Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Sio watu ni nini?
Waislamu imefika wakati sasa mjiulize je kweli hii vita tunayopigana kama ilivyoelekezwa ndani ya Quran iko na baraka za yule Mungu wa kweli? Mm ninachoona aidha, kile kilichoandikwa kwenye Quran siyo kile ambacho Mohammad alitumwa na Allah. Au kama kweli Mohammad alitumwa na Allah basi huyo Allah munayemuabudu siye yule Mungu wa Kweli. Haiwezekani kataifa ka watu milioni 8 wayahudi, Waislamu milioni 3 wanalengwa kuangamizwa na Waislamu wapatao bilioni 2 na bado njama za waislamu hawa zimeshindwa tangu mwaka 1948. NB vita ya mwaka 1948, taifa la israel lilikuwa limeundwa May, 14 1948 na kesho yake mataifa yote ya Kiarabu yakawavamia wawaangamize na bado Israel ilishinda. Iran ilipopata Rais muhafidhina kindakindaki ( Ibrahim Raisi) aliyetaka kuwaangamiza Israel Rais huyo na waziri wake wa mambo ya nje alikufa ktk ajali ya Helkopter jambo lililoshangaza ulimwengu. Kwa sasa yule kiongozi wa Kamasi wa juu kabisa ndo huyo anakwenda kunyang'anyana na Ibrahim Raisi wale Mabikira 72.
Waislamu zindukeni kama mwenzenu Mwana wa Mfalme wa Saudia (MBS) ambaye kwa kuanzia anasema Hadithi za Mtume siyo za kuziamini ktk mafundisho ya UISLAMU. Na ndivyo hivyo hivyo haungi Mkono vita yenu ya Kidini mnayowatanguliza Masikini wapalestina wa watu dhidi ya Israel
 
Siyo ugomvi wa kuumizana kimwili bali physical altercation. JF tamu kichizi likija swala la debate/ malumbano ya hoja hasa kwenye international forum.

Pande mbili zinapokabiliana yani jamvi linachangamka kweli kweli.

Leo Asubuhi breaking news baada ya kiongozi wa Hamas Ismail Haney kuuwawa na shambulizi kutoka Israel breaking yani jamvi limetokota kuchangamka na kulipuka balaa.

Hawa miamba wameshikwa na kibaridi flani wamepooaaa hata wakichangia wamelegea Ritz Adiosamigo Malaria 2 kimsboy incharge Webabu FaizaFoxy

Wamemuacha dogo Jagina ndo amebaki kuwa active. Lakini cha kuhuzunisha na kusikitisha badala akabiliane na hoja yeye anamshambulia tu Mungu Yesu. Amuache Yesu wetu bana.

Imam Hussain kipenzi chetu cha dhati Allah Allah ampe qauli thabeet.
 
Hii ni hasira ya kushindwa vita huko ghaza kwa style hii ndo wapiganaji wa Hamas watapandisha mzuka wa kufa mtu
Huyo marehemu alikua kwenye list ya most wanted ya jeshi la Israel siku nyingi tu,na kwa taarifa yako amekoswa koswa mara kadhaa kuuwawa.
 
Mbona Mungu kasema kwenye biblia hawezi kuwa mwanadamu au alikuwa akitania
 
Mkuu uko deep sana
 
Naunga mkono hoja
 
Mkuu nakisikia alipigwa bomu matakoni, Kwa akili yako unadhani kuna wakumshinda israel kwenye uwanja wa mapambano, ukumbuke walianza na wanae wa kiume watatu, yaani hawataki masalia ya magaidi jews ni watu hatari sana
Si ndio walitaka kumuuwa mungu wenu au vipi?
 
Mbona houthi alipiga tele Aviv na hizbo walirekodi video ndani ya Israel bila kuonekana kila security ina bleach yake ndugu
 
Hao ndio wayahudi wanakupiga kwako wanakupiga ugegenini!!

Basi akale sasa bikra 72
Kwani ulifikiri hatoweza kufa? Kifo ni haki ya kila mtu, hasara ni kufa ukiwa unamwabudu mtu aliyekuwa akila na kunya Kama wewe ambaye akicheza na watoto wenzake
 
Israel under Mossad duniani inaogopwa ndio maana mpaka USA huwezi waambia kitu Kuhusu Israel. Nausishangae jamaa wapo Israel wanakunywa chai au USA. No stressing 😞
Nilishangaa South Africa kwenda kufungua mashtaka ICC kuishtaki Israel !!
 
Soma historia ya Mfalme wa Irani kapinduliwa na Nani usichupie tu na maneno ya kanisani
Uingereza wakichukuwa mafuta miaka 50 hawakulipa hata shilingi moja. Kuna Documentary , History Channel imeeleza yote
 
Ndio inaruhusu kisasi.
Maana ya kisasi ni kukomesha kile kilichotokea.
Kuhubiri amani haimaanishi kua ukubali uonevu.
MAKAFIRI [wafuasi wa YESU] wanasema kisasi chao ni Mungu ndio analipa.

Warumi 12:19

Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza,” asema Bwana.​

 
Dubai ni sehemu ya UAE na makao yao ya nchi yako Abu Dhabi. Mwaka 2008 kwenye mgogoro wa fedha duniani Dubai waliathirika kifedha hadi wakakaribia kushindwa kumaliza ujenzi wa Burj Khalifa. Mfalme Zayed wa Abu Dhabi ndiye aliwa bail out
 
Nilishangaa South Africa kwenda kufungua mashtaka ICC kuishtaki Israel !!
Unafikiri Wale makaburu wakisaidiwa na Nani kuwakandamiza na kuwabagua Waafrika?? Walikuwa mbele kuuwa waafrika ni Hao Israeli
 
MAKAFIRI [wafuasi wa YESU] wanasema kisasi chao ni Mungu ndio analipa.

Warumi 12:19

Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza,” asema Bwana.​

Sisi sio ninyi.
Sisi haturuhusu unyonge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…