Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kuna shehe hapa mtaan amelia mnoo nmemuambia badoo picha linakuja netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu

Waliapa Wale waliotaka kumuuwa mungu wao , mwisho wao ulikuwa vipi?
 
Yasser Arafat alikuwa peace sana. Yeye pamoja na Izhak Rabin wangemaliza uhasama. Walikuwa wanaelekea kupata amani

Kwani wayahudi kwa muonekano wanafanana na Wairan (Waajemi)?
Ukisoma Biblia kuna yale maakabila 12 ya wana wa Israel yaliyofurushwa na Mfalme Nebuchadnezzar miaka 600 BCE na kupelekwa utumwani Babylon (Iraq ya sasa)

Miaka michache baadaye Cyrus the Great mfame wa Uajemi (Iran ya sasa) akamshinda Mfalme wa Babylon na kuunganisha dola ile na ya Uajemi. Hivyo kwenye miaka 530 BCE akawaruhusu wana wa Israel warudi Jerusalem wakajenge upya hekalu.

Makabila yaliyorudi ni mawili tu; kabila la Yuda na la Benjamin. Makabila mengine 10 yanahesabiwa kama "10 lost tribes".

Hizi "10 lost tribes" yasemekana wengine ni wa Iran, Pashtun wa Afghanistan, Ibo wa Nigeria etc.

Sishangai kwa hiyo kuona Wayahudi wengi Iran
 
Huna hata unachokijua,ni mjinga kama wewe unaeamini vita vya Palestina na waisrael ni vita vya kidini! Hao ni majambazi yaliyochukuliwa sehem mbalibali na kuelekwa Palestina kuiba ardhi ya watu! Israel mwenyewe wapo waisrael wanaopinga uvamizi ulio fanywa na wageni kupora maeneo ya watu
 
Hamas wangekuwa hawajifichi kwa raia naamini vita ingetumia dakika kumi
Israel ameanza kuwa na huruma lini Kwa raia ikiwa wamepiga Hadi Wodi za wajawazito,wamezuia Hadi msaada ya kiutu kwenda Kwa hao watu wasio na hatia Falsafa ya wayahudi binadam yoyote awe mkristo ambaye si muisrael ni goyim na huna hatia hata ukipoteza maisha yake SASA hiyo huruma imeanza lini! Wao ni mabingwa WA teknolojia si wakamtafute raia mmoja mmoja selectively wakigundua ni hamas auawe!
Unapenda Sana cheap propaganda eti muisrael anaheshimu raia ndio maana vita imechukua muda mrefu! Fact ni hiyo Tu muisrael ameshindwa kwenye hii vita kitombo kabisa
 
Hakunaga urban war fair,imetoka wapi ikiwa UN imemkataza muisrael aache mapigano na aruhusu msaada ya kiutu iingie Gaza hajafanya hvo! Wabongo mnapenda propaganda kitu unakiona unaunganisha propaganda utafute ukweli ambao hUpo! Israel imeshindwa vita muda tuu
 
hahaha ni kweli waarabu na watu weusi wote kichwani hazimo. angalau waarabu wameweza kusimamia mafuta kwa ustawi wa jamii nzima ila zaidi ya hapo ni walewale tu kama watu weusi
Iran naye ni hyped. uwezo mdogo.
 
Mkuu wee endelea kujifariji huku umebana marinda/mkundu ukiwa na maumivu makali.
SASA ulitaka niuachie uwe wazi kama wako baada ya kuingiziwa mipini? Najiliwaza nini wakati Hali naiona? Una teknolojia kubwa za dunia yote,taifa teule la Mungu ukipumua Tu adui anapotea unapigana vita na hamas kilundi cha wahuni wachache wasio na lolote kijeshi Kwa muda WA mwaka? Kweli? Mkiwa mnashiba divai muwe mnaziweka na akili zenu huru
 
Wewe ni bogaz kweli ,na udini wako ballistic missile Iran alirusha 200 Israel zikadakwa zote, safari hii mtakiona cha moto
 
wayahudi wapo milioni kumi waarabu wapo milioni mia nne ulitarajia vita iishe ndani ya muda gani?
Kwa teknolojia ya muisrael na aliyetuaminisha kuwa hamasi ni kikundi cha wahuni wachache wafunga vilemba magaidi Angewafyekelea mbali miezi mwili tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…