nyiokunda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 1,976
- 1,181
Duuu kama hii ni kweli basi dini na huyo ALLAH wote magaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu kama hii ni kweli basi dini na huyo ALLAH wote magaidi
Huyo uliyemjibu kakusudia kumaliza vita ya Hamas.unajua kusoma kweli? nimeandika waarabu wewe unasema gaza na hamas, unachojua wewe ni kwamba israel anapigana na hamas tuu? unajua israel anatungua drones ngapi za wahouthi na hezbolah? kweli we chizi
Unaweza kuweka Aya ya QUR'AN inayozungimzia haya?!Kulingana na nyakati tulizoko, NB going to the Mark 2000yrs, hizi vita they are going to get nasty 😳. Kibaya zaidi waislamu wakiaminishwa na Quran yao kuwa watawaangamiza wayahudi na baadae wakristo ili dola ya kiislamu ishike hatamu duniani kote wanawatanguliza maskini wapalestina wawatu vitani wakiwaaminisha kuwa wanapigana vita ya Allah
Hahahaa hawaabudu shetani kiongozi. Lakin huo ndio ukweli hata kam mchungu wameze tuSubiria matusi na maneno machafu na kejeli kutokea pande ile kwa muda huu wapo wanamuabudu shetani kwanza
Ana taarifa za ndani kabisa huku hajawahi hata fika.Huyo mwamba ana habari za ndani kabisa za iran
Aah kuna jf memba wanajiona nani sijui aseee 😀😀😀
Huyo uliyemjibu kakusudia kumaliza vita ya Hamas.
Inaonekana una tatizo la uelewa.
Houthi nao wasingeshambulia kama si USA na UK kupeleka misaada Israel ya kijeshin
Tukiwaambia kobaaz kuwa myahudi ni habari nyingine huwa wanabisha haya sasa naye kawahishwa kuzimu bado huyu shetani Sinwar yahaya huyu ndo most wanted ibilisi kabisa huyu siku akipatikana mayahudi watamgawanaMossad wako busy kipindi hiki kuliko wakati wowote.. .
Netanyahu alishakula kiapo kusaka magaidi popote pale walipo
Arafat baada ya kuzikwa alikuja alafukuliwa na akakutwa mwili wake ulikua na sumuAlikufa natural death, hakuuawa.
Hamas wa Buza watabisha.Huo ni ujumbe wa Israel kwa maadui zake wote popote pale walipo duniani, hata kama ukiwa Tandahimba huwezi kuwa salama.
Hawa Israel tukubali tukatae Mungu amewajalia akili sana kitendo kilichopelekea hata Hitler kuwachukia sana, Dunia inatakiwa ielewe kwenye mishipa ya damu ya wayahudi kunatembea damu ya Albert Einstein hivyo umakini na mikakati hatari waliyokuwa nayo sio vitu vya kubahatisha ni natural gifts.
Hivyo myahudi akitaka kukumaliza huwezi kumkwepa mahala popote, hata Aldof Eichmann mmoja wa mastermind wa Holocaust hakuamin alivyojikuta mikononi mwa Wa-Israel licha ya kukimbilia kujificha vijiji vya ndani ndani huko Argentina 1960.
Kwa yanayotekea hawa jamaa hawabahatishi, Hizi nchi za Yemen, Iran and the likes kama wanataka vita na Israel wafanye risk assessment vizuri mara nyingi watamba wana silaha zinazofika sehemu yeyote ndani ya Israel. Wanasahau kitu kimoja cha muhimu katika medani za kivita kuwa "War is all about mindsent and well organized intelligence".
Unaweza kuwa na silaha zinazofika kila mahala lakini zikawa intercepted zote.
Kitendo cha Israel mmoja kuumiza vichwa nchi karibia zote za mashariki ya kati inabidi wajue Israel ana kitu cha ziada kwenye medani za vita na ushushu ambacho labda wao hawana.
Nimelenga kipengele cha Hamas naona unahamisha mada.shehe ubwabwa vita ya israel na arabs haijaanza leo wala jana inawezekana ulikua hata hujazaliwa hiki unachokiona hapa ni muendelezo tuu wa vita..israel hapigani na hamas bali anapigana na arabs..hao hamas ni kama ground tu ya kupigania
😄😄 Acheni utani kwenye mambo seriousHamas wa Buza watabisha.
Na mi najiuliza si wanasemaga Iran ni balaa yahudi hamuwezi sasa inakuwaje tena mja wa allah hani anauwawa tena ndani ya Iran jameni🤣😂😆 wairani walikuwa wapi kumlinda 🤣😂😆Ina maana hawakujua kuwa kombola limetumwa
Waislamu wanavita na wakristoWapi imeandika wakati utabiri wa pale mpaka ule msikiti umeshatajwa itakavyokuwa , usilee ufunuo hapa 😀 😀 Wewe israel sio nduguyako acha shobo wanawatemea mate kama wanyama .
Usiongee hakuna vita waislamu na dini nyingine , zaidi ni chuki baina ya watu ila hakuna vita ..
Iran ni overrated tena sana tu, na infact bila msaada wa russia, china wangekuwa hoi sana haoYes, tunaassume hivyo maana hata Iran mwenyewe hajui zaidi yakusisitiza shida ni Ukungu ilihali ilikuwa convoy ya 3x Helicopter na iliyombeba Rais ilikuwa katikati lakini ikavanish kwenye radar ilihali hizi mbili ziko operational.
Gaps ndio zinatutia shaka kwa Taifa kubwa kama Iran yenye uadui na super powers, kwanza unatumiaje Helicopter iliyotengenezwa na adui, tena kubeba high profile leader ambaye anawindwa usiku mchana, hii ilionyesha udhaifu wa Hali ya juu maana kwenye Helicopter Kuna electronics chips hasa control box ambazo unaweza kuwasiliana nazo remotely na hata kushutdown engine au device nyingine muhimu zakuiweka angani Helicopter.
Iwapo unaamini katika uweza wa Mungu, hilo lisikupe tabu, maana Mungu aweza kujigeuza kuwa binadamu na wakati huohuo ni munguMungu wa biblia anaweza hata kukamatwa akiwa na kijana aliyeweka chupi begani pia anaweza hata akipata kibano kumlilia Mungu wake wa kweli Na machozi ya damu kumtoka au vipi?