Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

In addition to that hii ni msg nzito kwa Iran na washirika wake wamefanya tukio ambalo Iran imebaki uchi. Mbaya kuliko yote Huwa Israel ha confirm kwenye matukio mazito kama haya.
 
Kiboko yao alikuwa Arafat tu, yule ndio mwamba.
Haujui Historia Arrafat alitumia hela nyingi za PLO kula bata na kusafiri. Arafat angejinyima na kutumia pesa aliyopata kwa ajili ya kuikomboa Israel wapalestina wangefika mbali. Tatizo kubwa la waarabu wanabaguana wao kwa wao. Hakuna umoja uarabuni ndio maana wa-Palestina, wa-Iraq na wa-Afghanistan wanakimbilia Ulaya na Marekani.
 
Special unit of Israel called Kidon.... Acha kabisa Dunia imesimama usiku. Wakati Israel wakiwa ktk moja ya operation ngumu kabisa kuwahi tokea. Iran lazima aseme poooo.. Hezbollah Naye lazima aseme poo sidhani kama atarusha mabomu tena. Maana wamesha ambiwa wanakitaka kichwa cha mkuu wao. Kuifuta Hamas nijambo linawezeka
Hao kidon wanashindwa nini kuwatafuta mateka HUKO ghaza
 
Haujui Historia Arrafat alitumia hela nyingi za PLO kula bata na kusafiri. Arafat angejinyima na kutumia pesa aliyopata kwa ajili ya kuikomboa Israel wapalestina wangefika mbali. Tatizo kubwa la waarabu wanabaguana wao kwa wao. Hakuna umoja uarabuni ndio maana wa-Palestina, wa-Iraq na wa-Afghanistan wanakimbilia Ulaya na Marekani.
Wapo ambapo wanakimbilia? Sababu ni vita sio maisha ....Marekani anaunda makundi ya kigaidi ili nchi hizo zisitawalike .
Marekani atoe majeshi kule ndio hapatokuwa na vita .

Nchi za Asia ndio wananchi wake wanapenda kukaa kwao sio kusafiri mara kwa mara , tatizo ni vita .

Msikilize Traore juzi aliongelea hilo suala .
 
Iran security established imeshakuwa 'compromised' na vyombo vya kijasusi kutoka maadui wa Iran.....ndio maana hao wauaji wanaweza kutekeleza matukio aina hiyo na kutoroka bila kukamatwa.

Isitoshe Mossad imeajiri mawakala wake wengi tu ndani ya Iran wanafanya hizo kazi za kijasusi (espionage) kwa niaba yao.

T14 Armata dudus Aleyn
Ni kweli mkuu, hii inadhihirisha jamaa wana watu wengi wazito ndani ya vyombo vya usalama Iran.

Taarifa ya kuuwawa kwa viongozi hawa ugaidi ndani ya masaa 24 ni taarifa njema zaidi.
 
Arafat aliuwawa kwa sumu, kesi iliendela France alipopelekwa hadi kupelekea kufumua kaburi lake ili wathibitishe na kweli walikuta sumu kwenye mifupa

Angalia Aljezeera Arafat documentary ipo
Zilipendwa achana na Israel huwo ndio ujumbe kwa Dunia. Achana na Israel bifu lao nilakizazi mpaka kizazi. Angalia German Nazi leo hakuna mtu tena ukiwa na bahati mbaya wana assassinated family nzima
 
Magaidi ya Boko Haram Alshabab Houthi Hezbola Kataib Hezbola Hizb tahrir ISIS nk yamalizwe ili Dunia ipumue.
 
In addition to that hii ni msg nzito kwa Iran na washirika wake wamefanya tukio ambalo Iran imebaki uchi. Mbaya kuliko yote Huwa Israel ha confirm kwenye matukio mazito kama haya.
Iran sio nchi mnadanganywa na mitandao , wa-Iran wenye taaluma wameishakimbia nchi yao. Wengi wako Marekani na Ujerumani. Waliobaki Iran ni watu wasio na taaluma wala utaalamu. Nchi haina tena wanasayansi unategemea nini ? Tatizo watanzania hatusafiri . Nimekaa nao huku ujerumani wanajifunza lugha haraka sana huko kwao kuanzia Kijerumani mpaka kifaransa na kuja kutafuta maisha sehemu nyingine.
Mitandao inafubaza sana, Mitandao imewaambia Wazungu huku Afrika hakuna umeme wala maji na watu wote ni masikini wa kutupwa na kila malaya ana ukimwi. Kiuhalisia kuna nchi za Afrika unaweza kula bata na kuishi vyema.Mitandao inatuambia Dubai ndio wana utajiri kuliko wote U.A.E mpaka tumewapa bandari zote. Kiuhalisia Dubai hawana mafuta na wanaendesha uchumi kwa kuwakopa Abu Dhabi. Tumekariri
 
Wewe punguani,Hako kanchi ka mashoga zako unakokashabikia hamna kitu.

Hata baba wa Taifa alikalaani
Ila dah hamna kitu huku tunaona kitu,,,,,,sie wa asili tunasema hao wa dini za majahazi wafumuane tu maana naona upande mmoja wapo wazee wa bwana wa mabwana na upande wa pili wale wazee wa mpira haram, wafumuane tu ,Hollywood watuletee kideo kizuri
 
Mbona kuna tetenasi kwamba ni kombora tokea kurdistan
Ila kwavyovyote itavyokua hili la haniye ni uzembe ulioje na inatakiwa iran wajitathmini
Ama wao wamehusika kwanamna moja ama nyengine
Hahahahah naona Bwana Utamu umekuwa mdogo kama piriton, hii ndio Israel brazaaa akiaumua jambo lake hashindwi.
 
Bado Hassan Nasralah yule wa Hezbolah
Anahesabiwa kila hatua anayopiga. Yoyote akijitolea kuwa kiongozi wa kundi lolote la kigaidi kati ya Hamas, Hezbollah,n.k ajihesabie mfu anaetembea.
Muda ni mchache hakuna tena kuwavizia kwa sumu,ni kuwachangamsha kwa risasi,bomu popote walipo
 
Ila dah hamna kitu huku tunaona kitu,,,,,,sie wa asili tunasema hao wa dini za majahazi wafumuane tu maana naona upande mmoja wapo wazee wa bwana wa mabwana na upande wa pili wale wazee wa mpira haram, wafumuane tu ,Hollywood watuletee kideo kizuri
Kanaishi Kwa mgongo wa USA
 
Back
Top Bottom