Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Kuna shehe hapa mtaan amelia mnoo nmemuambia badoo picha linakuja netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu
Waliapa Wale waliotaka kumuuwa mungu wao , mwisho wao ulikuwa vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna shehe hapa mtaan amelia mnoo nmemuambia badoo picha linakuja netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu
Yule aliyekuwa akila na kunywa na kunya huku akivishwa Pampers na mama yake kawaingiza cha mashoga?Mudi aliwaingiza cha kike vibaya sana!
Nafikiri hawa magaidi hawajamuelewa badoMossad wako busy kipindi hiki kuliko wakati wowote.. .
Netanyahu alishakula kiapo kusaka magaidi popote pale walipo
Huyu nae ni maiti inayotembeaBado Hassan Nasralah yule wa Hezbolah
Mmmmh!cream?Hayo ni mabaki ya Israel, sijui ingekuwaje Bwana asingeondoa ile cream.
Ukisoma Biblia kuna yale maakabila 12 ya wana wa Israel yaliyofurushwa na Mfalme Nebuchadnezzar miaka 600 BCE na kupelekwa utumwani Babylon (Iraq ya sasa)Yasser Arafat alikuwa peace sana. Yeye pamoja na Izhak Rabin wangemaliza uhasama. Walikuwa wanaelekea kupata amani
Kwani wayahudi kwa muonekano wanafanana na Wairan (Waajemi)?
Huna hata unachokijua,ni mjinga kama wewe unaeamini vita vya Palestina na waisrael ni vita vya kidini! Hao ni majambazi yaliyochukuliwa sehem mbalibali na kuelekwa Palestina kuiba ardhi ya watu! Israel mwenyewe wapo waisrael wanaopinga uvamizi ulio fanywa na wageni kupora maeneo ya watuWewe unajua urban war fare?! Isingekuwa kujali sheria za kimataifa na kuwahurumia hao maskini wa watu wapalestina ambao waislamu mnawatanguliza mbele kwenye hiyo vita yenu mliyoelekezwa kwenye Quran ya kuwaangamiza wayahudi na wakiristo ili uislamu utawale Dunia, mbona vita ingeisha Kwa siku tatu tu
Israel ameanza kuwa na huruma lini Kwa raia ikiwa wamepiga Hadi Wodi za wajawazito,wamezuia Hadi msaada ya kiutu kwenda Kwa hao watu wasio na hatia Falsafa ya wayahudi binadam yoyote awe mkristo ambaye si muisrael ni goyim na huna hatia hata ukipoteza maisha yake SASA hiyo huruma imeanza lini! Wao ni mabingwa WA teknolojia si wakamtafute raia mmoja mmoja selectively wakigundua ni hamas auawe!Hamas wangekuwa hawajifichi kwa raia naamini vita ingetumia dakika kumi
Hakunaga urban war fair,imetoka wapi ikiwa UN imemkataza muisrael aache mapigano na aruhusu msaada ya kiutu iingie Gaza hajafanya hvo! Wabongo mnapenda propaganda kitu unakiona unaunganisha propaganda utafute ukweli ambao hUpo! Israel imeshindwa vita muda tuuWewe unajua urban war fare?! Isingekuwa kujali sheria za kimataifa na kuwahurumia hao maskini wa watu wapalestina ambao waislamu mnawatanguliza mbele kwenye hiyo vita yenu mliyoelekezwa kwenye Quran ya kuwaangamiza wayahudi na wakiristo ili uislamu utawale Dunia, mbona vita ingeisha Kwa siku tatu tu
hahaha ni kweli waarabu na watu weusi wote kichwani hazimo. angalau waarabu wameweza kusimamia mafuta kwa ustawi wa jamii nzima ila zaidi ya hapo ni walewale tu kama watu weusiHizi vita akili inahitajika sana zaidi ya mizuka ya ajabu ajabu,, waarabu wanataka kupigana kama enzi hizo za kupigana na majambia, halafu hapohapo kwa ujinga wao wanazungukana,,,,waarabu ni kama waafrika tu sema wao kidogo wameachiwa tusenti ila kichwani hazimo,,, ndo maana hata Iran mwenyewe anacheza kwa step maana anawajua waarabu walivyo
SASA ulitaka niuachie uwe wazi kama wako baada ya kuingiziwa mipini? Najiliwaza nini wakati Hali naiona? Una teknolojia kubwa za dunia yote,taifa teule la Mungu ukipumua Tu adui anapotea unapigana vita na hamas kilundi cha wahuni wachache wasio na lolote kijeshi Kwa muda WA mwaka? Kweli? Mkiwa mnashiba divai muwe mnaziweka na akili zenu huruMkuu wee endelea kujifariji huku umebana marinda/mkundu ukiwa na maumivu makali.
Wewe ni bogaz kweli ,na udini wako ballistic missile Iran alirusha 200 Israel zikadakwa zote, safari hii mtakiona cha motoIran kajikita sana sehemu tatu mkuu na hizo sehemu yuko vizuri kuliko Israel.
-Uundaji wa Air defence systems.
-Uundaji wa multi rocket launchers Na ballistic missiles.
-Uundaji wa drones.Hata ile Drone ilopenya Tel Aviv Na kushambulia pasi na kuwa detected ni Iranian made.
Hizo sehemu Iran amepaboresha sana.
Kwa teknolojia ya muisrael na aliyetuaminisha kuwa hamasi ni kikundi cha wahuni wachache wafunga vilemba magaidi Angewafyekelea mbali miezi mwili tuwayahudi wapo milioni kumi waarabu wapo milioni mia nne ulitarajia vita iishe ndani ya muda gani?
Hamas wamefeli pakubwa mno, wameshindwaje kumlinda kiongozi wao Mkuu? Sasa kama kiongozi kauawa kuna nini tena? Warushe taulo basi.
we unajua hamas wapo wangapi?Kwa teknolojia ya muisrael na aliyetuaminisha kuwa hamasi ni kikundi cha wahuni wachache wafunga vilemba magaidi Angewafyekelea mbali miezi mwili tu