Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Nimeona hizo picture wala sio Yahya Sinwar
Uislam unaondosha akili.. kaa nao mbali sana. Utasema na hii Taqiyya pia ibada ya Allah

Aljazeera pia watasema pia IDF imeua raia aitwaye Sinwar na raia walikuwa nao wawili including woman and chidren.. Waziri wa Afya wa Hamas nae anaongeza list ya idadi ya raia waliouliwa na idf akiwepo Sinwar.. Tatizo ni Uislam tunawapenda ila akili ndio zimeisha kama kisu butu.. hameni huko akili ziwarudie
 
Nipo hapa nagonga ko

Niko hapa nagonga kitimoto na konyagi kusherehekea ushindi mkubwa wa Israel Taifa la Mungu wa kweli.

Kobaz wakiongozwa na Faizafox endeleeni kutangaza kwamba Hamas wanasonga mbele. Situpidi
Ila wenzako hamwamuabudu yule Brian Deacon aliyetundikwa msalabani na kuvalishwa nepi.
 
Kumbe alikuwa kajificha shuleni
Kama kawaida magaidi ya kidini huwa wanajificha shuleni na hospitalin nyuma ya wanawake na watoto
 

Attachments

  • IMG_4964.jpeg
    IMG_4964.jpeg
    374.3 KB · Views: 4
Uislam unaondosha akili.. kaa nao mbali sana. Utasema na hii Taqiyya pia ibada ya Allah

Aljazeera pia watasema pia IDF imeua raia aitwaye Sinwar na raia walikuwa nao wawili including woman and chidren.. Waziri wa Afya wa Hamas nae anaongeza list ya idadi ya raia waliouliwa na idf akiwepo Sinwar.. Tatizo ni Uislam tunawapenda ila akili ndio zimeisha kama kisu butu.. hameni huko akili ziwarudie
Ikiwa Israel mpaa wamepima DNA ndio wamemjua sa mimi nimjue kwenye picture ambazo hazina dalili 💯 ni yeye.
 
Sinwar was warrior, Israel ni Ardhi ya wapambanaji licha ya ujinga wao Waisrael na Wapalestina ni wapiganaji hasa tofauti yao Wapalestina wamekubali kupotoshwa na Dini ya Mnyazimungu

FaizaFoxy Sinwar alikuwa Warrior hasa
 
Waislam hua hatuombi amani tunawatakia watu amani, sisi tunataka haki itendeke likifanyika hilo amani itakuja yenyewe
Nyie kwa jinsi mlivyo mngekuwa ndo mmeishikilia hii dunia mngetutesa sana sisi wakristo.
 
Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
Acha warushe na Israel nae arushe kwao tuone nani mbabe.
 
Israel inatamani Ayatollah achukue uongozi wa HAmas au Hezbollah naye imponde.
 
Back
Top Bottom