Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kinachoenda ni Roho bila Mwili, Roho itafanyaje Ngono?!
Halafu roho ndiyo itatupwa ziwa la moto na ile njema itakua ikimsifu na kumuabudu Mungu huku roho hizo zikinywa divai na yesu!?...

Mmepotea wazee,hamjui hata mnaabudu nini
 
Nipo hapa nagonga ko


Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.

SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...

Pia soma
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
Niko hapa nagonga kitimoto na konyagi kusherehekea ushindi mkubwa wa Israel Taifa la Mungu wa kweli.

Kobaz wakiongozwa na Faizafox endeleeni kutangaza kwamba Hamas wanasonga mbele. Situpidi
 
Acha mikwara mbuzi. Mbona Haniyeh kapigwa ndani ya Irana Tena eneo la Kambi ya jeshi?.
Ismail Haniyeh kwani ni kiongozi wa dini!??
Mbona unachanganya mada!?
Nimekuambia muue kiongozi wa dini uone.
Pia usisahau yale makombora ya Oktoba 1 ndio kisasi cha Ismail Haniyeh.
 
Huyo Supreme Leader atajifia mwenyewe kwa stress huko kwenye mahandaki. Maana wairani wenyewe hawamtaki
Pole yako,humtaki wewe ila Iran wote wanampenda maana ni kiongozi wa dini ya dhehebu la Shia.
 
Team wabong'oaji husema wayahudi wanaua wanawake na watoto naona mwanamke wao Yahya Sinwar leo kajaa kwenye mfumo wa myahudi
Mathayo 26:39

TKU
Kisha Yesu akaenda mbele kidogo. Akainama hadi chini uso wake ukiigusa nchi akiomba na akasema, “Baba yangu, ikiwezekana, usifanye nikinywee kikombe hiki cha mateso. Lakini fanya lile ulitakalo na si lile ninalolitaka mimi.”
 
Back
Top Bottom