Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuwa anapambana ila aliuawa kama kukuSinwar hakuuawa kwa shambulizi la ndege bali mortar,na wala hakuwa chini handakini bali sambamba na askari wake wakipambana na israel,waliporusha mortar wala hawakujua kuwa sinwar yupo hapo walipolenga
It is 76 years of struggling and resistance till victory ✌️Palestine 🇵🇸 doesn't exist neither Palestinian people
Na ni vizuri kama makobazi yenyewe ni ovrsize na miguu imechanika(ina ugwambala/makegete/makenya) visiginoni.Kipenzi cha mtume na makobazi katimba 🔥 tayari
😀😀😀Hizo picha ni AI generated acheni kupumbazika, maofisa wa Israel sio wendawazimu kusambaza picha za namna hiyo mtandoni hata kama angekuwa kauwawa kweli
Atauawa kisayansi sio kwa komboraAyatollah khameneiii hawamuui yule sio muhuni kama Hawa Hizborah sijui hamas.. yule analindwa na Sheria za kimataifa. Labda watamjegeja kama yule rais wa iran
Hahahahaahah 😃 😃 😃Na ni vizuri kama makobazi yenyewe ni ovrsize na miguu imechanika(ina ugwambala/makegete/makenya) visiginoni.
Terrorism is not resistanceIt is 76 years of struggling and resistance till victory ✌️
Yùko uturuki huyo anasubiriwa aingie gazaAtaliwa kichwa ndani ya mwezi mmoja
Acha tu yakiwaza bikira 72 na umalaya wao yanaenda Kama manyumbu yenye kitu yameona maji yasijue mtoni Kuna mambaIle picha inamuonyesha mshangazi Yahya Sinwar alikuwa ameshachoka sana yaani alikuwa amebakia fuvu tu yaani Iran inawatumikisha hawa wapumbavu na wao wanatumika ka toilet paper/kondom
Hiyo nafasi kwa ajili ya kuwahi bikira 72. Sasa Malaya wa kuwaza mademu ndiyo nafasi yake hiyo ipo waziiiii. Mususu mususu.Hamas wateue kiongozi mwingine sasa kujaza pengo
Halafu kauliwa na kijana wa miaka 18 hana hata bejiIla IDF wanamdharau Sana. Eti ilikuwa bahati mbaya Wala haikuwa operation.
Hiyo nafasi kwa ajili ya kuwahi bikira 72. Sasa Malaya wa kuwaza mademu ndiyo nafasi yake hiyo ipo waziiiii. Mususu mususu.Hamas wateue kiongozi mwingine sasa kujaza pengo
Nyie watu ni kama mateka vileHamas ipo kwenye damu za wapalestina ile ni ideology huwezi kuuwa ideology. Kila mtu Gaza na West Bank ni freedom fighters.
Bonge la tusi hilo! Means IDF haiwezi kufanya special op kwa "kuku" kama yule. Amekufa just by the way!Hawa wajamaa wana mbwembwe eti not special operation.
Nadhani ni shambulizi la kuvizia.Kachapwa drone au ilikuwaje,duuh!
Amiin inshaallahSawa! Allah atamzawadia pepo daraja ya kwanza kabisa pamoja na kipenzi chetu Nasra
Dunia nzima wenye kusherehekea wanasherehekea, wenye kuomboleza wanaomboleza, isipokuwa wewe mmoja tu uliyepo nyuma ya key board ndiyo unajua zaidi na haukubaliani hata na vyombo vya kimataifa?Hizo picha ni AI generated acheni kupumbazika, maofisa wa Israel sio wendawazimu kusambaza picha za namna hiyo mtandoni hata kama angekuwa kauwawa kweli