi wao ni kiini macho kwahiyo punguza ubishi usiyo na tija
Na wewe unafaidika na nini kuwepo kwenye hii thread?
 
Jf ni mkusanyiko wa watu wengi sana bila utambulisho wa kazi zao na kama wanazionyesha wengi wao ni kiini macho kwahiyo punguza ubishi usiyo na tija
Binafsi sipo hapa kwa ajili ya ubishi kama unalijua hilo basi upaswi kuniuliza itanisaidia nini kama hujui kitu kaa kimya
 
Wewe ndiyo huna ujuwalo maana inaonekana unalazimisha kujua kitu ambacho hakita kusaidia lolote ukitaka nenda kijito ukapatiwe ukweli ila ujiandae
Binafsi sipo hapa kwa ajili ya ubishi kama unalijua hilo basi upaswi kuniuliza itanisaidia nini kama hujui kitu kaa kimya
 
Naona sasa kila mtu anaweka analowaza kichwani mwake bila kufikiri. Tusihangaike wote hawa ni Watanzania wanaitumikia nchi yao bila kujali wapo wapi. Naona hata mwana jamiforum "Technically" anawapoint kule watu ambao kila kukicha wanaitukana Serikali sasa sijui anataka kutwambia nini? Don't worry, mwisho wa siku nchi inayoitwa Tz ndo wote tumo humo na nijukumu letu wote kuijenga.Hivi vyama na sehemu za kazi tulipo ni njia tu ya kutufanya wote tusije tukawekwa kwenye kapu moja kama mayayi.
 
I entirely agree with you mkuu.

Ndio methods imetumika sana miaka ya nyuma sijajua kama inaendelea hadi sasa,je tumuhisi dogo Abdul ni wale wale?
Nina wasiwasi na upeo wenu wa kupambanua mambo

Ni kitu gani kinaonesha Mbatia ni tiss
Kufukuzwa chuo?

Nonsense!

Halafu mbatia alipofukuzwa chuo alifungua kesi na kuishinda serikali na mahakama ikaamuru arudishwe chuoni, alipoandikiwa barua ya kurudishwa, akakataa kurudi.

Sio kweli kwamba aliomba kurudishwa chuoni serikali ikakataa.
 
Back
Top Bottom