Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anafanya kejeli sio muislamu ndio tatizo lao kuna yule boss ya Dp world , uliona wapi watu wakaandaman kwa mambo ya nje ?Tuililie Tanzania yetu kwanza...hao nduguzo weusi wanaotekwa na kuuliwa je hawakuumi...hawakustahili kufanyiwa maandamano? Waafrika waafrikaa☹️
🤣🤭Tupe mchoro wa njia tutakazopita mkuu.Miili haijachangamka siku nyingi hatujapigana na migambo.
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni muhimu, Jiandikishe kwenye Orodha ya Mpiga kura wa Serikali za Mitaa Tarehe 11 - 20/10/2024 ili uweze kushiriki Uchaguzi.
Utakuwepo mkuu?Mambo ni ngangari bin ngunguri!😁
🤣🤣🤣Unavituko wewe🙌Utakuwepo mkuu?Mambo ni ngangari bin ngunguri!😁
Ripoti zinasema wamekutana nae bila kutarajiaMossad sijui Israel sijui Mayahudi yaani wanaamua tu week hii nani tumweke kwenye target. Wanamla kichwa. Si sawa. Yahya Sinwar ni kiongozi mkubwa sana wa Hamas. Wamemuua
Serikali isinyamaze. Hili suala si dogo Israel wana tick tu kwenye kidaftari chao
✅ TAYARI
Si sawa hata kidogo. Wameonesha na video Sinwar amebaki na fimbo tu kafunikwa na mavumbi mpaka kwenye ulimi. Huu ni udhalilishaji. Si sawa. Tuandamaneni jamani.
Ritz Jagina Malaria 2 Adiosamigo tukitoka msikiliza Sheikh Kitinku leo tuandamaneni Serikali itoe tamko kuwakemea hawa Israel. Tena Ritz unakumbuka hawa Israel walihukumiwa kule South Africa? Unakumbuka zile threads ukionesha kuwa watafungwa muda si mrefu? Kumbushia wafungwe please. Wamezidi kwa kweli.
Kifaru na drone vimemuondoa Kwenye uso wa dunia .Kachapwa drone au ilikuwaje,duuh!
Mwanamme uliyekamilika unaanzaje kushikwa namna hii? Isije kuwa walikuwa wanachama upinde .Kwa wale mlikuwa hamumfahamu huyu ndo Sinwar Yahya wote wawili pichani hawapo Duniani kwa sasa.
View attachment 3128396
Basi sote kwa pamoja tuseme takbiiiirMbona muhamad kwenye quran alimnyonya mtoto wa dada yake ulimi?ni kawaida tu kwao.
Walah hawamkubal.....Basi sote kwa pamoja tuseme takbiiiir