Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

"Sisi kama kawaida yetu tulikuwa kitaa tunawatafuta magaidi na kuwadondosha mmoja mmoja, tukawa tumefika hii sehemu tukala vichwa kadhaa. Kisha tukatuma Drone kule ndani kucheck mazingira. Ndo tukamwona fala/bwege mmoja anairushia drone fimbo. Yule mdunguwaji wetu akaona huyu fala hana akili ngoja tu ampumzishe. Kesho yake ndo tunasikia yule jamaa ni Yahya Sinwar"

Screenshot_2024-10-18-17-06-51-476_com.twitter.android~2.jpg

Ritz Sir John Roberts Adiosamigo

Hili jambo limenisikitisha sana. . Angalau angekufa anapambana. Kafa akirushia drone fimbo? KAFA KIFALA SANA. HAKURUSHA HATA TEKE.
 
"Sisi kama kawaida yetu tulikuwa kitaa tunawatafuta magaidi na kuwadondosha mmoja mmoja, tukawa tumefika hii sehemu tukala vichwa kadhaa. Kisha tukatuma Drone kule ndani kucheck mazingira. Ndo tukamwona fala/bwege mmoja anairushia drone fimbo. Yule mdunguwaji wetu akaona huyu fala hana akili ngoja tu ampumzishe. Kesho yake ndo tunasikia yule jamaa ni Yahya Sinwar"

View attachment 3128789
Ritz Sir John Roberts Adiosamigo

Hili jambo limenisikitisha sana. . Angalau angekufa anapambana. Kafa akirushia drone fimbo? KAFA KIFALA SANA. HAKURUSHA HATA TEKE.
View attachment 3128790
 
Unashabikia bila ya kujua , basi hao wapalestina walitekwa tena hata watoto na israel kabla yaani mpaka April mwaka jana ...Jamaa wakajitahidi ile oktoba kukamata wale ili wapate kubadilisha mateka wenzao watoke , wewe bado unaona sawa kuwakejeli ...Fikiria mara 2 mbili 😀 😀 😀
View attachment 3128771
Hivi umesoma ulichoandika?sidhani hata kama umekielewa. Israel inapambana na watu ambao waliwachokoza kuteka na kuua watu wao. So wana haki kuwaua na wao. Wawe watoto au wazee. Wameshakufa zaidi ya wapalestine 40,000 kwa mujibu wa Al Jazeera.
 
"Ni nani anayeweza kutumaini kuwa salama? ni nani aliye na tahadhari ya kutosha?
Jilinde awezavyo, kila wakati ni shambulio." ~ Horace
 
Kama upo kiushabiki kwangu siko hivyo. siwezi shabikia watu kuuana eti tu kisa mimi ni mkristo na yule
ni mwislamu hayo ni yenu mapunguani wenye ubongo wa mavi ya nyoka. sipati faida wala hasara.
 
Kama upo kiushabiki kwangu siko hivyo. siwezi shabikia watu kuuana eti tu kisa mimi ni mkristo na yule
ni mwislamu hayo ni yenu mapunguani wenye ubongo wa mavi ya nyoka. sipati faida wala hasara.
Dini yako siiijui and i dont care. Anayeishi kwa upanga atakufa kwa upanga.period.
 
Adolf Hitler alikuwa sahihi kuwaangamiza hawa wa Israel Kwa sababu wanaua watu hovyo ambao waliwakuta kwenye ardhi yao1948
 
Hahaha wanasema wamenda pima DNA kama yeye sababu askari wa Israel wanamfananisha kama yeye.

Hawafahamiki hawa siwalisema wamemuwa Yahya Sinwar toka July au April
Kidole kimekatwa kikapelekwa kwenda kucheki Finger prints na DNA na kujulikana kuwa ni Gaidi la Ayatolah Yahaya Sinwar.

Unataka kubisha nini?!
 
raia wangapi wa iran wameuliwa na israel? nasralah ameuliwa na general wa iran au huyo sio raia wa iran? kiongozinwa hamas ameuliwa ndani ya iran na hakuuliwa peke yake walifuka na wasaidizi wa haniya, israel imeua mageneral wa iran kwenye ubalozi wao wa syria..alaf eti iran inalipiza kwa kurusha vijikombora uchwara.. makombora yote ya iran hakuna yaliyofanya mashambulizi ya maana nchini israel..pia ujue kwamba israel ilifanya shambulizi nchini iran kule isfahan..

wewe unauliwa mageneral wako eti wewe unalipiza kwa kurusha vikombora uchwara.. ulitakiwa na wewe ukaue mageneral wa israel ndo tutajua kwamba wewe ni kidume
Unaona ulivyo hutumii akili sasa!?
Kiongozi ni raia wa kawaida!?
Viongozi sio sawa na raia wa kawaida.
Tunazungumzia kumuua raia kawaida kama Israel wanavyoua raia wa Gaza mahospitalini na nyumba za makazi.
Pia kuhusu Isfahan lile shambulio lilifeli na kila mtu anajua.
Kuuawa kwa majenerali kulishalipizwa kisasi.
Na nishakwambia huko Lebanon Hizbollah kuna wanajeshi wa IRGC ambao ndio wanaongoza operations.
Na hizo drone ambazo Hizbollah wanatumia ni Iranian made.
Ni yale yale tu askari wa Israel wanauliwa indirect na Iran kama Israel inavyoua viongozi kwa kuvizia.
Ngoma droo.
Tunataka tumuone Israel akirusha mabomu kwenye makazi ya raia kama anavyorusha Gaza
Nadhani hapo utakua umenielewa.

Hao askari wa Israel wanaokufa huko kusini mwa Lebanon ni usaidizi wa Iran.
 
Hakuna cha Occupation, Kuna sababu kubwa nyingine ambayo watu wanaihepa kuizungumzia kwasababu wanazozijua wao.


Kama issue ingelikuwa ni Occupation,basi leo Hamas na Hezbollah zingelikuwa zinaishambulia Jordan pia.
maana, 77 % ya Eneo la Palestine , Jordan ilijemega na kujitangazia Uhuru wake.

Jordan ilikuwa ni Palestina pia kwenye[BRITISH MANDATE OF PALESTINE],lakini hawa wapiganie uhuru wa Palestine( kama mnavyowaita) hawana shida na Jordan iliyochukua 77 %ya eneo la Palestine. ila wanashida na Israel tu, iliyochukua kaeneo kadogo kabisa.

Ukitembea karibu na misikiti na kusikiliza mawaidha yanayohusu huu mzozo utajua why Jordan haishambuliwi na Hamas.na uko ndiyo utajua sababu HALISI,na sio hii ya OCCUPATION.
Jordan kwa miaka mingi imepokea na kuhifadhi malaki ya wakimbizi wa kipalestina waliofukuzwa kwenye ardhi zao baada ya taifa la kiyahudi kuanzishwa mwaka 1948.

Jordan imesimama bega kwa bega na Wapalestina kwa miongo kadhaa, hivyo haiwezi kushambuliwa na Hamas.
 
Warning, the news about the assassination of Hamas leader Yahya Sinwar is completely false, and the occupation's publication and circulation of this news is an attempt to collect intelligence information, and it had previously done so with leader Muhammad Deif, please be careful ⚠️
Unajipa moyo
 
— 🇮🇱/🇵🇸 NEW: Hamas leader Yahya Sinwar was found above ground, wearing a combat vest and with an AK by his side, together with two of his bodyguards

He was not hiding in a tunnel, nor was he hiding amongst civilians or Israeli hostages. He was besides his own fighters, right at the line of confrontation with the IDF.

After all these months, he was not killed by an airstrike or a targeted assassination; an Israeli soldier found his body by complete coincidence, after firing mortars at Hamas fighter in the area.

@Middle_East_Spectator

 
kama sio wazo la kijinga na october 7, 2023, huyu mzee angeendelea kula zake bata pale gaza, huku akienjoy upepo wa bahari, leo kala chuma, wakubwa wenzake wote wamekufa, gaza yote imegeuzwa mgodi, mateso ya kujitakia kabisa.
nina hakika iran ndio iliyowaingiza mkenge, pole yao.
 
Back
Top Bottom