Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
CHADEMA wa wapi hao?Umeamua urukie kwa wanasiasa?Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA wa wapi hao?Umeamua urukie kwa wanasiasa?Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau.
Ungejiheshimisha sana kama ungeweka ushahidi hapa wa tamko la Chadema kufurahia kifo cha huyo Haniya wako, vinginenvyo utaonekana umelewa matapupu na kuvimbiwa mchemsho wa nguruwe.Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wnaalalamika wnatekwa lkn kifo cha Haniya wnaafurahia
Kavimbiwa kitimoto huyu anatafuta pa kupumulia.CHADEMA wa wapi hao?Umeamua urukie kwa wanasiasa?
Yote kwa yote kuuwawa kwa gaidi ni furaha kwa wapenda amani wote duniani. Hongera sana Benjamin Netanyahu na endelea kuwafyeka hao washenzi.
Hata Mbowe kosa busara za Mama hivi sasa tungalisikia historia. jee ulifurahia pia?Yote kwa yote kuuwawa kwa gaidi ni furaha kwa wapenda amani wote duniani. Hongera sana Benjamin Netanyahu na endelea kuwafyeka hao washenzi.
Sisi tunafurahia gaidi limeuwawa huko wewe unaleta ngonjera zako, nenda na wewe ukavishwe mabomu ukalipuliwe ili ukafaidi mabikra 72 na swimming pool za pombe.Hata Mbowe kosa busara za Mama hivi sasa tungalisikia historia. jee ulifurahia pia?
Walid bin Khalid alikuwa mmoja wa viongozi maarufu na mashuhuri wa kiislamu katika historia ya mapema ya Uislamu. Hapa kuna maelezo kuhusu yeye:Sisi tunafurahia gaidi limeuwawa huko wewe unaleta ngonjera zako, nenda na wewe ukavishwe mabomu ukalipuliwe ili ukafaidi mabikra 72 na swimming pool za pombe.
Kwahiyo watu wa CCM wenyewe wanabubujikwa na machozi ya huzuni kwa kifo cha huyo gaidi?Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wnaalalamika wnatekwa lkn kifo cha Haniya wnaafurahia. Hii inathibitishwa hapa Jf Baada ya user wnaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
Hamza bin Abdul-Muttalib alikuwa mmoja wa wahusika wakuu katika historia ya Uislamu na ni maarufu kwa mchango wake mkubwa katika kueneza dini ya Kiislamu. Hapa kuna maelezo kuhusu Hamza:Yote kwa yote kuuwawa kwa gaidi ni furaha kwa wapenda amani wote duniani. Hongera sana Benjamin Netanyahu na endelea kuwafyeka hao washenzi.
GAIDI KWA UPANDE WAKIRISTO NA MAYAHUDIKwahiyo watu wa CCM wenyewe wanabubujikwa na machozi ya huzuni kwa kifo cha huyo gaidi?
Yaani mtu kaamka na hang over yake ya mipombe michafu bila ushahidi analaumu kuwa Chadema wanashangilia kuuwawa kwa gaidi la kipalestina, angetuweke basi hata officia statement ya Chadema wakifurahia kifo hicho, lakini anataka kutushirikisha utopolo wake tu. Huu ni wenda wazimu hata, Mods wanatakiwa threads kama hii ya uzushi wazifute.Yaan mada ndogo tu yaweza kukushusha thamani...Kuna muda so lazima tufungue thread
Mkishashiba basi Kila MTU anaropokwa tuUkishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wnaalalamika wnatekwa lkn kifo cha Haniya wnaafurahia. Hii inathibitishwa hapa Jf Baada ya user wnaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
Yaani mtu kaamka na hang over yake ya mipombe michafu bila ushahidi analaumu kuwa Chadema wanashangilia kuuwawa kwa gaidi la kipalestina, angetuweke basi hata officia statement ya Chadema wakifurahia kifo hicho, lakini anataka kutushirikisha utopolo wake tu. Huu ni wenda wazimu hata, Mods wanatakiwa threads kama hii ya uzushi wazifute.
"Albadiri" ni uchawi na ushirikina hivyo sio katika Uislam. Actually, kuendekeza mambo kama "albadiri" ni moja ya sababu ya kudhoofika kwa Waislam. Waislam tunapaswa kurejea katika Dini yetu, tujisafishe itikadi zetu kutokana na ushirikina na kuachana na mambo yote yenye kuharibu Dini. Udhalili moja ya sababu yake ni mambo kama haya.Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Mada yawahusu wenye ilimu pekee tusio na ilimu tukae tupate maarifa.
Hoja ni swali kuwa kisomo cha albadiri dhidi ya mayahudi waliomuasi Mungu kinawezekana? Kitaleta matokeo fyaliyokusudiwa? Kwanini hakisomwi? Shida Iko wapi?
Niwatakie asubuhi njema