Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

View attachment 3128708

Kaka yake aliuawawa akiwa katika mission iliofanikiwa ya kuokoa hostages waliokuwa chini ya ulinzi wa idd amin dada pale Uganda.

Yeye ameendeleza harakati ya kuipigania nchi yake kishujaa kama vile alivyofanya ndugu yake.

Wengine wanasema ni mkorofi sana, mmuaaji, kiburi mtu, aggresive, manipulator, etc ila all in all atafanya yote hayo ili tu nchi yake isiwe mikononi mwa magaidi wa itikadi za kitapeli.

Benja, eeh, endeleea kuwala..
Tuko na wewe hadi wakuue.
View attachment 3128716
Amekuolea shangazi yako ama wewe ni wifi yake?
 
Amekuolea shangazi yako ama wewe ni wifi yake?
Ni mme wako.
20241018_103353.jpg
 
Acha kelele wewe hamas wa chanika

Kwenda vitani haimaniishi eti ndio shupavu

Vita ni akili

Vita sio uswahili wenu
Kwahiyo unataka ujifungie chumbani halafu uitwe shujaa?

Ushujaa hauji kwa kujifichaficha bali kuwa mstari wa mbele kwenye mapambano halisi.

Sinwar ni shujaa aliyeamua kupigania maslahi ya nchi yake dhidi ya wavamizi na utawala haramu wa Mazayuni.

Israel ni nchi uchwara iliyoundwa na UN mwaka 1948 kutumikia maslahi ya wazungu hapo mashariki ya kati.

Kwanini haushangai silaha na fedha zinapelekwa kuisaidia Israel kutoka mataifa ya ulaya na Marekani?

Jibu ni nchi feki iliyoundwa ili kuhakikisha maslahi ya ulaya na Marekani yanalindwa.
 
Hivi unadhani ukimuua Sinwar ndiyo hiyo nchi feki itakuwa na utulivu?

Hamas sio mtu bali Ideology iliyojengwa kizazi hadi kizazi na hapo atateuliwa kiongozi mwingine haraka kuliongoza kundi ndio ujue Netanyahu anachanganyikiwa akijua kumuua mtu mmoja ama 10 ndio amemaliza kazi.

Jiulize aliuliwa Haniyeh lakini Hamas haikutetereka hata kidogo na huyu amekufa ila bado vijana shababi wapo imara kabisa kuendeleza mapambano.
 
Hivi unadhani ukimuua Sinwar ndiyo hiyo nchi feki itakuwa na utulivu?

Hamas sio mtu bali Ideology iliyojengwa kizazi hadi kizazi na hapo atateuliwa kiongozi mwingine haraka kuliongoza kundi ndio ujue Netanyahu anachanganyikiwa akijua kumuua mtu mmoja ama 10 ndio amemaliza kazi.

Jiulize aliuliwa Haniyeh lakini Hamas haikutetereka hata kidogo na huyu amekufa ila bado vijana shababi wapo imara kabisa kuendeleza mapambano.
Msemaji wao kasema mateka hawatoi mpaka wapalestina walioshikwa waachiliwe.
 
Hivi unadhani ukimuua Sinwar ndiyo hiyo nchi feki itakuwa na utulivu?

Hamas sio mtu bali Ideology iliyojengwa kizazi hadi kizazi na hapo atateuliwa kiongozi mwingine haraka kuliongoza kundi ndio ujue Netanyahu anachanganyikiwa akijua kumuua mtu mmoja ama 10 ndio amemaliza kazi.

Jiulize aliuliwa Haniyeh lakini Hamas haikutetereka hata kidogo na huyu amekufa ila bado vijana shababi wapo imara kabisa kuendeleza mapambano.
akiteliwa mwingine nae ataliwa kichwa tuu unachotakiwa ujue ni kwamba wayahudi nao wanapenda vita kuliko kuishi yani wale nao vita ndo maisha yao ya kila siku
 
Kwahiyo unataka ujifungie chumbani halafu uitwe shujaa?

Ushujaa hauji kwa kujifichaficha bali kuwa mstari wa mbele kwenye mapambano halisi.

Sinwar ni shujaa aliyeamua kupigania maslahi ya nchi yake dhidi ya wavamizi na utawala haramu wa Mazayuni.

Israel ni nchi uchwara iliyoundwa na UN mwaka 1948 kutumikia maslahi ya wazungu hapo mashariki ya kati.

Kwanini haushangai silaha na fedha zinapelekwa kuisaidia Israel kutoka mataifa ya ulaya na Marekani?

Jibu ni nchi feki iliyoundwa ili kuhakikisha maslahi ya ulaya na Marekani yanalindwa.
na kwa nini wewe haushangai silaha na fedha zinapelekwa kuisaidia hamas zinatoka iran na mataifa ya kiarabu?

jibu ni kwamba waarabu hawamtaki myahudi akae hapo mashariki ya kati.. sababu ya maslahi yao ya kidini
 
Ona unavyotoa mifano ambayo haifanani.
Iran imelipua miundombinu ya kijeshi tena mingi tu.
Na haijulikani kama kuna mwanajeshi ambaye hajafa ama laa.
Usifananishe na mfano wa TV ni vitu haviendani.
Unajua gharama ya F-35 moja mkuu!??
Nenda kapige hesabu.
Usisahau kuwa Hizbollah ndani yake kuna wanajeshi wa Iran ndio wanasaidia operation za Hizbollah ndio maana unaona mpakani na Lebanon Israel anapata kibano.

Israel afanye anavyofanya asiguse raia wa Iran,akigusa raia mara hii Iran hatopiga miundombinu ya kijeshi bali atapiga raia.
raia wangapi wa iran wameuliwa na israel? nasralah ameuliwa na general wa iran au huyo sio raia wa iran? kiongozinwa hamas ameuliwa ndani ya iran na hakuuliwa peke yake walifuka na wasaidizi wa haniya, israel imeua mageneral wa iran kwenye ubalozi wao wa syria..alaf eti iran inalipiza kwa kurusha vijikombora uchwara.. makombora yote ya iran hakuna yaliyofanya mashambulizi ya maana nchini israel..pia ujue kwamba israel ilifanya shambulizi nchini iran kule isfahan..

wewe unauliwa mageneral wako eti wewe unalipiza kwa kurusha vikombora uchwara.. ulitakiwa na wewe ukaue mageneral wa israel ndo tutajua kwamba wewe ni kidume
 
Back
Top Bottom