Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Sio watu ni nini?
Waislamu imefika wakati sasa mjiulize je kweli hii vita tunayopigana kama ilivyoelekezwa ndani ya Quran iko na baraka za yule Mungu wa kweli? Mm ninachoona aidha, kile kilichoandikwa kwenye Quran siyo kile ambacho Mohammad alitumwa na Allah. Au kama kweli Mohammad alitumwa na Allah basi huyo Allah munayemuabudu siye yule Mungu wa Kweli. Haiwezekani kataifa ka watu milioni 8 wayahudi, Waislamu milioni 3 wanalengwa kuangamizwa na Waislamu wapatao bilioni 2 na bado njama za waislamu hawa zimeshindwa tangu mwaka 1948. NB vita ya mwaka 1948, taifa la israel lilikuwa limeundwa May, 14 1948 na kesho yake mataifa yote ya Kiarabu yakawavamia wawaangamize na bado Israel ilishinda. Iran ilipopata Rais muhafidhina kindakindaki ( Ibrahim Raisi) aliyetaka kuwaangamiza Israel Rais huyo na waziri wake wa mambo ya nje alikufa ktk ajali ya Helkopter jambo lililoshangaza ulimwengu. Kwa sasa yule kiongozi wa Kamasi wa juu kabisa ndo huyo anakwenda kunyang'anyana na Ibrahim Raisi wale Mabikira 72.
Waislamu zindukeni kama mwenzenu Mwana wa Mfalme wa Saudia (MBS) ambaye kwa kuanzia anasema Hadithi za Mtume siyo za kuziamini ktk mafundisho ya UISLAMU. Na ndivyo hivyo hivyo haungi Mkono vita yenu ya Kidini mnayowatanguliza Masikini wapalestina wa watu dhidi ya Israel
 
Siyo ugomvi wa kuumizana kimwili bali physical altercation. JF tamu kichizi likija swala la debate/ malumbano ya hoja hasa kwenye international forum.

Pande mbili zinapokabiliana yani jamvi linachangamka kweli kweli.

Leo Asubuhi breaking news baada ya kiongozi wa Hamas Ismail Haney kuuwawa na shambulizi kutoka Israel breaking yani jamvi limetokota kuchangamka na kulipuka balaa.

Hawa miamba wameshikwa na kibaridi flani wamepooaaa hata wakichangia wamelegea Ritz Adiosamigo Malaria 2 kimsboy incharge Webabu FaizaFoxy

Wamemuacha dogo Jagina ndo amebaki kuwa active. Lakini cha kuhuzunisha na kusikitisha badala akabiliane na hoja yeye anamshambulia tu Mungu Yesu. Amuache Yesu wetu bana.

Imam Hussain kipenzi chetu cha dhati Allah Allah ampe qauli thabeet.
 
Hii ni hasira ya kushindwa vita huko ghaza kwa style hii ndo wapiganaji wa Hamas watapandisha mzuka wa kufa mtu
Huyo marehemu alikua kwenye list ya most wanted ya jeshi la Israel siku nyingi tu,na kwa taarifa yako amekoswa koswa mara kadhaa kuuwawa.
 
Iwapo unaamini katika uweza wa Mungu, hilo lisikupe tabu, maana Mungu aweza kujigeuza kuwa binadamu na wakati huohuo ni mungu

Katika hali hiyo ya kujigeuza katika uweza wake usio na mipaka, aweza kuishi maisha ya kibinadamu kabisa ili hali pia ni Mungu Muumbaji

Lakini mungu wa Quran hana uwezo wa kuzaa bila mke kama Mungu wa Biblia, cha kushangaza Shetani wa Quran anauwezo wa kuzaa bila mke

mkuu, huoni kwamba mwenye kutiliwa mashaka juu ya uweza usio na mipaka ni huyo mungu wa Quran?
Mbona Mungu kasema kwenye biblia hawezi kuwa mwanadamu au alikuwa akitania
 
Israel ina Rampange na Air LORA air launched ballistic missiles.
Na pia ina Sparrow series of air launched ballistic missile. Black Sparrow, Blue na Silver Sparrow. Mojawapo ya hizi ilitumika kupiga S-300 site pale Natanz mwaka huu.

Hayo sio makombora ya kila mtu ni wachache wanaweza. Matumizi ya AI waliyaonyesha walipomuua top nuclear scientist wa Iran kwa kutumia robot lenye bunduki kwenye Nissan pick up. Robot lilitumia AI na lilikuwa controlled na satellite likasoma facial recognition na likamuaa yeye peke yake kwa risasi 14. Hata mke wake aliyekuwa pembeni kwenye seat hakupatwa risasi hata moja. Walinzi 11 hakujeruhiwa yeyote.
Mkuu uko deep sana
 
Yaani kufunga Mwezi mzima kila mwaka, kupiga taji la kichwa kwenye sakafu Hadi kupata kovu (sijida)
Kusafiri Hadi Maka kumpiga Shetani mawe. Kutoa zaka, kuswali kutwa
mara 5 nk.
Taabu zote hizi sababu ya kuhangaikia Pombe na Wanawake....!, 🤔 tu.

Anyway kila mtu na mahitaji yake.
Wakristo tunamwunga mikono Israeli ni kwa ajiri ya Usalama wetu.
Uislamu ukishinda hivyo vijamaa vinavyojiita Boko-Haramu. Al-Nusra. Janjaweed. Al-Shabibi nk. Vitazaliana na kuongezeka kama nyumbu.
Na Tunaona jinsi vinavyo waua Wakristo wasio na hatia yoyote kwao.
Wakristo tunaiunga mikono Israeli kwa sababu hiyo.
Kulinda Usalama wetu na vizazi vyetu vijavyo.
Naunga mkono hoja
 
Mkuu nakisikia alipigwa bomu matakoni, Kwa akili yako unadhani kuna wakumshinda israel kwenye uwanja wa mapambano, ukumbuke walianza na wanae wa kiume watatu, yaani hawataki masalia ya magaidi jews ni watu hatari sana
Si ndio walitaka kumuuwa mungu wenu au vipi?
 
wanatakiwa kulaumiwa iran. inakuwame muhost wanted person na msiweke ulizi wa kutosha angani na ardhini? na wengine wanasema imepigwa airstrike sijui ya drone au ya nini hawajui kwasababu radar za iran ni dhaifu wanaweza kupigwa na wasijue nani kawapiga na katokea wapi. na wanakuwa precise kabisa wanapiga yule wanted tu bila kudhuri raia wengine au majengo mengine, meaning, wanaweza piga hata ikulu ya ayatolah peke yake na kwengine wakakuacha salama. usalama wa iran au yeyote anayekimbilia iran upo wapi hapo sasa?
Mbona houthi alipiga tele Aviv na hizbo walirekodi video ndani ya Israel bila kuonekana kila security ina bleach yake ndugu
 
Hao ndio wayahudi wanakupiga kwako wanakupiga ugegenini!!

Basi akale sasa bikra 72
Kwani ulifikiri hatoweza kufa? Kifo ni haki ya kila mtu, hasara ni kufa ukiwa unamwabudu mtu aliyekuwa akila na kunya Kama wewe ambaye akicheza na watoto wenzake
 
Israel under Mossad duniani inaogopwa ndio maana mpaka USA huwezi waambia kitu Kuhusu Israel. Nausishangae jamaa wapo Israel wanakunywa chai au USA. No stressing 😞
Nilishangaa South Africa kwenda kufungua mashtaka ICC kuishtaki Israel !!
 
Mapinduzi ya Ayatolla Khomeiny ya mwaka 1978 yameiharibu Iran. Iran ilikuwa highly developed chini ya Mtawala wa wakati huo aliyeitwa Mohamed Reza Pahlavi huku Khomeiny akiwa uhamishoni Paris. Kuifanya nchi ya Kiislamu kumeirudisha nyuma sana kwa sababu ya vikwazo walivyowekewa na umoja wa mataifa

Ilikuwa nchi yenye uchumi imara, kula bata kuliko Dubai enzi hizo. Ila Ayatollah kaifanya nchi kuwa msìkiti
Soma historia ya Mfalme wa Irani kapinduliwa na Nani usichupie tu na maneno ya kanisani
Uingereza wakichukuwa mafuta miaka 50 hawakulipa hata shilingi moja. Kuna Documentary , History Channel imeeleza yote
 
Ndio inaruhusu kisasi.
Maana ya kisasi ni kukomesha kile kilichotokea.
Kuhubiri amani haimaanishi kua ukubali uonevu.
MAKAFIRI [wafuasi wa YESU] wanasema kisasi chao ni Mungu ndio analipa.

Warumi 12:19

Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza,” asema Bwana.​

 
Iran sio nchi mnadanganywa na mitandao , wa-Iran wenye taaluma wameishakimbia nchi yao. Wengi wako Marekani na Ujerumani. Waliobaki Iran ni watu wasio na taaluma wala utaalamu. Nchi haina tena wanasayansi unategemea nini ? Tatizo watanzania hatusafiri . Nimekaa nao huku ujerumani wanajifunza lugha haraka sana huko kwao kuanzia Kijerumani mpaka kifaransa na kuja kutafuta maisha sehemu nyingine.
Mitandao inafubaza sana, Mitandao imewaambia Wazungu huku Afrika hakuna umeme wala maji na watu wote ni masikini wa kutupwa na kila malaya ana ukimwi. Kiuhalisia kuna nchi za Afrika unaweza kula bata na kuishi vyema.Mitandao inatuambia Dubai ndio wana utajiri kuliko wote U.A.E mpaka tumewapa bandari zote. Kiuhalisia Dubai hawana mafuta na wanaendesha uchumi kwa kuwakopa Abu Dhabi. Tumekariri
Dubai ni sehemu ya UAE na makao yao ya nchi yako Abu Dhabi. Mwaka 2008 kwenye mgogoro wa fedha duniani Dubai waliathirika kifedha hadi wakakaribia kushindwa kumaliza ujenzi wa Burj Khalifa. Mfalme Zayed wa Abu Dhabi ndiye aliwa bail out
 
Nilishangaa South Africa kwenda kufungua mashtaka ICC kuishtaki Israel !!
Unafikiri Wale makaburu wakisaidiwa na Nani kuwakandamiza na kuwabagua Waafrika?? Walikuwa mbele kuuwa waafrika ni Hao Israeli
 
MAKAFIRI [wafuasi wa YESU] wanasema kisasi chao ni Mungu ndio analipa.

Warumi 12:19

Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza,” asema Bwana.​

Sisi sio ninyi.
Sisi haturuhusu unyonge.
 
Back
Top Bottom