SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mimi sijawahi kuwachukia Waislam wala Uislam ila nikikuta mtu kama wewe ambaye unamuona Mkrito nikama nyoka kwako sina buni nikuchukie mara elfu .ndio maana inategmea unapenda wapi. sasa wewe mkiristo unadhani utafurahi mambo ya waislam?
Chuki yako imeficha. ukiwaona unajifanya mwema.Mimi sijawahi kuwachukia Waislam wala Uislam ila nikikuta mtu kama wewe ambaye unamuona Mkrito nikama nyoka kwako sina buni nikuchukie mara elfu .
Hata Wakati wa MTUME maswahaba waliitwa magaidi, lkn kuna maswahaba walioshwa na MalaikaIsmali Hania ni gaidi
Talaban wanasema ni Ayatollah Ali Khamenei ndiyo kamuuaUkishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wnaalalamika wnatekwa lkn kifo cha Haniya wnaafurahia. Hii inathibitishwa hapa Jf Baada ya user wnaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
Kwa maelezo haya yanayoeleweka vizuri bila utata na umeshindwa hata kuyaelewa basi kumbe una shida hata ya ufahamu. Rudia tena kusoma aya hii kisha urejee ile ya awali utona unavyojichanganya.Katika Quran, kuna aya zinazohusiana na jinsi Waislamu wanavyopaswa kuwa na uhusiano na watu wa imani nyingine, ikiwa ni pamoja na Wakristo. Moja ya aya zinazozungumzia hili ni:
Aya hii inasisitiza kwamba Waislamu wanapaswa kuwa na uhusiano mzuri na watu ambao hawakupiga vita kwa sababu ya dini yao na ambao hawakuwatoa kutoka nyumbani mwao. Hii inaonyesha kuwa uhusiano wa amani na wema ni sehemu ya mafundisho ya Uislamu, hata kwa wale ambao wanaamini dini tofauti.
- Surah Al-Mumtahina (60:8):
- Swahili: "Mwenyezi Mungu hakukatazi kuwaadhimia wale ambao hawakukupigeni vita kwa sababu ya dini yako na hawakukutoa katika nyumba zako, kuwaonyesha wema na kuwa sawa nao. Hakika Mwenyezi Mungu anapenda wanao kuwa sawa."
Msigwa alisema Kinana ni jangiri anafanya biashara ya meno ya tembo na ushahidi anao na akamwambia atangulia mahakamani, mwisho akamuomba radhi kuwa alisema uongo, jee unaendelea kumuamini?hata mSIGWA ALISEMA MANENO MENGI KWA CHADEMA LKN MLISEMA UONGO.
Leo mbona mnamtukana aliposema Mbowe kahusika na shambulio la Lissu?Msigwa alisema Kinana ni jangiri anafanya biashara ya meno ya tembo na ushahidi anao na akamwambia atangulia mahakamani, mwisho akamuomba radhi kuwa alisema uongo, jee unaendelea kumuamini?
Mimi katika ukoo wetu karibia 80% ni Waislam sasa naweza nikawachukia ndugu zangu wa damu?Chuki yako imeficha. ukiwaona unajifanya mwema.
Kwa sabu anasema uongo.Leo mbona mnamtukana aliposema Mbowe kahusika na shambulio la Lissu?
Mambo ya dini yamemshinda.CHADEMA wa wapi hao?Umeamua urukie kwa wanasiasa?
wewe peke yako ndio KAFIRI?Mimi katika ukoo wetu karibia 80% ni Waislam sasa naweza nikawachukia ndugu zangu wa damu?
Sasa Mpalestina ana impact gani Katika Nchi yetu? Anatuhusu nini Huyo Gaidi???Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
Huu "Ukasuku" mlionao Ndiyo unaowafanya kila alipo mwislam aone kama anaonewa na pengine kuzua mitafaruku inayopelekea kupata kipigo mara kwa mara. Achana na Mila za watu.wewe peke yako ndio KAFIRI?
Kwa imani yangu wewe ndiye Kafir.wewe peke yako ndio KAFIRI?
kwani wewe Chadema ni waislam? Mbona unalalamika sanaHuu "Ukasuku" mlionao Ndiyo unaowafanya kila alipo mwislam aone kama anaonewa na pengine kuzua mitafaruku inayopelekea kupata kipigo mara kwa mara. Achana na Mila za watu.
Mwambie asome maelezo machache ya kafiri ili ajue yeye ni kafir au siyo;Kwa imani yangu wewe ndiye Kafir.
Kafiri neno la Kiarabu maana aliemkanusha Allah na Mitume wake. sasa Nehemia wanatumia kiarabu?Mwambie asome maelezo machache ya kafiri ili ajue yeye ni kafir au siyo;
1. Nehemiah 5: 8
2. Yuda 1: 4