let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
vizuri!! kwa hiyo ishu ya kula na kunya ilianzia Garilaya,uko kabla ya kila kitu kuwepo alikuwa hali wala hanyi,right?.Kwani mungu huko anahitaji kula ili apate nini ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vizuri!! kwa hiyo ishu ya kula na kunya ilianzia Garilaya,uko kabla ya kila kitu kuwepo alikuwa hali wala hanyi,right?.Kwani mungu huko anahitaji kula ili apate nini ??
Yupo Israel na Idf na mosad na shin bet watatulindaKwahio nyie dini yenu ni chuki tuu dhidi ya wakristo na wayahudi.
Mnachukia wakristo kuliko hata shetani.
Program ya mudi kweli imezaa matunda.
nimeuliza hivi:- iman ya mungu hana mwana Muhammad Kaitoa wapi wakati kwenye agano la kale ana mwana na wana?.
Allah anakubali kuitwa Baba ama mtu kusema Allah ana mwana?.
vizuri!! kwa hiyo ishu ya kula na kunya ilianzia Garilaya,uko kabla ya kila kitu kuwepo alikuwa hali wala hanyi,right?.
Limeng'ang'ana utazani lilishawahi hata kuwa na jirani mwarabu.Sasa hamia huko ambako hakuna Wakristo usituletee wendawazimu wako hapa.
Wailofurahi wakiristo wa JF, tena sijui kwanini tuKifo cha jambazi ni furaha kwa wananchi.
Wewe unadhani Waislamu wenzako wa Saudi hawajafurahi?
vizuri!! kwa hiyo ishu ya kula na kunya ilianzia Garilaya,uko kabla ya kila kitu kuwepo alikuwa hali wala hanyi,right?.
Surat Al-Hujurat (49:13):Limeng'ang'ana utazani lilishawahi hata kuwa na jirani mwarabu.
Yesu aliposema "Yule mnaemuita Mungu wenu ndiye Baba yangu alikusudia nini,maalim?".Ni kuwa Mungu mwenyewe alitamka hivyo .
Mungu hana mwana
Hata agano jipya Yesu hamna mahali alijiita yeye ni mwana wa Mungu
Alikuwepo WARUMI hivi sasa ni historia tuYupo Israel na Idf na mosad na shin bet watatulinda
eeh,Sogea kwa China kidogo ya hiyo verse.Maneno hayo unayapata kitabu gani ??
Wakati Yesu mwenyewe anasema
Yohana 5:37 , Yesu alisema kwamba hakuna mtu ambaye amewahi kumwona Mungu wakati wowote au kusikia sauti yake. ?????
Saudia na Jordan na Egypt ambao ni waarabu wanafurahia halafu jinga moja muislamu wa kuchovya wa kasulu anatesekaYaani mtu kaamka na hang over yake ya mipombe michafu bila ushahidi analaumu kuwa Chadema wanashangilia kuuwawa kwa gaidi la kipalestina, angetuweke basi hata officia statement ya Chadema wakifurahia kifo hicho, lakini anataka kutushirikisha utopolo wake tu. Huu ni wenda wazimu hata, Mods wanatakiwa threads kama hii ya uzushi wazifute.
Mungu wa mbinguni saidia Waisrael wateketeze vibaka wote maana Israel ni Taifa lako teule.Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
Yesu aliposema "Yule mnaemuita Mungu wenu ndiye Baba yangu alikusudia nini,maalim?".
Kuna nabii yoyote aliwai Sema mungu hana mwana kando na Muhammad?.
nikikupa verse mingi Mungu anasema ana mwana utaacha ibada yako ya kipagani?
sema MAREKANI , NATO , UK wazishe msaada kwa isreal, usimtaje Mungu wa MbinguniMungu wa mbinguni saidia Waisrael wateketeze vibaka wote maana Israel ni Taifa lako teule.
Umuhimu wa kuivamia Israel pasipo na sababu.Walid bin Khalid alikuwa mmoja wa viongozi maarufu na mashuhuri wa kiislamu katika historia ya mapema ya Uislamu. Hapa kuna maelezo kuhusu yeye:
Kwa ujumla, Walid bin Khalid alikuwa na umuhimu katika historia ya mapema ya Uislamu kutokana na ushiriki wake katika shughuli za kijeshi na familia yenye ushawishi. maarufu.
- Jina Kamili: Walid bin Khalid bin al-Walid, mara nyingi hutajwa kama Walid bin Khalid, ni mwana wa Khalid bin al-Walid, mmoja wa mashujaa wakuu wa vita katika historia ya Kiislamu.
- Taarifa za Maisha: Walid bin Khalid alikuwa mtoto wa Khalid bin al-Walid, ambaye alijulikana kwa umaarufu wake katika vita vya Kiislamu na alipewa jina la "Saifullah" (Upanga wa Mwenyezi Mungu). Walid alikuwa sehemu ya familia yenye ushawishi mkubwa katika Uislamu wa mapema.
- Sifa na Heshima: Walid bin Khalid alihusishwa na maisha ya kijeshi na alijulikana kwa kuwa na sifa nzuri za kiutu na uongozi. Aliendelea kuwa na ushawishi katika jamii ya Kiislamu kutokana na sifa za baba yake na mchango wake kwa jamii.
- Mchango Wake: Walid bin Khalid alishiriki katika mapambano ya kijeshi na kazi za kijamii ambazo zilisaidia kuimarisha Uislamu. Hata hivyo, taarifa zake zinaweza kuwa ndogo katika maandiko ya kihistoria ikilinganishwa na baba yake, Khalid bin al-Walid, ambaye alikuwa na mchango mkubwa katika vita vya mapema vya Kiislamu.
Usijali Haniya atafufuliwa na allah muda mfupi sana ujao wanaochekelea kifo chake wataumbuka. Kwa sasa muache Haniya kwanza yupo kapakatwa na mtume SAW yupo kifuani kwake anakula raha za peponi.Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
Kwa msaada wa AIWalid bin Khalid alikuwa mmoja wa viongozi maarufu na mashuhuri wa kiislamu katika historia ya mapema ya Uislamu. Hapa kuna maelezo kuhusu yeye:
Kwa ujumla, Walid bin Khalid alikuwa na umuhimu katika historia ya mapema ya Uislamu kutokana na ushiriki wake katika shughuli za kijeshi na familia yenye ushawishi. maarufu.
- Jina Kamili: Walid bin Khalid bin al-Walid, mara nyingi hutajwa kama Walid bin Khalid, ni mwana wa Khalid bin al-Walid, mmoja wa mashujaa wakuu wa vita katika historia ya Kiislamu.
- Taarifa za Maisha: Walid bin Khalid alikuwa mtoto wa Khalid bin al-Walid, ambaye alijulikana kwa umaarufu wake katika vita vya Kiislamu na alipewa jina la "Saifullah" (Upanga wa Mwenyezi Mungu). Walid alikuwa sehemu ya familia yenye ushawishi mkubwa katika Uislamu wa mapema.
- Sifa na Heshima: Walid bin Khalid alihusishwa na maisha ya kijeshi na alijulikana kwa kuwa na sifa nzuri za kiutu na uongozi. Aliendelea kuwa na ushawishi katika jamii ya Kiislamu kutokana na sifa za baba yake na mchango wake kwa jamii.
- Mchango Wake: Walid bin Khalid alishiriki katika mapambano ya kijeshi na kazi za kijamii ambazo zilisaidia kuimarisha Uislamu. Hata hivyo, taarifa zake zinaweza kuwa ndogo katika maandiko ya kihistoria ikilinganishwa na baba yake, Khalid bin al-Walid, ambaye alikuwa na mchango mkubwa katika vita vya mapema vya Kiislamu.