Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Katika Injili za Mathayo, Marko na Luka, Yesu ameitwa mara 22 kwa jina la "Mwana wa Mungu", lakini hata mara moja yeye mwenyewe hakujiita kwa jina hilo.

Katika Mathayo 27.43 yanatajwa maneno ya wakuu wa makuhani wa Kiyahudi pamoja na waandishi na wazee waliokuwa wakimdhihaki, si maneno yake yeye Yesu.

Walikuwa wakimzulia kuwa anadai uwana wa Mungu, na anadai kuwa ni Mfalme wa Israeli.

Mara nyingi waliokuwa wakimwita Mwana wa Mungu walikuwa ama wendawazimu, wenye pepo wachafu, au askari wa Kirumi ambao tokea hapo wao ni washirikina, mapagani.

Ama mwenyewe Yesu alikuwa daima akipendelea kujiita mwana wa Adamu kwa Kiebrani, lugha yake, Bin Adam, yaani ni binaadamu, mtu tu.

Katika Injili jina hili la Yesu kuitwa mwana wa Adamu limetajwa yapata mara 80.

Mahasimu zake wa Kiyahudi walimzulia kuwa alidai kuwa ni Mfalme wa Mayahudi ili kumchongea kwa watawala wa Kirumi, na kuwa alidai kuwa ni Mwana wa Mungu ili apate kuchusha kwa Mayahudi.
8:54 "Anayenipa heshima ni Baba yangu, huyo ambaye ninyi mnamwita Mungu wenu".
hicho ni kinywa cha Nani?.
 
Usijali Haniya atafufuliwa na allah muda mfupi sana ujao wanaochekelea kifo chake wataumbuka. Kwa sasa muache Haniya kwanza yupo kapakatwa na mtume SAW yupo kifuani kwake anakula raha za peponi.
bibi yako aliekufa akiwa mkiristo akiona ulichiandika angalikuwa anaweza kukupiga angalikupiga
 

Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. UTHIBITISHO NI HUU UNAOTKEA MASHARIKI YA KATI
Chuki kwa kundi fulani la watu haina faida na ni marufuku kwa Mujibu wa Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ibara ya 12 na 13.
 
eeh,Sogea kwa China kidogo ya hiyo verse.
inaendelea kusema" hakuna aliyemuona Mungu wakati wowote isipokuwa mwanae ambaye ndiye chapa yake".

nakuwekea kwa kiengereza biblia ya New International Version ......... (NIV)

Hiyo mwanae sijui umeitoa wapi

John 5

37 And the Father who sent me has himself testified concerning me. You have never heard his voice nor seen his form,

38 nor does his word dwell in you, for you do not believe the one he sent.
 
Surat Al-Kafirun (109:1-6):

  • "Sema: Enyi makafiri! Mimi siabudu mliyoabudu."
  • "Na nyinyi hamuabudu niliyeabudu."
  • "Wala mimi siabudu mliyoabudu mkiwa wenye kumaanisha."
  • "Wala nyinyi hamuabudu niliyeabudu."
  • "Kwa nyinyi dini yenu, na kwa mimi dini yangu."
Mbona huo mstari wa mwisho umejieleza vizuri tu,amini unachoamini na mimi niamini ninachoamini. Hii kuanza kuchokonoa dini za wengine na kuona ni za ovyo ndiyo mwanzo wa ugomvi. Laiti ungezingatia huu mstari wa mwisho ungeishi kwa amani na watu wote.
 
Mbona huo mstari wa mwisho umejieleza vizuri tu,amini unachoamini na mimi niamini ninachoamini. Hii kuanza kuchokonoa dini za wengine na kuona ni za ovyo ndiyo mwanzo wa ugomvi. Laiti ungezingatia huu mstari wa mwisho ungeishi kwa amani na watu wote.
Tatizo liko wapi? kwani umefahamu vipi?
 
Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.

cc

GENTAMYCINE

Uweke Ushahidi!; na sio Saa habari dogo🙄😜
 
Back
Top Bottom