Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kumbe kuna "jahil" mwingine anawajongelea!Hahahahahah
Huyu mwamba nakumbuka alivyokufa hezbollah walifurahi sanaaa
Maana aliwala vichwa sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuna "jahil" mwingine anawajongelea!Hahahahahah
Huyu mwamba nakumbuka alivyokufa hezbollah walifurahi sanaaa
Maana aliwala vichwa sanaa
Amekuolea shangazi yako ama wewe ni wifi yake?View attachment 3128708
Kaka yake aliuawawa akiwa katika mission iliofanikiwa ya kuokoa hostages waliokuwa chini ya ulinzi wa idd amin dada pale Uganda.
Yeye ameendeleza harakati ya kuipigania nchi yake kishujaa kama vile alivyofanya ndugu yake.
Wengine wanasema ni mkorofi sana, mmuaaji, kiburi mtu, aggresive, manipulator, etc ila all in all atafanya yote hayo ili tu nchi yake isiwe mikononi mwa magaidi wa itikadi za kitapeli.
Benja, eeh, endeleea kuwala..
Tuko na wewe hadi wakuue.
View attachment 3128716
ataliwa kichwa na nani, iran au nani? Unaota!Soon bwanako benja analiwa kichwa.
Bora tu waje maana wezi wa ng'ombe wataogopa kusensemwa.Watakimbilia Urambo hawafai kabsa hawa mazaguni
HahahahShujaa ni yule aliyesababisha kifo cha mwenzake
Hasa ukiwa mchokozi,umejaa maneno ya shombo,vita ya kisasa huijui na teknolojia imekupita kushoto.Mbona unaweza kulia mdomo juu kama punda kihongwe!Vita Mbaya Sana
Kwa hiyo wewe unachepuka naye tu?Ni mme wako.
View attachment 3128758
Nina maisha yangu hata kura sipigi 😀 😀 😀😂😂😂Kabla ya kwenda kuwapambania wana Gaza pambana kujinasua kwa maccm kwanza shekh
Wagalatia wanapiganaukraine kuna allah?
Unajidanganya , unachukia mtu anayepambania ardhi yake , uhuru wa watu wake.Na Sudan, Somalia... Hawa tunawasahau. Hatusikiii wakipigiwa kelele. Netanyau anakuja.....
View attachment 3128755
Kwahiyo unataka ujifungie chumbani halafu uitwe shujaa?Acha kelele wewe hamas wa chanika
Kwenda vitani haimaniishi eti ndio shupavu
Vita ni akili
Vita sio uswahili wenu
Unataka wakakusongee ugali?Amekuolea shangazi yako ama wewe ni wifi yake?
Hivi unadhani ukimuua Sinwar ndiyo hiyo nchi feki itakuwa na utulivu?
Msemaji wao kasema mateka hawatoi mpaka wapalestina walioshikwa waachiliwe.Hivi unadhani ukimuua Sinwar ndiyo hiyo nchi feki itakuwa na utulivu?
Hamas sio mtu bali Ideology iliyojengwa kizazi hadi kizazi na hapo atateuliwa kiongozi mwingine haraka kuliongoza kundi ndio ujue Netanyahu anachanganyikiwa akijua kumuua mtu mmoja ama 10 ndio amemaliza kazi.
Jiulize aliuliwa Haniyeh lakini Hamas haikutetereka hata kidogo na huyu amekufa ila bado vijana shababi wapo imara kabisa kuendeleza mapambano.
akiteliwa mwingine nae ataliwa kichwa tuu unachotakiwa ujue ni kwamba wayahudi nao wanapenda vita kuliko kuishi yani wale nao vita ndo maisha yao ya kila sikuHivi unadhani ukimuua Sinwar ndiyo hiyo nchi feki itakuwa na utulivu?
Hamas sio mtu bali Ideology iliyojengwa kizazi hadi kizazi na hapo atateuliwa kiongozi mwingine haraka kuliongoza kundi ndio ujue Netanyahu anachanganyikiwa akijua kumuua mtu mmoja ama 10 ndio amemaliza kazi.
Jiulize aliuliwa Haniyeh lakini Hamas haikutetereka hata kidogo na huyu amekufa ila bado vijana shababi wapo imara kabisa kuendeleza mapambano.
na kwa nini wewe haushangai silaha na fedha zinapelekwa kuisaidia hamas zinatoka iran na mataifa ya kiarabu?Kwahiyo unataka ujifungie chumbani halafu uitwe shujaa?
Ushujaa hauji kwa kujifichaficha bali kuwa mstari wa mbele kwenye mapambano halisi.
Sinwar ni shujaa aliyeamua kupigania maslahi ya nchi yake dhidi ya wavamizi na utawala haramu wa Mazayuni.
Israel ni nchi uchwara iliyoundwa na UN mwaka 1948 kutumikia maslahi ya wazungu hapo mashariki ya kati.
Kwanini haushangai silaha na fedha zinapelekwa kuisaidia Israel kutoka mataifa ya ulaya na Marekani?
Jibu ni nchi feki iliyoundwa ili kuhakikisha maslahi ya ulaya na Marekani yanalindwa.
raia wangapi wa iran wameuliwa na israel? nasralah ameuliwa na general wa iran au huyo sio raia wa iran? kiongozinwa hamas ameuliwa ndani ya iran na hakuuliwa peke yake walifuka na wasaidizi wa haniya, israel imeua mageneral wa iran kwenye ubalozi wao wa syria..alaf eti iran inalipiza kwa kurusha vijikombora uchwara.. makombora yote ya iran hakuna yaliyofanya mashambulizi ya maana nchini israel..pia ujue kwamba israel ilifanya shambulizi nchini iran kule isfahan..Ona unavyotoa mifano ambayo haifanani.
Iran imelipua miundombinu ya kijeshi tena mingi tu.
Na haijulikani kama kuna mwanajeshi ambaye hajafa ama laa.
Usifananishe na mfano wa TV ni vitu haviendani.
Unajua gharama ya F-35 moja mkuu!??
Nenda kapige hesabu.
Usisahau kuwa Hizbollah ndani yake kuna wanajeshi wa Iran ndio wanasaidia operation za Hizbollah ndio maana unaona mpakani na Lebanon Israel anapata kibano.
Israel afanye anavyofanya asiguse raia wa Iran,akigusa raia mara hii Iran hatopiga miundombinu ya kijeshi bali atapiga raia.