kwakuwa hizbullah inafadhiliwa na iran ni jambo la kawaida tu iran kumtoa kamanda wake akawape mafunzo hizbullah na hiyo haiifanyi hizbullah isiwe kikundi cha wahuni na wavuta bangi. Kama iran karusha makombora tel aviv nao warushe tehran kulipiza kisasi halafu tumjue mbabe wa middle east ni nani? Kuliko kuendelea kuogopana kama majogoo.kabla ya kusema nakurupuka ulitakiwa ujiulize kamanda wa Iran aliyeuliwa wakiwa pamoja naslarah alikua anafanya nini lebanon? tumia akili za kichwani sio za matakoni, israel hajajibu we ulitaka ajibu vipi? ulitaka na yeye arushe makombora sio? acha ukichaa wewe
sasa aliyekuambia ukirusha kombora na mimi natakiwa nirushe kombora ni nani? we usinipangie mimi cha kufanya, mimi kama nina uwezo wa kukupiga bila kurusha kombora je?kwakuwa hizbullah inafadhiliwa na iran ni jambo la kawaida tu iran kumtoa kamanda wake akawape mafunzo hizbullah na hiyo haiifanyi hizbullah isiwe kikundi cha wahuni na wavuta bangi. Kama iran karusha makombora tel aviv nao warushe tehran kulipiza kisasi halafu tumjue mbabe wa middle east ni nani? Kuliko kuendelea kuogopana kama majogoo.
mbabe wa middle east si anajulikana tu?kwakuwa hizbullah inafadhiliwa na iran ni jambo la kawaida tu iran kumtoa kamanda wake akawape mafunzo hizbullah na hiyo haiifanyi hizbullah isiwe kikundi cha wahuni na wavuta bangi. Kama iran karusha makombora tel aviv nao warushe tehran kulipiza kisasi halafu tumjue mbabe wa middle east ni nani? Kuliko kuendelea kuogopana kama majogoo.
unasema israel hapigani na iran ila kauliwa naslara na haniya iran ndo imerusha makombora sasa jiulize hapo ndo utapata jibumbona unakurupuka kama mtu asiejitambua? Israel hapigani na iran na hajawahi kupigana na iran hata siku moja na mimi siizungumzii iran navizungumzia vikundi vya wanamgambo kama hamas,hizbullah ambavyo vinafadhiliwa na iran. Si ni juzi tu hapa iran karusha makombora 180 israel na hadi sasa hivi israel hajajibu yupo kimya unasemaje iran hawezi kupigana na israel? Iran sio waarabu na hawajawahi kuwa waarabu.
hata israel na yeye alirusha makombora zaidi ya 100 iran yakadunguliwa yote na hayakuleta madhara au ulikuwa umekufa wakati yanarushwa ndio umefufuka leo? Au ulikuwa haujazaliwa ndio umezaliwa leo?sasa unarusha makombora 180 alafu yote yanatunguliwa angani moja linadondokea milimani na wewe unajiita kidume?
achana na habari za kuuwawa kwa hao wanywa gongo na vizee vilivyojichokea mimi ninazungumzia vita kamili(an all out war)kati ya waajemi na wajukuu wa musa. Israel anangoja nini kumpiga iran mbona lebanon anaingia tu kila siku?unasema israel hapigani na iran ila kauliwa naslara na haniya iran ndo imerusha makombora sasa jiulize hapo ndo utapata jibu
achana na habari za kuuwawa kwa hao wanywa gongo na vizee vilivyojichokea mimi ninazungumzia vita kamili(an all out war)kati ya waajemi na wajukuu wa musa. Israel anangoja nini kumpiga iran mbona lebanon anaingia tu kila siku?unasema israel hapigani na iran ila kauliwa naslara na haniya iran ndo imerusha makombora sasa jiulize hapo ndo utapata jibu
achana na habari za kuuwawa kwa hao wanywa gongo na vizee vilivyojichokea mimi ninazungumzia vita kamili(an all out war)kati ya waajemi na wajukuu wa musa. Israel anangoja nini kumpiga iran mbona lebanon anaingia tu kila siku?unasema israel hapigani na iran ila kauliwa naslara na haniya iran ndo imerusha makombora sasa jiulize hapo ndo utapata jibu
na yeye israel si arushe tu? Anachoogopa ni nini?unasema israel hapigani na iran ila kauliwa naslara na haniya iran ndo imerusha makombora sasa jiulize hapo ndo utapata jibu
Na hizo manati (makombora) za msaada za iran zikaua mpalestina mmoja hiki zikushindwa kuu hata sisimizi wa kiyahudisasa unarusha makombora 180 alafu yote yanatunguliwa angani moja linadondokea milimani na wewe unajiita kidume?
shida iko wapi na wao israel si warushe tu makombora?unasema israel hapigani na iran ila kauliwa naslara na haniya iran ndo imerusha makombora sasa jiulize hapo ndo utapata jibu
Umewaza mbali sanaView attachment 3129191
Kama nchi Tanzania haitakuja kuendelea kamwe kama Wanajeshi/Wapiganaji wakuu wa TISS hawatakuwa wanakuwa nafasi kubwa kubwa Serikalini.
Ukiangalia Israel cabinet yote ni Watu waliowahi kumwaga damu kuilinda nchi yao... That is special
Ukikata mti unaaanza na matawi kwanza mpaka yaishe then unagusha mti woteachana na habari za kuuwawa kwa hao wanywa gongo na vizee vilivyojichokea mimi ninazungumzia vita kamili(an all out war)kati ya waajemi na wajukuu wa musa. Israel anangoja nini kumpiga iran mbona lebanon anaingia tu kila siku?
Amecontinue wapi fighr wakati alikuwa anawakimbia Vitoto vya IDF 21 Age akazame handaki lingine.. amefight wapi au ile fimbo na mashoto kama demu hahahaha.. yaani hadi drone iligeuka kutizama karusha nini huyu? kucheki fimbo drone nadhani ilicheka, mwenzio anawish angekubali makubaliano.. aliambiwa awekewe njia ahame nchi ya wayahudi akambwera akijua vita ya Hezbollah na Iran zitaidhoofisha Israel kumbe Allah yupo upande wa Israel hahahaha Allah hadeal na Magaidi wala mashabiki wake
Hahaha wanasema wamenda pima DNA kama yeye sababu askari wa Israel wanamfananisha kama yeye.
Hawafahamiki hawa siwalisema wamemuwa Yahya Sinwar toka July au April
Inatisha
Uhuru wakiwa wapi ? Kwenye nchi ya watu?uhuru wa palestina hata hiyo hujui?
we hujui historia kaa kimyaUhuru wakiwa wapi ? Kwenye nchi ya watu?