Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini.
Uzi wako wa dini wa asubuhi ulipotea hewani.
Uzi wako wa dini wa asubuhi ulipotea hewani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe jamaa wa mvuha umejua watoto wa Netanyahu wako wapi? Ujinga mtupuWatoto wa netanyau wamesha toroshwa kwenda Cyprus
Huu ni utoto, vira si kitu cha kufurahia kabisaYaani kama kuna Siku ambayo GENTAMYCINE nina Raha ni Leo hasa kwa Watu ninaowapenda Kuninyooshea Maadui.
Kwenye intelijensia iran wanatakiwa wajitathminiInasemekana Israel imetumia kombora kumuua. Ikitokea ni kweli basi hilo ni very advanced na dogo na lina mahesabu makali sana. Maana hilo eneo haijasikika mlipuko kabisa. Wakati Tehran iko zaidi ya 1,500km kutoka mpaka wa Israel na ni lazima uvuke anga la Iraq kuingia Iran kama unatokea Israel. Kombora lazima liwe kubwa kufika, ila likiwa kubwa linaacha alama za moshi karibu na impact site. Sasa immediately hawajaona moshi.
Hata hivyo sitarajii Iran kutoa taarifa kamili ilikuwaje maana wana aibu. Hamna cha Mossad wana mawakala, ni hivi Iran bado kuwa level za Israel kwenye ujasusi na mission ngumu.
Siwezi kusupport hiyo mipumbavu mie.Bila kusahau Mandela alikuwa na maneno kama haya:
"Supporting Palestinians is a duty, whatever the sacrifices are."
Hakuna loloteWWW3 on brink!!!
Pole sanaHamna mazungumzo yanahitajika zaidi ya mkono wa chuma.
Umwamba gani au hujui Israel waliweka sheria/kanuni ya kutokuua viongozi wa kisiasa wa nchi ambayo nadhani kwasasa washabadili huo msimamo.Kiboko yao alikuwa Arafat tu, yule ndio mwamba.
Hapo aliefeli ni Iran na sio HamasHamas wamefeli pakubwa mno, wameshindwaje kumlinda kiongozi wao Mkuu? Sasa kama kiongozi kauawa kuna nini tena? Warushe taulo basi.
Huyo tayari juzi waziri wa ulinzi wa Israel kamwambia ajiandae kuliwa kichwa.Bado Hassan Nasralah yule wa Hezbolah
Kumbe ndivyo ilvyoandikwa kwenye biblia yenu?Isipokuwa kuna wale wengine wavaa kanzu wao hujilioua ili kuingia mbinguni. Na wana makundi maalum ya kujilipua.
Mandela mwenyewe kapewa uhuru bandia. Ardhi yote na mifumo yote ya uchumi anamiliki mzungu.Bila kusahau Mandela alikuwa na maneno kama haya:
"Supporting Palestinians is a duty, whatever the sacrifices are."
Nani kakudanganya? Hujui kwamba mwili wake ulifukuliwa na kufanyiwa postmortem na kugundulika kuwa na kemikali za sumu hata makazi yake na nguo zake kule west bank ziligundulika na hiyo sumu.Alikufa natural death, hakuuawa.
Huyo Rais kauwawa kwenye helicopter crash😂
Mimi demu wangu FaizaFoxy namsisitiza njia pekee ni kusurender aje nimliwaze au afie kwenye handakiYaani ndani ya Saa 12 tu Kudadadeki tumemmaliza Mpumbavu aliyeko Lebanon wa Hezbollah na yule wa Hamas aliyekuwa Iran. Halafu tulivyokuwa na Akili tumeuchuna / tumenyamaza kama vile siyo Sisi huku tukiwasikilizia tu Wapumbavu katika 'Saitimira' zetu ili wakileta tena Fyoko Fyoko tunaua tena Wengine. Watanyooka tu.