Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Mimi ndio kama wewe nasikiliza habari tu kupata taarifa.Tumuamini Nani ? Ni mhindi kalipua, bomu limewekwa , missile, drone?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ndio kama wewe nasikiliza habari tu kupata taarifa.Tumuamini Nani ? Ni mhindi kalipua, bomu limewekwa , missile, drone?
Issue siyo uislamu, Ismael Haney hata huko kwao Gaza alishanusurika kuuawa. Pia hawaelewi na rais AbasKwa hiyo unakubali waislamu ni wasaliti wa ndugu zao katika Imani ???
Kwani lengo kufuta mji wa Gaza?Israel wana hasira na Iran kwasab Iran iliwaonesha dharau ikatuma drone mchana kweupee IDF wakajiharishia Lo Israel wanataka waoneshe mabavu ili kulinda reputation.
Sasa kama Gaza kamji kadogo vile hakana hata teknolojia wala jeshi la maana wameshindwa kukafuta wanatumia nguvu nyingiiii lakini ni miaka 75 sasa inakata kanchi ka watu bado kapo kanahemea mipira lakini hakakubali kufa sjui Iran vita watachkua mda gani. Naona huyo mungu wao alowaahidi hio ardhi sjui kawachokaaa🤣🤣🤣🤣75 years ndo nini sasa kwa jitihada hizo mungu si angeshawapea haki yao jaman wamejitutumua sana😂😂😂
Akili za warabu wa buza wanazijua wenyewe. Kapigwa kamanda wao sasa wanatapatapa tu. Hawaeleweki Wanataka nani apigwe vitani.Yani kiongozi Namba moja wa Hamas kauawa wewe unakimbilia kudai watu wameshindwa vita. Walipiga sawasawa mnadai wanaua watoto na wanawake, walipiga kiongozi mkuu mnadai ni hasira za kushindwa vita. Hivi unaelewa maana ya kushindwa.
Usitoke nje ya mada. Kama unataka mijadala ya kidini, kuna forums zake. Tujikite tu kwenye vita vya Israel dhidi ya maadui zakeKumbe ndio mkadanganywa kuwa mtu anayekula na kunya akacheza na watoto wenzake kuwa ni mungu ,
Muda mwingine wanapigana wenyewe ila wanasingizia IsraelAkili za warabu wa buza wanazijua wenyewe. Kapigwa kamanda wao sasa wanatapatapa tu. Hawaeleweki Wanataka nani apigwe vitani.
Talaban wanasema ni Ayatollah Ali Khamenei ndiyo kamuua
View: https://x.com/NiohBerg/status/1818969352672022992
Ndiyo umeukumbuka Sasa , Ungalijiambia mwenyewe kwanza.Usitoke nje ya mada. Kama unataka mijadala ya kidini, kuna forums zake. Tujikite tu kwenye vita vya Israel dhidi ya maadui zake
Mkorogo wa Sunni vs Shia ni mkubwa kuliko Waislamu wanavyowachukia Wayahudi na Wakristu. Haina namna Middle East inaweza ku survive bila USA/ UK intervention
Ndivyo walivyokuambia ?Muda mwingine wanapigana wenyewe ila wanasingizia Israel
HahahaAnasimuliwa na wenzake wa kolelo au kinole halafu analeta ujuaji humu
Unaweza kuta hata Ayatollah Khamenei ni Myahudi kiasilia.Ayatollah ndiye ameuza ramani ya mchezi mzima, alianza kuuza ramani ya rais Raisi, halafu kumuuza huyu Mpalestina
Kuliko ulivyo wewe ?Unaweza kuta hata Ayatollah Khamenei ni Myahudi kiasilia.
Ndio kaweza Sasa....huyo kiongozi wa Hamas kauwawa na serikali ya IRAN.
..siamini kama Israel anaweza kuingia mpaka Teheran na kuuwa mgeni wa serikali ya Iran.
Ayatollah Khamenei alichukizwa na kitendo cha viongozi wa Hamas kuishi maisha ya anasa Doha huku wakichochea raia maskini wa Gaza waanzishe uchokozi na IsraelAyatollah ndiye ameuza ramani ya mchezi mzima, alianza kuuza ramani ya rais Raisi, halafu kumuuza huyu Mpalestina
We ni mpumbavu kweli, kwaio wakristo wa JF ndo watu pekee waliofurahi.Wailofurahi wakiristo wa JF, tena sijui kwanini tu
na mayahudiWe ni mpumbavu kweli, kwaio wakristo wa JF ndo watu pekee waliofurahi.
Akili yako haiko sawa.
Ayatollah Khamenei alichukizwa na kitendo cha viongozi wa Hamas kuishi maisha ya anasa Doha huku wakichochea raia maskini wa Gaza waanzishe uchokozi na Israel