Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Wafia dini watakuja wakutukane wewe hawawezi kukubaliana na ulichoandika hata kama ni kweli wako na ubishi
 

View: https://x.com/Osint613/status/1818547931059819001?t=dM2opw0wUb0Qw5hYmCy6LQ&s=19
 
Sio kweli siku kadhaa zilizopita uchina imepokea viongozi wa Hamas Beijing na kufikia maafikiano kadhaa na fatah na viongozi wengine na wala Mossad hawajatekeleza jambo lolote la hatari maeneo ya Beijing kwa kiongozi yoyote.
 
Hao ndio wayahudi wanakupiga kwako wanakupiga ugegenini!!

Basi akale sasa bikra 72
 
Radar na air defence missiles za Russia na Iran combined!
 
Ngoja wasaa magauni waje
 
K
Kitu Cha ziada alicho nacho ni Nchi za magharibi tu hakuna kingine
 
In addition to that hii ni msg nzito kwa Iran na washirika wake wamefanya tukio ambalo Iran imebaki uchi. Mbaya kuliko yote Huwa Israel ha confirm kwenye matukio mazito kama haya.
Hawa wanaelawana lugha hawahitaji Myahudi aconfirm publicaly.
 
kwa hyo kumbe wairan hawataki maujinga ya ayatoula ndo maana wanakubali kuwa agents wa mossad..
Mapinduzi ya Ayatolla Khomeiny ya mwaka 1978 yameiharibu Iran. Iran ilikuwa highly developed chini ya Mtawala wa wakati huo aliyeitwa Mohamed Reza Pahlavi huku Khomeiny akiwa uhamishoni Paris. Kuifanya nchi ya Kiislamu kumeirudisha nyuma sana kwa sababu ya vikwazo walivyowekewa na umoja wa mataifa

Ilikuwa nchi yenye uchumi imara, kula bata kuliko Dubai enzi hizo. Ila Ayatollah kaifanya nchi kuwa msìkiti
 
Hii ni hasira ya kushindwa vita huko ghaza kwa style hii ndo wapiganaji wa Hamas watapandisha mzuka wa kufa mtu
Yani kiongozi Namba moja wa Hamas kauawa wewe unakimbilia kudai watu wameshindwa vita. Walipiga sawasawa mnadai wanaua watoto na wanawake, walipiga kiongozi mkuu mnadai ni hasira za kushindwa vita. Hivi unaelewa maana ya kushindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…