Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.

cc

GENTAMYCINE

Uliyemtag huwa Hana urafiki ni Wapumbavu.
 
Kafiri neno la Kiarabu maana aliemkanusha Allah na Mitume wake. sasa Nehemia wanatumia krabu?

kwani wewe Chadema ni waislam? Mbona unalalamika sana
Mimi siyo ila nakuona kama uliyezidiwa na imani ya dini ambayo hata huna uelewa nayo na huku ukielekea kuchanganyikiwa. Ktk namna hi unaleta udini ktk siasa jambo lisilokubalika hapa kwetu.

Kama nilivyo sema udini ukizidi ni Ukasuku mbaya sanaunao leta mitafuruku na hatimaye vipigo kwa raia wa kawaida.
 
Mimi siyo ila nakuona kama uliyezidiwa na imani ya dini ambayo hata huna uelewa nayo na huku ukielekea kuchanganyikiwa. Ktk namna hi unaleta udini ktk siasa jambo lisilokubalika hapa kwetu.

Kama nilivyo sema udini ukizidi ni Ukasuku mbaya sanaunao leta mitafuruku na hatimaye vipigo kwa raia wa kawaida.
kwani yule alisema kafichwa Sangera na kuonekana msitu wa Veina alikuwa mdini?
 
Kafiri neno la Kiarabu maana aliemkanusha Allah na Mitume wake. sasa Nehemia wanatumia kiarabu?
Kiarabu ni lugha inayoweza kutumia popote, hii siyo hoja. Hoja ya msingi je umesoma aya hizo na kuona kafir ni nani kwa mujibu wa aliyekwambia kuwa ktk dini yake wewe ndiye kafiri. Hapo umesoma nini!.
 
Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.

cc

GENTAMYCINE


Uzushi huo.

CCM kama hawajafurahia mbona hatujasikia serikali ikilaani....!!?
 
Kamuulize mchungaji wako aliesoma biblia hasa halafu muulize mkiwa peke yenu nani kafiri?
 
Ungejiheshimisha sana kama ungeweka ushahidi hapa wa tamko la Chadema kufurahia kifo cha huyo Haniya wako, vinginenvyo utaonekana umelewa matapupu na kuvimbiwa mchemsho wa nguruwe.
Huenda ame code labda analenga kuchokoza Wagalatia
 
Back
Top Bottom