Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Wanajeshi wengi wanamjua kwa picha tu mostly of IDF ni makid tu age 20-26 Sinwar hadi anatoka jela 2010 sijui 2021 walikuwa shule za misingi... so kuona sura inafana na Sinwar imebidi wakampime for surely. nadhani mwezi mmoja uliopita kuna mwili pia waliubeba wakidhani ni Sinwar.

Ila niwapeni Pole Muslim world kwa kufiwa na kipenzi chenu Sinwar.. i hope mtaachia mateka ili muishi another exchange of your life.

Nasikia Arabs kule Gaza wameshangilia news ya kudedishwa Sinwar je ni Kweli?
We wacha story nyingi wao wenyewe Israel walikuwa hawakutegemea kama ni yeye walidhani ndugu yake. Walikuwa wanazua uwongo oh jamaa anajificha kumbe jamaa anapigana. Technology ya israel na US yote ni fake tu oh tunamuona Sinwar chini ya tunnels anakimbia kila kukicha 😄 Wamemkuta kwenye tunnels???,,,??,,?

Yahya Sinwar alikuwa akiomba kifo hicho cha ushujaa kuna video nyingi alikuwa anasema anaomba Mungu akifa awe sio kalala kitandani awe kafaa kishujaa ambao ni Mashahiidi
 
Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
Story za kwenye kanga
 
Halafu roho ndiyo itatupwa ziwa la moto na ile njema itakua ikimsifu na kumuabudu Mungu huku roho hizo zikinywa divai na yesu!?...

Mmepotea wazee,hamjui hata mnaabudu nini
Wewe ndio huijui biblia. Yesu mwenyewe anasema imeandikwa kwa mafumbo ili wana wa nuru waielewe sio nyie wana wa giza.
 
Ona uzi umetembea26 waisrael wa kisauke walijifisha baada y Iran kumdhalilisha bwana wao taifa teule. Wameibukia kwa sinwar kwamuiran wamesaza.
 
Ukimaliza nenda kajipongeze kwa kusujudia sanamu lililovaa kichupi.

View attachment 3128197
IMG_3143.jpeg
 
kwani hamas si imeanzishwa na shehe na aliuliwa akiwa anatoka msikitini? haya unasema makombora kulipiza kisasi, ni kisasi kivipi kwani yamemuua nani au wewe hujui maana ya kisasi nini? kisasi mana yake ukiua na mimi nalipiza kwa kuua
Bro unajielewa au unaropoka!?
Kwahiyo kisasi ni kuua tu au siyo!?
Hivi unajua kama kitendo cha Iran kushambulia kwa makombora Israel ni sawa na kutangaza vita ya wazi kwa Israel!??
Mbona kama najadili na katoto kasichojua diplomasia!??
 
Usiwe na haraka wakati wa Iran utafika pia. Omba wasidhurike raia wasio na hatia.
Iran imeshasema,Israel ikijibu itajibiwa mara elfu yake.
Na ikigusa raia basi nao Iran itapiga raia.
Usiisahau hiyo kauli.
 
Usiseme ulimwengu wa leo sema Israel.
Kama kuuliwa kwa kamanda wa kawaida wa IRGC Iran ilirusha zaidi ya makombora 200+,sasa jiulize ukimuua Supreme leader kitakukuta nini!?
Walirusha makombora 200 yasiyo na madhara yoyote

Kurusha kitu gani wewe
 
Walirusha makombora 200 yasiyo na madhara yoyote

Kurusha kitu gani wewe
Video zilitumwa humu madhara yalitokea ikiwemo kuharibika Nevatim airbase.
Ulimwengu huu wa utandawazi unamdanganya nani bro!?
Kila mtu aliona humu madhara ya yale makombora.
Acha utoto bana.
 
Video zilitumwa humu madhara yalitokea ikiwemo kuharibika Nevatim airbase.
Ulimwengu huu wa utandawazi unamdanganya nani bro!?
Kila mtu aliona humu madhara ya yale makombora.
Acha utoto bana.
Hakuna chombo chochote cha kimataifa kinachoheshimika ikiwemo TV ya waislamu ya aljazeera kilichotangaza hizo habari ni vimitandao uchwara vya youtube ndivyo vilisema hivyo
Hakukuwa na madhara yeyote
 
Back
Top Bottom