basi na wewe itakuwa miongoni mwaoMod futa huu upuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi na wewe itakuwa miongoni mwaoMod futa huu upuuzi
Uliyemtag huwa Hana urafiki ni Wapumbavu.Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
Kafiri neno la Kiarabu maana aliemkanusha Allah na Mitume wake. sasa Nehemia wanatumia krabu?
Mimi siyo ila nakuona kama uliyezidiwa na imani ya dini ambayo hata huna uelewa nayo na huku ukielekea kuchanganyikiwa. Ktk namna hi unaleta udini ktk siasa jambo lisilokubalika hapa kwetu.kwani wewe Chadema ni waislam? Mbona unalalamika sana
kwani yule alisema kafichwa Sangera na kuonekana msitu wa Veina alikuwa mdini?Mimi siyo ila nakuona kama uliyezidiwa na imani ya dini ambayo hata huna uelewa nayo na huku ukielekea kuchanganyikiwa. Ktk namna hi unaleta udini ktk siasa jambo lisilokubalika hapa kwetu.
Kama nilivyo sema udini ukizidi ni Ukasuku mbaya sanaunao leta mitafuruku na hatimaye vipigo kwa raia wa kawaida.
Kiarabu ni lugha inayoweza kutumia popote, hii siyo hoja. Hoja ya msingi je umesoma aya hizo na kuona kafir ni nani kwa mujibu wa aliyekwambia kuwa ktk dini yake wewe ndiye kafiri. Hapo umesoma nini!.Kafiri neno la Kiarabu maana aliemkanusha Allah na Mitume wake. sasa Nehemia wanatumia kiarabu?
Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
Afadhali kumbe umeelewa na hoja hii imefungwaKamuulize mchungaji wako aliesoma biblia hasa halafu muulize mkiwa peke yenu nani kafiri?
Huna akili wewe, akili matope kabisaUkishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
atakwambia kafiri ni asiekuwa muislam (atakunongeza hivi "nipo hapa natafuta utajiri tu")Afadhali kumbe umeelewa na hoja hii imefungwa
Hata Mandela aliambiwa hivyo hivyo na wazungu kabla ya kuwa rais. maneno ya mkosaji hayoHuna akili wewe, akili matope kabisa
Huenda ame code labda analenga kuchokoza WagalatiaUngejiheshimisha sana kama ungeweka ushahidi hapa wa tamko la Chadema kufurahia kifo cha huyo Haniya wako, vinginenvyo utaonekana umelewa matapupu na kuvimbiwa mchemsho wa nguruwe.
wanachoongea sio wanachoaminiWafuasi wa Chadema ni malaya wa Siasa
Ndiyo nia yake hasa ana chuki kubwa sana na Wakristo na Ukristo sasa amepata sehemu ya kutolea nyongo yake.Huenda ame code labda analenga kuchokoza Wagalatia
Wasababto, wakatoliki , Walutheri kwanini hawaswali kanisa moja?Ndiyo nia yake hasa ana chuki kubwa sana na Wakristo na Ukristo sasa amepata sehemu ya kutolea nyongo yake.
Hii mada umedandia gari kwa mbele, huyu lengo lake ni kuwachokoza Wakristo angalia hata nukuu zake zote za maandiko zimelenga Wakristo.Wafuasi wa Chadema ni malaya wa Siasa
Hicho ndiyo ulichokuwa umelenga umeitumia Chadema tu kuanza uchokozi kwa Wakristo. Gilbert A Massawe si umemuona jamaa yako alicholenga?Wasababto, wakatoliki , Walutheri kwanini hawaswali kanisa moja?
Inahusiaana nini na hoja yako ya Chadema kushangilia kifo cha lile gaidi lililouwawa na Ayatollah wa Iran?Wasababto, wakatoliki , Walutheri kwanini hawaswali kanisa moja?
Huyu mlevi nia yake ni kuwachokoza Wakristo ameitumia Chadema tu kupush agenda yake ya kueneza chuki kwa Ukristo kwa kibali cha moderators .Mbona mimi CHADEMA na simfahamu marehemu jamani??