Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Watu wanakazania madrasa kuliko shule. wanakazana kuoa wake wanne, yaani unashinda kumbato wanawake kwa zamu halafu unatagemea kumpiga myahudi. Aisee wanahitaji reformation kubwa sana. Waaanze na kuwasomesha ma sheikh wao. Hawajui nini maana ya theology na philosophy na kila ijumaa wanatoa mawaidha. Wavaa makobazi ndugu zangu amkeni. Siwacheki wala kuwadharau lakini hakuna mtu atakayekuja kuwaokoa bali nyinyi wenyewe.
Bora kuoa wanawake wengi kuliko kuoana kama mnavyofanya kanisani wajinsia moja
Wewe tayari ushapata na kama bado unangojea nini?🤔
 
wanatakiwa kulaumiwa iran. inakuwame muhost wanted person na msiweke ulizi wa kutosha angani na ardhini? na wengine wanasema imepigwa airstrike sijui ya drone au ya nini hawajui kwasababu radar za iran ni dhaifu wanaweza kupigwa na wasijue nani kawapiga na katokea wapi. na wanakuwa precise kabisa wanapiga yule wanted tu bila kudhuri raia wengine au majengo mengine, meaning, wanaweza piga hata ikulu ya ayatolah peke yake na kwengine wakakuacha salama. usalama wa iran au yeyote anayekimbilia iran upo wapi hapo sasa?
Kwani wanted na nani? Mbona hata kina Mandela nao waliwahi kuwa wanted? Vipi kama wanao wa want nao ni wanted?
 
Kiboko yao alikuwa Arafat tu, yule ndio mwamba.
Arafat hakuwa gaidi, alikuwa raisi wa mamlaka ya Palestine. Mbona alikuwa huru anaenda popote duniani. Washington, Paris. Mrithi wake ni Abbas
 
Peace,

Na hao ndio Wayahudi hawacheki na kima. Hiyo inaitwa double victory, imagine ndani ya masaa machache huku wamemtandika kiongozi mkuu wa Hizbollah kule wamemtandika kiongozi mkuu wa Ham-ass tena ndani ya Iran na sio Iran tu ndani ya Tehran.

Yani ni kwamba the Arabs are learning the hard way that they messed up with the wrong number. The bastards are paying a huge price Takbir

Waje hapa wasewe Israel inaua watoto na wanawake. Kwa mwendo huu Israel imeonyesha jinsi gani iko hatua 1000 mbele ya wasaka bikra

Kama hawa unanyofolewa uhai ndani ya Tehran unaweza kujiuliza wapi watajificha na hii unaambiwa ni warm up kwa kauli alizotoa Israel waarabu wategemee kufurahishwa zaidi.
View attachment 3057361

Dj wasindikize na ngoma ya "wameyatimba"
Sasa unatuambia sisi magaidi wa kibongo bongo tufanyaje? Kama warabu wenzao Misri na Saudia wanakula maisha tu
 
Kwenye technolojia yeyote huwezi kupata efficiency 100%, kama Houthis walirusha drone ikapenetrate moja tu Tel-aviv kwanini wasirushe zakutosha sasa maana wako vitani na Israeli ambae amefanya shambulio kubwa na kuleta maafa Yemeni - kupenya drone Moja hatuwezi kusema Iron dome ni totally useless hiyo ndio ile tunasema kwenye tech hakuna 100% ila tunaangalia angalau ufike hata 95% efficiency.

Binafsi Kila siku nasikia Israeli kaua Hizbollah strategic leaders ambao ndio master minder wa operations, ila sijawahi kusikia Hizbollah kaua kiongozi au kamanda yeyote wa Israeli, tafsiri yake master minders na head wa operation wa Israeli wako salama.

Hizbollah na Iran wanatumia style ya kurusha barrage of missiles au drones ili kuoverwhelm ADS, hii technic ni mbaya maana unamaliza stock ya ammunition yako kwa haraka, kisasa ni vyema ukawa na missile ambazo ni self-guided na zenyewe zinaweza kukwepa ADS na kwenda kuhit targets, au uwe na technolojia yakujam batteries za ADS uweze kupenya.

Tunapozungumzia Technolojia tunaangalia maeneo mengi ni kama pia tunapozungumzia uwezo wa kijeshi, Iran angekuwa na ADS za uhakika basi Israeli naye angekuwa anarusha barrage of missiles kushambulia maeneo ya nyuklia ya Iran, lakini mara nyingi tunaona Israel anapeleka kombora chache na ndege kadhaa kupiga maeneo kadhaa yanayohofia kuhusika na urutulubishaji wa nyuklia ndani ya Iran.
Kitendo cha Israel kupenetrate ndani kabisa ya Iran na kuua wale strategic people anaowataka mfano wanascience, wanasiasa nk ndio tunapata red flag kama Iran yuko overated na anahitaji sana kujipanga.

Umeongelea juu Kamikaze drones, sifa ya Kamikaze drones nikwenda na kubaki huko huko, na sio zile ambazo ziko operated kwenda na kuhit target na kurudi, maana unahitaji kamikaze nyingi sana kupigana vita wakati unaepigana naye yakwake inakuja imebeba bomu inapiga na kurudi, Mrusi aliamua kuchukua Kamikaze drones kulinda stock yake ya silaha lakini pia kuzijaribu in real world, ni changamoto kupenya kwenye ADS kama Patriot ndio maana Ukraine amedemand kupewa Patriot batteries za kutosha kuweza kuzipeleka maeneo mengi kulinda anga.

Israel kwa kiasi kikubwa yuko vizuri kwenye technolojia kwenye maeneo mengi muhimu ya kijeshi namaanisha baharini, ardhini, angani nk,
Sasa huwezi kusema kitaalam una muscles wakati Kuna maeneo kijeshi hata mwenyewe unajua hauko vizuri wakati vita kushindwa na kushinda inategemea uzaifu wa adui ndio maana tujaribu options zote kwenye mapigano.

Mbinu anayojaribu Israeli kwasasa kuua wale heads ni kujaribu kumaliza proxy war kuuzunguka maeneo yake na kuineutralize Gaza strip, mbinu ndio hivi karibuni inatumika Mexico kupambana na drugs Cartel, Proxy war ya hivi vikundi vidogovidogo ndio inayomletea stress Israeli maana anabaki vitani muda mwingi, lakini lazima tujue pia hizi proxy style ndio pia zinafanya nchi kama Lebanon, Syria na Iraq kutotawalika ili kuwa safe ground Kwa hivi vikundi na main target ikiwa Israeli ambaye sidhani kama anapata mazara makubwa kuliko Syria, Iraq, Lebanon, Yemen nk.

Binafsi nahitaji kuiona amani siku moja mashariki ya Kati watu wote wakae kwa amani maana jamaa upande ule inateseka sana na kudhidi kukuza chuki za vizazi na vizazi.
Analysis nzuri, angalau sisi wa D mbili tunakuwa kwenye page moja wa wajuzi wa mambo.
 
Kosa alilofanya Iran ni kujitutumua na kushambulia ndani ya Israeli ilihali uwezo huo haa na hata uwezo wa kujilinda hana maana mara nyingi anakutwa off-guard.
Inamaana hata Rais aliyefariki kwenye ajili ya Helkopta itakuwa ni mkono wa Muyahudi?
 
Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.

Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.

Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.


Usicheze na MOSSAD

=========

Ismail Haniyeh alikuwa mmoja wa viongozi wakuu wa Hamas kwa miongo miwili iliyopita, akiongoza shughuli za kisiasa za kundi hilo la kijeshi akiwa uhamishoni nchini Qatar katika miaka ya hivi karibuni.

Jumanne ya tarehe 30 Julai, 2024, Bw. Haniyeh alikuwa Iran na wanachama wengine wakuu wa "mhimili wa upinzani" wa Iran — ambao unajumuisha Hamas huko Gaza, Hezbollah nchini Lebanon na Wahouthi huko Yemen — kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa rais mpya wa Iran.

Kama kiongozi wa kisiasa wa Hamas, alikuwa muhimu katika mazungumzo na diplomasia yenye hatari kubwa ya kundi hilo, ikiwemo mazungumzo yaliyokwama ya makubaliano ya kusitisha mapigano na Israel.

Haya ndio tunayojua: Kiongozi wa Hamas huko Gaza

Bw. Haniyeh aliteuliwa kuwa kiongozi wa Hamas huko Gaza mwaka 2006. Mwaka huo, alihudumu kwa muda mfupi kama waziri mkuu wa serikali ya umoja wa Palestina, ambayo ilivunjwa baada ya miezi ya mvutano uliyojumuisha mapigano ya silaha kati ya makundi ya Palestina.

Mwaka 2017, aliteuliwa kuwa kiongozi wa ofisi ya kisiasa ya Hamas wakati ambapo walikuwa wakijaribu kupunguza taswira yao ya umma walipokuwa wakijaribu kushawishi Wapalestina na kimataifa.

Bw. Haniyeh aliongoza Hamas kutoka Qatar na Uturuki katika miaka ya hivi karibuni. Alikuwa miongoni mwa wajumbe wa mazungumzo yanayoendelea kati ya Israel na Hamas, yaliyosimamiwa na Misri, Qatar na Marekani, kumaliza vita vya Gaza kwa kubadilishana na mateka waliotekwa kwenye shambulio lililoongozwa na Hamas dhidi ya Israel.Kupanda kwa Madaraka

Alipozaliwa
Bw. Haniyeh alizaliwa mwaka 1962 katika kambi ya wakimbizi ya Shati kaskazini mwa Jiji la Gaza, kwa wazazi wa Kipalestina ambao mwaka 1948 walihamishwa kutoka nyumbani kwao katika eneo ambalo sasa ni Israel, huko Ashkelon. Alisoma katika shule zinazoendeshwa na shirika kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Wapalestina, UNRWA, na kuendelea kusomea fasihi ya Kiarabu katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Gaza.

Alikamatwa na jeshi la Israel na kuhudumia vifungo kadhaa katika magereza ya Israel miaka ya 1980 na 1990.

Kushika madaraka
Kupanda kwake madarakani huko Gaza kulisaidiwa na mshauri wake, kiongozi wa kiroho na mwanzilishi wa Hamas, Sheik Yassin, ambaye alimtumikia kama katibu binafsi. Wawili hao walikuwa malengo ya jaribio la mauaji ya Israel mwaka 2003; mwaka uliofuata, Bw. Yassin aliuawa na jeshi la Israel.

"Haupaswi kulia," Bw. Haniyeh aliwaambia umati uliojitokeza nje ya Hospitali ya Shifa huko Jiji la Gaza wakati huo. "Unapaswa kuwa imara, na unapaswa kuwa tayari kwa kulipiza kisasi."Anatafutwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu

Mwezi Mei, mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu alisema atatafuta kibali cha kumkamata Bw. Haniyeh. Mwendesha mashtaka alimshutumu yeye na viongozi wengine wa Hamas kwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu kuhusiana na shambulio la Oktoba 7 dhidi ya Israel, ikiwemo "kuteketeza, mauaji, kuteka mateka, ubakaji na unyanyasaji wa kingono katika kizuizi."

Familia yake kuuawa na Israeli
Mwezi Juni, Hamas ilisema kuwa dada wa Bw. Haniyeh na familia yake waliuawa katika shambulio la kijeshi la Israel kwenye nyumba ya familia ya Haniyeh huko Gaza, madai ambayo jeshi halikuthibitisha. Mwezi Aprili, watoto watatu wa kiume wa Bw. Haniyeh kati ya watoto wake 13 waliuawa na vikosi vya Israel katika operesheni nyingine ya kijeshi huko Gaza.

Alikuwa mkaidi mbele ya hasara hiyo, na jambo kuu katika maisha ya Bw. Haniyeh ilikuwa: "Hatutasalimu amri" Bw. Haniyeh alisema wakati huo, akibainisha kuwa tayari alipoteza jamaa kadhaa katika vita hivyo.
Pye Pye Pye....fyuuuu mamaee hao ndo Israel ukiweka ugoko wanaweka chuma....🤣🤣
 
Bora kuoa wanawake wengi kuliko kuoana kama mnavyofanya kanisani wajinsia moja
Wewe tayari ushapata na kama bado unangojea nini?🤔
😂 😂 😂 Wavaa makobazi bado sana mimi ni Mkristo Mkatoliki. Lakini naomba niulize swali ushoga Tanzania umejaa Bara au visiwani ? Na matukio ya kuruka ukuta uani au kula ndogo yamejaa bara au visiwani ? Namalizia kwa swali la mwisho Dini iliyoweka himaya kubwa Visiwani na Bara ni zipi na zipi ? Nasubiri jibu sheikh wangu.
 
Inamaana hata Rais aliyefariki kwenye ajili ya Helkopta itakuwa ni mkono wa Muyahudi?

Yes, tunaassume hivyo maana hata Iran mwenyewe hajui zaidi yakusisitiza shida ni Ukungu ilihali ilikuwa convoy ya 3x Helicopter na iliyombeba Rais ilikuwa katikati lakini ikavanish kwenye radar ilihali hizi mbili ziko operational.

Gaps ndio zinatutia shaka kwa Taifa kubwa kama Iran yenye uadui na super powers, kwanza unatumiaje Helicopter iliyotengenezwa na adui, tena kubeba high profile leader ambaye anawindwa usiku mchana, hii ilionyesha udhaifu wa Hali ya juu maana kwenye Helicopter Kuna electronics chips hasa control box ambazo unaweza kuwasiliana nazo remotely na hata kushutdown engine au device nyingine muhimu zakuiweka angani Helicopter.
 
Kwenye technolojia yeyote huwezi kupata efficiency 100%, kama Houthis walirusha drone ikapenetrate moja tu Tel-aviv kwanini wasirushe zakutosha sasa maana wako vitani na Israeli ambae amefanya shambulio kubwa na kuleta maafa Yemeni - kupenya drone Moja hatuwezi kusema Iron dome ni totally useless hiyo ndio ile tunasema kwenye tech hakuna 100% ila tunaangalia angalau ufike hata 95% efficiency.

Binafsi Kila siku nasikia Israeli kaua Hizbollah strategic leaders ambao ndio master minder wa operations, ila sijawahi kusikia Hizbollah kaua kiongozi au kamanda yeyote wa Israeli, tafsiri yake master minders na head wa operation wa Israeli wako salama.

Hizbollah na Iran wanatumia style ya kurusha barrage of missiles au drones ili kuoverwhelm ADS, hii technic ni mbaya maana unamaliza stock ya ammunition yako kwa haraka, kisasa ni vyema ukawa na missile ambazo ni self-guided na zenyewe zinaweza kukwepa ADS na kwenda kuhit targets, au uwe na technolojia yakujam batteries za ADS uweze kupenya.

Tunapozungumzia Technolojia tunaangalia maeneo mengi ni kama pia tunapozungumzia uwezo wa kijeshi, Iran angekuwa na ADS za uhakika basi Israeli naye angekuwa anarusha barrage of missiles kushambulia maeneo ya nyuklia ya Iran, lakini mara nyingi tunaona Israel anapeleka kombora chache na ndege kadhaa kupiga maeneo kadhaa yanayohofia kuhusika na urutulubishaji wa nyuklia ndani ya Iran.
Kitendo cha Israel kupenetrate ndani kabisa ya Iran na kuua wale strategic people anaowataka mfano wanascience, wanasiasa nk ndio tunapata red flag kama Iran yuko overated na anahitaji sana kujipanga.

Umeongelea juu Kamikaze drones, sifa ya Kamikaze drones nikwenda na kubaki huko huko, na sio zile ambazo ziko operated kwenda na kuhit target na kurudi, maana unahitaji kamikaze nyingi sana kupigana vita wakati unaepigana naye yakwake inakuja imebeba bomu inapiga na kurudi, Mrusi aliamua kuchukua Kamikaze drones kulinda stock yake ya silaha lakini pia kuzijaribu in real world, ni changamoto kupenya kwenye ADS kama Patriot ndio maana Ukraine amedemand kupewa Patriot batteries za kutosha kuweza kuzipeleka maeneo mengi kulinda anga.

Israel kwa kiasi kikubwa yuko vizuri kwenye technolojia kwenye maeneo mengi muhimu ya kijeshi namaanisha baharini, ardhini, angani nk,
Sasa huwezi kusema kitaalam una muscles wakati Kuna maeneo kijeshi hata mwenyewe unajua hauko vizuri wakati vita kushindwa na kushinda inategemea uzaifu wa adui ndio maana tujaribu options zote kwenye mapigano.

Mbinu anayojaribu Israeli kwasasa kuua wale heads ni kujaribu kumaliza proxy war kuuzunguka maeneo yake na kuineutralize Gaza strip, mbinu ndio hivi karibuni inatumika Mexico kupambana na drugs Cartel, Proxy war ya hivi vikundi vidogovidogo ndio inayomletea stress Israeli maana anabaki vitani muda mwingi, lakini lazima tujue pia hizi proxy style ndio pia zinafanya nchi kama Lebanon, Syria na Iraq kutotawalika ili kuwa safe ground Kwa hivi vikundi na main target ikiwa Israeli ambaye sidhani kama anapata mazara makubwa kuliko Syria, Iraq, Lebanon, Yemen nk.

Binafsi nahitaji kuiona amani siku moja mashariki ya Kati watu wote wakae kwa amani maana jamaa upande ule inateseka sana na kudhidi kukuza chuki za vizazi na vizazi.
Umeongea vema mkuu.
Ila Iran anazo self guided missiles.
Na ndio hizo ambazo alitumia kulipua kambi ya USA 2018 kulipiza kisasi cha Qassem Soleiman pale Iraq.
Na ndio kombora hizo alizotumia kupiga tena kwa pigo moja maficho ya Mossad pale Kurdistan.
Na ndio hayo Hizbollah alitumia kulipua kambi ya Galilee ya Northern Israel.Na tokea October mpaka mwezi uliopita Hizbollah karusha kama 680 target tofauti na yakafikia lengo tena alikua akirusha moja moja sio kwa mfululizo.
Iran ana varieties of missiles mkuu,hata hayo guided missiles Iran anayo na amewahi kutumia na yakaleta madhara.Pia Iran na Hizbollah wana stock ya kutosha,wakiamua kupiga pigo basi wanabadili silaha na huoni zikirushwa nyingi.
-Kulipuliwa kwa sehemu nyeti za Iran Mathalan nuclear sites mara nyingi zimekua zikifanyika kwa pandikizi wa ndani ya Iran ila sio nje,mwaka huu walifanya shambulio Isfahan ila likapanguliwa na kombora kuangukia pembeni.
Kuuliwa kwa wanasayansi na watu nyeti wa Iran mkuu ni japo linalowezekana kiwepesi kwasababu Iran kuna Jewish community ya Watu tarkiban laki 8.
Hivyo kuweka pandikizi wa Mossad ni rahisi sana,tofauti na Iran hana jamii yake Israel.

-Iran dome zimeonesha failure mkuu,mifano ipo mingi sana.
October 7 Hamas walirusha maroketi tena hafifu 5000 maroketi 2300 nzima yamepenya.Sasa unajiuliza kama maroketi 5000 nusu yake yamepenya je yangekuwa makombora yangepenya mangapi!?
Israel inapata madhara mkuu kwasababu kila mara imekua inapata internal displacement na imeonesha Israel sio miongoni mwa mataifa salama kutembelea.
Kinachomuokoa ni unconditional aids and grants kutoka USA na UK.
Laa sivyo hata uchumi wake ungekuwa unapotea.
Syria,Lebanon ,Yemeni,Iraq haya mataifa hayakuharibika kwa vita za Israel.
Kuna crisis nyingi haya mataifa yamepitia.
Ila all at all vita sio kitu kizuri maana ina athari ya pande zote mbili.
 
Eeeeehhhh nasikia usiku wa kuamkia leo, Ayatollah na walinzi wake wamehama handaki na kukimbia location nyingine, wako underground huko Tehran kuhofia kumalizwa na MOSAD, inaonekana MOSAD wameamua kukata vichwa vya viongozi tu au kuwamaliza viongozi wa maadui wao wote, wanajua wakimalizwa hoo, hakuna atakaye toa order za vita tena..!!

Kiongozi wa Hezbollah, Nasrallaah hajulikani alipo, sbb makomandoo wa MOSAD wameingia ndani ya Lebanon hawajulikani na wanamsaka live, Nasrallaah anajirikodi alafu anatuma clip kwa vijana wake waitume kwenye news outlets mbalimbali, ila haijulikani yuko wapi…!!
Pia kiongozi wa Houthi huko Yemen, hajulikani alipo, soon utasikia moto toka angani kwenye ndege vita za Israel zikimmaliza..!!

Ndani ya mwezi mmoja ujao tutasikia mengi..!!
Watu huwa wana set mambo yao, halafu wanatulia kama hawapo huku wakiwaachieni kauhuru mjione mmebakiza hatua chache kabla hamjsjiita washindi.
Hii inayoendelea sasa ni safishadafisha. Mafia Families walikuwa wanatumia sana hii. Ikishaamriwa msafishwe na laboa baada ya tukio fulani, basi watakuwekea mtu wa kujufuatilia kila uendapo, siku amri ikitike kundi lenu linakuwa linaookea taarifa za vifo tu, huyu kafia kanisani, yule kafia hotelini nchi fulani, mwingine kafia nchi nyingine kwa kugongwa na gari wakati akivuka barabara, meingine kanyongwa na kajaba aliyekuwa naye hotelini nchi fulani, mwingine bomu, mwingine risasi, mwingine madaktari walijichanganya badala ya kumuwekea drip yenye damu wakamuwekea drip yenye maziea.
 
Stupid reason. Yani wewe babu yako aondoke kwenye ardhi X, alafu miaka 100 ipite urudi wewe kwenye ardhi X udai ni ya kwako kwasababu babu yako aliimiliki.. Do you even hear yourself?
Kuna sheria inamtaka mtu asirudi kwenye ardhi yake baada ya miaka 100?.
nb: Hao waliorudi ni kama 35% tu..inayobaki ilikuwepo hapo hawajawai hata kufika Spain.
 
Umeongea vema mkuu.
Ila Iran anazo self guided missiles.
Na ndio hizo ambazo alitumia kulipua kambi ya USA 2018 kulipiza kisasi cha Qassem Soleiman pale Iraq.
Na ndio kombora hizo alizotumia kupiga tena kwa pigo moja maficho ya Mossad pale Kurdistan.
Na ndio hayo Hizbollah alitumia kulipua kambi ya Galilee ya Northern Israel.Na tokea October mpaka mwezi uliopita Hizbollah karusha kama 680 target tofauti na yakafikia lengo tena alikua akirusha moja moja sio kwa mfululizo.
Iran ana varieties of missiles mkuu,hata hayo guided missiles Iran anayo na amewahi kutumia na yakaleta madhara.Pia Iran na Hizbollah wana stock ya kutosha,wakiamua kupiga pigo basi wanabadili silaha na huoni zikirushwa nyingi.
-Kulipuliwa kwa sehemu nyeti za Iran Mathalan nuclear sites mara nyingi zimekua zikifanyika kwa pandikizi wa ndani ya Iran ila sio nje,mwaka huu walifanya shambulio Isfahan ila likapanguliwa na kombora kuangukia pembeni.
Kuuliwa kwa wanasayansi na watu nyeti wa Iran mkuu ni japo linalowezekana kiwepesi kwasababu Iran kuna Jewish community ya Watu tarkiban laki 8.
Hivyo kuweka pandikizi wa Mossad ni rahisi sana,tofauti na Iran hana jamii yake Israel.

-Iran dome zimeonesha failure mkuu,mifano ipo mingi sana.
October 7 Hamas walirusha maroketi tena hafifu 5000 maroketi 2300 nzima yamepenya.Sasa unajiuliza kama maroketi 5000 nusu yake yamepenya je yangekuwa makombora yangepenya mangapi!?
Israel inapata madhara mkuu kwasababu kila mara imekua inapata internal displacement na imeonesha Israel sio miongoni mwa mataifa salama kutembelea.
Kinachomuokoa ni unconditional aids and grants kutoka USA na UK.
Laa sivyo hata uchumi wake ungekuwa unapotea.
Syria,Lebanon ,Yemeni,Iraq haya mataifa hayakuharibika kwa vita za Israel.
Kuna crisis nyingi haya mataifa yamepitia.
Ila all at all vita sio kitu kizuri maana ina athari ya pande zote mbili.

Mkuu, gaps ndio zinakufanya uwe dhaifu na kupigika kirahisi, kama tunakubaliana ndani ya Iran kuna pro-israeli na ndio wanawezesha high profile kuwa eliminated unafikiri unawezaje kuwa salama kijeshi maana hao hao informers ndio wanaweza hata kujua stock ya ammunition yako na namna inafanya production nk.

Vita yeyote inaanzia kwenye ujasusi, ukifeli kwenye ujasusi maana yake hata vitani unaweza kufail vibaya, ndio maana kuna wakati gharama za ujasusi zinaweza kuwa kubwa kuliko vita yenyewe maana ujasusi pia unaweza kuepusha vita kwa kuimaliza kabla haijaanza.
 
Achana na propaganda mkuu,hao waisrael toka mwaka jana Hadi Leo wao kama Wana uwezo si wangeimaliza hii vita mapema kabisa inakuaje vita vinapiganwa huu karibia mwaka na wao ndio wenye technology kubwa na wanasapotiwa Karibu na ma super power yote duniani? Wayahudi walivhofanikiwa ni kumilik vyombo vya habari vingi na vikubwa duniani yaani wanaweza kutengeneza propaganda na wakaaminika ila ni weupe Tu na tayari hii vita Isha waelemea Kwa wao mi nasema wameelemewa unabishanaje na taifa lisilo na nguvu Kwa muda wote huu
wayahudi wapo milioni kumi waarabu wapo milioni mia nne ulitarajia vita iishe ndani ya muda gani?
 
Mkuu, gaps ndio zinakufanya uwe dhaifu na kupigika kirahisi, kama tunakubaliana ndani ya Iran kuna pro-israeli na ndio wanawezesha high profile kuwa eliminated unafikiri unawezaje kuwa salama kijeshi maana hao hao informers ndio wanaweza hata kujua stock ya ammunition yako na namna inafanya production nk.

Vita yeyote inaanzia kwenye ujasusi, ukifeli kwenye ujasusi maana yake hata vitani unaweza kufail vibaya, ndio maana kuna wakati gharama za ujasusi zinaweza kuwa kubwa kuliko vita yenyewe maana ujasusi pia unaweza kuepusha vita kwa kuimaliza kabla haijaanza.
Sawa ngoja tuupe muda nafasi.
 
wayahudi wapo milioni kumi waarabu wapo milioni mia nne ulitarajia vita iishe ndani ya muda gani?
Kumbe Gaza na Hamas wapo milioni 400!?
😂😂😂😂😂Nilikua sijui kama Gaza na Hamas wana idadi ya milioni mia nne.
 
Na badoo yaan hii ni trela picha linakuja
Mpaka mnyee
Ngoja waoneshane makali
Kipindi sadam Hussein anatafutwa, kuna wa Islam kitaani, walijitapa kwamba USA haiwezi, kumpata, akapatikana akanyongwa, likaja janga LA ISS, wale islam walikuwa wanaona ufahari mkristo akichinjwa, wengine zile video wakawa wana save kwenye simu, wakisikia allah akabar,wakati mchinjaji anafanya yake, wanaona wameuweza ukrsto, nikawaambia, it's matter of time, tutawamaliza ISS,
Sasa kwenye issue ya Gaza, Hamas, na viongozi wake kuuliwa, tena ndani ya Iran, nawaona maswaiba zangu islam, jinsi mavi yalivyowabana, hawaamini kinachotokea,
Mala hii, lazima tuwatindue malinda
 
Kipindi sadam Hussein anatafutwa, kuna wa Islam kitaani, walijitapa kwamba USA haiwezi, kumpata, akapatikana akanyongwa, likaja janga LA ISS, wale islam walikuwa wanaona ufahari mkristo akichinjwa, wengine zile video wakawa wana save kwenye simu, wakisikia allah akabar,wakati mchinjaji anafanya yake, wanaona wameuweza ukrsto, nikawaambia, it's matter of time, tutawamaliza ISS,
Sasa kwenye issue ya Gaza, Hamas, na viongozi wake kuuliwa, tena ndani ya Iran, nawaona maswaiba zangu islam, jinsi mavi yalivyowabana, hawaamini kinachotokea,
Mala hii, lazima tuwatindue malinda
Kuuawa kwa viongozi haikuanza leo.
Na wala haitazuia Iran na axis of resistance kufanya kazi.
Subirini kisasi kulipwa.
 
Kumbe Gaza na Hamas wapo milioni 400!?
😂😂😂😂😂Nilikua sijui kama Gaza na Hamas wana idadi ya milioni mia nne.
unajua kusoma kweli? nimeandika waarabu wewe unasema gaza na hamas, unachojua wewe ni kwamba israel anapigana na hamas tuu? unajua israel anatungua drones ngapi za wahouthi na hezbolah? kweli we chizi
 
Back
Top Bottom