Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

ndio maana inategmea unapenda wapi. sasa wewe mkiristo unadhani utafurahi mambo ya waislam?
Mimi sijawahi kuwachukia Waislam wala Uislam ila nikikuta mtu kama wewe ambaye unamuona Mkrito nikama nyoka kwako sina buni nikuchukie mara elfu .
 
Ismali Hania ni gaidi
Hata Wakati wa MTUME maswahaba waliitwa magaidi, lkn kuna maswahaba walioshwa na Malaika
Swahaba (wenzake wa Mtume Muhammad) aliyeosha na malaika ni Bilal ibn Rabah. Hadithi maarufu inasema kuwa Bilal, mmoja wa wahamiaji wema na mja wa kwanza wa kipekee wa Mtume Muhammad, alioshwa na malaika baada ya kifo chake. Hadithi hii inahusiana na utukufu na heshima kubwa aliyopewa Bilal kutokana na imani yake thabiti na uvumilivu wake wakati wa mateso aliyopitia.

Kwa mujibu wa baadhi ya hadithi, Bilal alikufa akiwa na imani thabiti na hakubali kukataa Uislamu, na baada ya kifo chake, malaika walihusika katika kumuosha, ikionyesha nafasi yake ya pekee na heshima kubwa aliyokuwa nayo katika jamii ya Kiislamu. Hii inathibitisha umuhimu na hadhi ya Bilal katika historia ya Kiislamu.

WAKIRISTO LEO ZAMU NITAKUELEMISHENI MPAKA MTAOMBA MOD AINGILIE KATI. MAANA MKISHINDWA MNAMPIGIA SIMU MOD
 
Katika Quran, kuna aya zinazohusiana na jinsi Waislamu wanavyopaswa kuwa na uhusiano na watu wa imani nyingine, ikiwa ni pamoja na Wakristo. Moja ya aya zinazozungumzia hili ni:

  1. Surah Al-Mumtahina (60:8):
    • Swahili: "Mwenyezi Mungu hakukatazi kuwaadhimia wale ambao hawakukupigeni vita kwa sababu ya dini yako na hawakukutoa katika nyumba zako, kuwaonyesha wema na kuwa sawa nao. Hakika Mwenyezi Mungu anapenda wanao kuwa sawa."
Aya hii inasisitiza kwamba Waislamu wanapaswa kuwa na uhusiano mzuri na watu ambao hawakupiga vita kwa sababu ya dini yao na ambao hawakuwatoa kutoka nyumbani mwao. Hii inaonyesha kuwa uhusiano wa amani na wema ni sehemu ya mafundisho ya Uislamu, hata kwa wale ambao wanaamini dini tofauti.
Kwa maelezo haya yanayoeleweka vizuri bila utata na umeshindwa hata kuyaelewa basi kumbe una shida hata ya ufahamu. Rudia tena kusoma aya hii kisha urejee ile ya awali utona unavyojichanganya.

Ufafanuzi huu unawiana moja kwa moja na tafsiri ya aya ihusuyo urafki wa mwislam kwa sabubu hii;

1. Ufafanuzi wako wa aya hii unasema uislamu hukubaliana na urafiki kwa mtu ambaye hakuwatoa/ kumfukuza mwislam kutoka ktk nyumba yake. Je nyumba yake ni ipi na lini alitolewa? Hapa unaona kabisa kuwa yahudi ndiye aliyewatoa waislam ktk nyumba yao.

2. Limetumika neno".... hakukatazi kuwaadhimia wale ambao...." Bado hata ktk aya hii wakristo na wayahudi wanatengwa kwa namna nyingine.
 
hata mSIGWA ALISEMA MANENO MENGI KWA CHADEMA LKN MLISEMA UONGO.
Msigwa alisema Kinana ni jangiri anafanya biashara ya meno ya tembo na ushahidi anao na akamwambia atangulia mahakamani, mwisho akamuomba radhi kuwa alisema uongo, jee unaendelea kumuamini?
 
Msigwa alisema Kinana ni jangiri anafanya biashara ya meno ya tembo na ushahidi anao na akamwambia atangulia mahakamani, mwisho akamuomba radhi kuwa alisema uongo, jee unaendelea kumuamini?
Leo mbona mnamtukana aliposema Mbowe kahusika na shambulio la Lissu?
 
Huu "Ukasuku" mlionao Ndiyo unaowafanya kila alipo mwislam aone kama anaonewa na pengine kuzua mitafaruku inayopelekea kupata kipigo mara kwa mara. Achana na Mila za watu.
kwani wewe Chadema ni waislam? Mbona unalalamika sana
 
Mwambie asome maelezo machache ya kafiri ili ajue yeye ni kafir au siyo;

1. Nehemiah 5: 8
2. Yuda 1: 4
Kafiri neno la Kiarabu maana aliemkanusha Allah na Mitume wake. sasa Nehemia wanatumia kiarabu?
 
Back
Top Bottom