Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Yanaendelea wapi? Kamanda Sinwar alikuwa anatoroka ndio kakutana na maiti. Kilichobakia ni kuwafagia wote waliobaki bila kujali wamejificha hospitalini au shuleni lipua wote ili Gaza ikombolewe.
Hamas ipo kwenye damu za wapalestina ile ni ideology huwezi kuuwa ideology. Kila mtu Gaza na West Bank ni freedom fighters.
 
Makafiri hata walipotaka kumuuwa Yesu walifirahi Kama wewe , hata kama atakuwa kafa , wewe Huo ukristo wako wa Paulo upoupo huna uhakika nao mbele ni kiza , huna zaidi ya kuendeshwa na shetani mauti yakikufika anakuwacha mkono uangamie peke yako
Screenshot_2024-10-17-21-30-47-653_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-17-20-50-31-166_com.twitter.android~3.jpg
Screenshot_2024-10-17-21-26-48-265_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-17-20-50-41-579_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-17-20-50-31-166_com.twitter.android~2.jpg
 
— 🇮🇱/🇵🇸 NEW: Hamas leader Yahya Sinwar was found above ground, wearing a combat vest and with an AK by his side, together with two of his bodyguards

He was not hiding in a tunnel, nor was he hiding amongst civilians or Israeli hostages. He was besides his own fighters, right at the line of confrontation with the IDF.

After all these months, he was not killed by an airstrike or a targeted assassination; an Israeli soldier found his body by complete coincidence, after firing mortars at Hamas fighter in the area.

@Middle_East_Spectator
Kwahiyo?
 
Haikileta madhara yoyote. Ni sawa na walipiga matoys
Taarifa zilijaa kote kambi za jeshi ikiwemo Nevatim airbase ililipuliwa wewe unasema hakuna madhara.
Bro ulimwengu huu wa utandawazi utamdanganya nani!??
 
yahya sinwar ni shujaa,amekufa akipigana,akipigania haki ya nchi yake palestina,usimkejeli na hayo ya bikra hayana maana yoyote,wewe hujui chochote kuhusu mateso ya wapalestina,ipo siku haki yao itapatikana

Hamna kitu. Huyo ni gaidi. Wapiganaji wa uhuru ni PLO/ Fatah. Hawa akina Sinwar ndio kikwazo Cha kupatikana kwa taifa la Palestina. Ngoja wasafishwe halafu Gaza iwe Chini ya UN
 
Faiza Fox upo wapi. Msiba mwingine huu unaokuhusu umetokea leo huko Gaza sinza!ukienda msibani huko Gaza usisahau kuwashauli ya kuwa: USIPIGE NGUMI NCHA YA MKUKI!
 
Hamna kitu. Huyo ni gaidi. Wapiganaji wa uhuru ni PLO/ Fatah. Hawa akina Sinwar ndio kikwazo Cha kupatikana kwa taifa la Palestina. Ngoja wasafishwe halafu Gaza iwe Chini ya UN
Yahya Sinwar was a resister, not a terrorist Yahya Sinwar was defending his land against the most despicable people in the history.
God save Gaza and Palestine.
 
wajukuu wa Rebeca wanatupa raha jamani. leo kachinja yahaya sin wali, kesho yahaya sin pilau keshokutwa yahaya sin bilian mtondo goo wapenzi wa soka raha mpyaa raha ya yanga kuifunga simba 9-0!
 
Amepata malipo yake. Aliuwa watu kihuni Octoba 7 naye kaipata Leo.
Viongozi wengi wa Hamas kabla ya Sinwar wameuawa na Israel ila bado Hamas haikufutika wala mzozo haukumalizika.

Kuwaua viongozi wa Hamas sio suluhisho la kudumu la mgogoro huu wa miaka 75, suluhu ya kudumu ni Palestine ipate nchi yao na ukaliaji kimabavu (occupation) ufike mwisho.

FRANC THE GREAT zitto junior
 
Back
Top Bottom