Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Wapo ambapo wanakimbilia? Sababu ni vita sio maisha ....Marekani anaunda makundi ya kigaidi ili nchi hizo zisitawalike .
Marekani atoe majeshi kule ndio hapatokuwa na vita .

Nchi za Asia ndio wananchi wake wanapenda kukaa kwao sio kusafiri mara kwa mara , tatizo ni vita .

Msikilize Traore juzi aliongelea hilo suala .
Kwanini wasiende UAE au Saudia Arabia maana huko kuna kilakitu poa na hawana vita ? Wanahangaika kwenda nchi ambazo inabidi wajifunze klugha mpya na hakuna maadili ya kiislamu. Nasubiri jibu Sheikh wangu
 
Kwanini wasiende UAE au Saudia Arabia maana huko kuna kilakitu poa na hawana vita ? Wanahangaika kwenda nchi ambazo inabidi wajifunze klugha mpya na hakuna maadili ya kiislamu. Nasubiri jibu Sheikh wangu
Uliona wapi mbona wzungu wapo kule ? Ebu jaribu kufany tafiti acha uongo ....kusoma ni sehemu yoyote na biashara zinafanyika hapo German wanazunguka sana .

Elimu zipo kila kona naona bado hamna unachojua , ukienda Irana wazungu wapo na ndio hao wanalazimisha mila zao .

Kujifunza lugha ni dhambi ? mMona sioni logic yako zaidi ya utoto na ubaguzi wa kimaskini ?

Nchi za Asia ukitoa zenye vita zilizobaki watu wao wanapenda kukaa kwao , Kule Dubai wazungu wanafuata nn ? maana ni mwengi kuliko wenyeji ..
 
Katika hali isiyotegemewa, Israel imeamua kuanza winda vichwa vya nyoka.

Siku ya jana walishambulia na kuua wakubwa huko Lebanon

Waliouawa ni COS wa Hezbollah Bwana Shukr

Isivyotegemea kapiga ndani ya Iran na kumuua Kiongozi wa Hamas Haniyeh

Israel kaona njia pekee ni kuwatoa viongozi.
Huyo Fuad Shukr nadhani hawakumuua, niliona Al Jazeera na CNN.

Mimi siwapendi Israel, Marekani na West kwa ujumla kwasababu ya uonevu uliopitiliza lakini hii yote anatafutwa Iran na kama ningeweza kuwashauri Iran kitu ni kuwa hawatakiwi kujibu chochote wakae kimya kabisa.

Waweke nguvu zao zote kuhakikisha wanapata uwezo wa kutengeneza bomu la nyuklia ndo uonevu wote utaisha na hilo eneo litakua na amani at last.

Kwa sasa watulie kabisa hata kama inauma kiasi gani.
 
Uliona wapi mbona wzungu wapo kule ? Ebu jaribu kufany tafiti acha uongo ....kusoma ni sehemu yoyote na biashara zinafanyika hapo German wanazunguka sana .

Elimu zipo kila kona naona bado hamna unachojua , ukienda Irana wazungu wapo na ndio hao wanalazimisha mila zao .

Kujifunza lugha ni dhambi ? mMona sioni logic yako zaidi ya utoto na ubaguzi wa kimaskini ?

Nchi za Asia ukitoa zenye vita zilizobaki watu wao wanapenda kukaa kwao , Kule Dubai wazungu wanafuata nn ? maana ni mwengi kuliko wenyeji ..
Kwa unaniambia wazungu wanainfluence tamaduni za kiislamu zibadilishwe Saudia Arabia na UAE. Kwamba mwanamke anaweza kutembea na bikini barabarabani Saudia na UAE ? Labda sijawahi kufika huko nisaidie ndugu yangu.
 
Wapo ambapo wanakimbilia? Sababu ni vita sio maisha ....Marekani anaunda makundi ya kigaidi ili nchi hizo zisitawalike .
Marekani atoe majeshi kule ndio hapatokuwa na vita .

Nchi za Asia ndio wananchi wake wanapenda kukaa kwao sio kusafiri mara kwa mara , tatizo ni vita .

Msikilize Traore juzi aliongelea hilo suala .

Nchi gani Asia ambazo hazina vita watu wanapenda kaa kwao??

Nchi masikini zimejaa huko Asia na watu lukuki kila siku wanapambania America/Europe zikiongozwa na nchi za kiislamu.

China yenyewe yenye uchumi mkubwa watu wanavukia Mexico boda
 
Nasikia jamaa alipigwa bomu matakoni akaanguka kama gunia, na mlinzi wake akala ya kifua
 
Hawajawahi Isha ,hawajaanza Leo Wala Jana
Mkuu nakisikia alipigwa bomu matakoni, Kwa akili yako unadhani kuna wakumshinda israel kwenye uwanja wa mapambano, ukumbuke walianza na wanae wa kiume watatu, yaani hawataki masalia ya magaidi jews ni watu hatari sana
 
Iran: Israel ikivamia Lebanon magaidi wote tutajaa Lebanon
Israel: Naua kingozi wa Madaigi hapo Beirut na Tehran what a message!?, it is just wow

Kwa maana nyingine Israel inamwambia Iran wewe nyoko, nitakufira wewe na wake zako chumbani kwako 😅😅😅😅
Mkuu umetumia bomu la nuclear hapa kushambulia
 
Ila dah hamna kitu huku tunaona kitu,,,,,,sie wa asili tunasema hao wa dini za majahazi wafumuane tu maana naona upande mmoja wapo wazee wa bwana wa mabwana na upande wa pili wale wazee wa mpira haram, wafumuane tu ,Hollywood watuletee kideo kizuri
Sasa wewe ndio umeongea mkuu.
 
Back
Top Bottom