Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
"Sisi kama kawaida yetu tulikuwa kitaa tunawatafuta magaidi na kuwadondosha mmoja mmoja, tukawa tumefika hii sehemu tukala vichwa kadhaa. Kisha tukatuma Drone kule ndani kucheck mazingira. Ndo tukamwona fala/bwege mmoja anairushia drone fimbo. Yule mdunguwaji wetu akaona huyu fala hana akili ngoja tu ampumzishe. Kesho yake ndo tunasikia yule jamaa ni Yahya Sinwar"
Ritz Sir John Roberts Adiosamigo
Hili jambo limenisikitisha sana. . Angalau angekufa anapambana. Kafa akirushia drone fimbo? KAFA KIFALA SANA. HAKURUSHA HATA TEKE.
Ritz Sir John Roberts Adiosamigo
Hili jambo limenisikitisha sana. . Angalau angekufa anapambana. Kafa akirushia drone fimbo? KAFA KIFALA SANA. HAKURUSHA HATA TEKE.