Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo bwana Haniye SAA hizi yuko chumba cha pili RIP rais wa Iran anapiga mbupu vigori kwa kwenda mbele.Kwaiyo tayari yupo mzigoni anashughulika.
Ayatollah ndiye ameuza ramani ya mchezi mzima, alianza kuuza ramani ya rais Raisi, halafu kumuuza huyu Mpalestinakaka vip kwa hiyo unataka kusema.. kuna mwamba kaiona fursa ashavuta madolari kwa kuuza ramani ya location ya mwanba... dah ila hii dunia.. unaweza kuta mtu wake wa karibu tu kauza raman . halafu utakuta yuko mbele anaitangazia Israel fatwa.. kasimamisha mishipa ya shingo kumbe anajua alichofanya
Kumbumbuka
Mada ni;
Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran
Asante kwa kumkumbusha Jagina ametutoa kwenye mada ya Ismail Haniyeh amaetuletea mada anazotaka yeye.
Kumbumbuka
Mada ni;
Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran
Tatizo kubwa la watanzania wengi ni kwamba hampendi kusoma na badala yake mnapenda sana stori za kwenye vijiwe vya kahawa.Waliomuua hawajakamatwa?
Isije ikawa ni Wairan wenyewe maana sizani kama kuna wayahudi wanaishi Iran.
Kwa hiyo unakubali waislamu ni wasaliti wa ndugu zao katika Imani ???..huyo kiongozi wa Hamas kauwawa na serikali ya IRAN.
..siamini kama Israel anaweza kuingia mpaka Teheran na kuuwa mgeni wa serikali ya Iran.
wasaidie kuwasomea, usiwe mchoyo 😜😜Tatizo kubwa la watanzania wengi ni kwamba hampendi kusoma na badala yake mnapenda sana stori za kwenye vijiwe vya kahawa.
Duh ko unamchukia tu mtu kwasab ni muislam au mwarabu😳Music to my ear, hawa islams,na Arabs, dawa Yao ni jews tu, katunguliwa ndani ya Iran! Hii, itatuma ujumbe mzito, kwamba haya magaidi hayana pa kujificha
Hata watu wa dini nyengine ni hivyo hivyo na wasio dini pia, kusaliti ni katika moja ya Tabia mbaya za binadamu. Hata Yesu alisalitiwa na mwanafunzi wakeKwa hiyo unakubali waislamu ni wasaliti wa ndugu zao katika Imani ???
Nikuache wewe na nani?Umetumwa? Nani kakuambia tunaitafuta faida, wewe Fanya Yako as long as hatukuombi Hela ya kula tuache.
Usaliti wa MTU mmoja ni tofauti na serikali nzima kisaliti MTU ambaye wameahidi kumpa hifadhi salamaHata watu wa dini nyengine ni hivyo hivyo na wasio dini pia, kusaliti ni katika moja ya Tabia mbaya za binadamu. Hata Yesu alisalitiwa na mwanafunzi wake
Kwa hiyo unakubali waislamu ni wasaliti wa ndugu zao katika Imani ???
IDF/ MOSSADAlitunguliwa na nani
Anasimuliwa na wenzake wa kolelo au kinole halafu analeta ujuaji humuWa Matombo au atakuwa wa Mkuyuni huyu
View: https://m.youtube.com/watch?v=12_YTNLq3NY
Walivyompata sloppy security checks, bomu limewekwa miezi miwili ndani ya nyumba walikuwa wanamsubiri tu.
Ila hatari sana ukisikiliza kwa makini alietega hilo bomb atakuwa afisa wa Iran National guard, ina maana Mossad wana watu mpaka ndani ya ulinzi wa Iran.
Unaanza kuhisi hata ajali ya chopper ya raisi ni Mossad.