Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Jordan kwa miaka mingi imepokea na kuhifadhi malaki ya wakimbizi wa kipalestina waliofukuzwa kwenye ardhi zao baada ya taifa la kiyahudi kuanzishwa mwaka 1948.

Jordan imesimama bega kwa bega na Wapalestina kwa miongo kadhaa, hivyo haiwezi kushambuliwa na Hamas.

SWALI LANGU NI KWAMBA:, KWANINI WAPIGANIA UHURU WA PALESTINE HAWAISHAMBULII JORDAN ILHALI JORDAN NI SEHEMU YA PALESTINE?.
 
Yeah hii ni ardhi yako baba ujafia Qatar wala dubai kama ni hela ulikua nazo na ni tajiri haswa lakini, umewapigania mpaka tone la mwisho how strong you were? Kwake tutarajea Inshaallah
 
Hahaha wanasema wamenda pima DNA kama yeye sababu askari wa Israel wanamfananisha kama yeye.

Hawafahamiki hawa siwalisema wamemuwa Yahya Sinwar toka July au April
Unashangaza sana kwa Ubishi wa kijinga, mpaka Aljazeera, vyombo vya Egypt na Palestina nao ni Waongo?
 
Hawa wapuuzi mazayuni wanadhani kuua kiongozi wa Hamas ndio solution Mbwa hawa na wakati wanajua kwamba haya makundi wanakuwaga na succession plan imara yaani kiongozi mmoja anaongoza kundi ila anakuwa na watu kibao kama wasaidizi wake na hao ndio future top leaders ikitokea kiongozi mkuu kauawa , hii ya kuua viongozi wa haya makundi sio solution ya kudumu bali ni kuhadaa wajinga tu
 
Unaona ulivyo hutumii akili sasa!?
Kiongozi ni raia wa kawaida!?
Viongozi sio sawa na raia wa kawaida.
Tunazungumzia kumuua raia kawaida kama Israel wanavyoua raia wa Gaza mahospitalini na nyumba za makazi.
Pia kuhusu Isfahan lile shambulio lilifeli na kila mtu anajua.
Kuuawa kwa majenerali kulishalipizwa kisasi.
Na nishakwambia huko Lebanon Hizbollah kuna wanajeshi wa IRGC ambao ndio wanaongoza operations.
Na hizo drone ambazo Hizbollah wanatumia ni Iranian made.
Ni yale yale tu askari wa Israel wanauliwa indirect na Iran kama Israel inavyoua viongozi kwa kuvizia.
Ngoma droo.
Tunataka tumuone Israel akirusha mabomu kwenye makazi ya raia kama anavyorusha Gaza
Nadhani hapo utakua umenielewa.

Hao askari wa Israel wanaokufa huko kusini mwa Lebanon ni usaidizi wa Iran.
cha kwanza israel harushi mabomu kwenye makazi ya raia, bali magaidi ndo wanawatumia raia kama ngao uliwata wawaache?

wewe umeongelea raia wa iran.. kufanyiwa shambulizi kwenye ubalozi wako nini? walikufa raia pia sababu jengo lotw lilivunjwa

kisasi ubachoongelea ndo yale makombora hewa au mengine? chizi kwel wewe yan mi niue raia wako alaf wew unaenda kurusha vikombora hewa?
israel inaua majenerali wa juu kabisa achia mbali hivo viwanamgambo uchwara vinauliwa kama kuku wenyeww ndo wakubahatisha ndo wanaua wanajeshi kumi wa israel kuna uwiano kweli hapo?

shambulio la isfahan lilifanikiwa ila iran ilizima media zote ili ukweli usijulikane
 
Yahya al-Sinwar continued to fight until the last drop of blood
Amecontinue wapi fighr wakati alikuwa anawakimbia Vitoto vya IDF 21 Age akazame handaki lingine.. amefight wapi au ile fimbo na mashoto kama demu hahahaha.. yaani hadi drone iligeuka kutizama karusha nini huyu? kucheki fimbo drone nadhani ilicheka, mwenzio anawish angekubali makubaliano.. aliambiwa awekewe njia ahame nchi ya wayahudi akambwera akijua vita ya Hezbollah na Iran zitaidhoofisha Israel kumbe Allah yupo upande wa Israel hahahaha Allah hadeal na Magaidi wala mashabiki wake
 
Israel Akili mingi ila Kuna watu watatu humu jf hawawezi kukubali. Nitamshauri Benjamin awalipue wenyewe ili waamini
no wanapigana na vikundi dhaifu vya wahuni wavuta bangi tu just imagine hao magaidi hawana vifaru,icbm,iron dome au david sling unashindwaje kuwaua kama kuku.
 
1000041325.jpg


Kama nchi Tanzania haitakuja kuendelea kamwe kama Wanajeshi/Wapiganaji wakuu wa TISS hawatakuwa wanakuwa nafasi kubwa kubwa Serikalini.

Ukiangalia Israel cabinet yote ni Watu waliowahi kumwaga damu kuilinda nchi yao... That is special
 
o
Tunataka tumuone Israel akirusha mabomu kwenye makazi ya raia kama anavyorusha Gaza
Nadhani hapo utakua umenielewa.

Wewe ni nani kwa israel kupanga idf ifanye vile wewe unataka? Eti unataka kuona wafanye hivi ama vile. Direction ya vita iko chini ya makamanda wa idf, Wewe utabaki hapahapa jf utapata taarifa za furaha na huzuni ya kinachoendelea kupitia Al-Jazeera na mitandaoni kisha kujadili na wana jf hapahapa.
 
no wanapigana na vikundi dhaifu vya wahuni wavuta bangi tu just imagine hao magaidi hawana vifaru,icbm,iron dome au david sling unashindwaje kuwaua kama kuku.
iran ni wavuta bangi sio? hakuna muarabu anayeweza kupigana na israel face to face mana mziki wake wanaujua na walishajaribu walichokipata wanakijua wao

anwar sadat rais wa misri alisema ukipigana na israel unapigana na ulaya nzima na hicho ndicho alichokipata kwenye six days war

..walichobaki ni kupigana nae via proxy war.. ndo mana iran anatengeneza vikundi kama hezbola na kufadhili makundi mengine ili kupambana nae indirect
 
iran ni wavuta bangi sio? hakuna muarabu anayeweza kupigana na israel face to face mana mziki wake wanaujua na walishajaribu walichokipata wanakijua wao

anwar sadat rais wa misri alisema ukipigana na israel unapigana na ulaya nzima na hicho ndicho alichokipata kwenye six days war

..walichobaki ni kupigana nae via proxy war.. ndo mana iran anatengeneza vikundi kama hezbola na kufadhili makundi mengine ili kupambana nae indirect
mbona unakurupuka kama mtu asiejitambua? Israel hapigani na iran na hajawahi kupigana na iran hata siku moja na mimi siizungumzii iran navizungumzia vikundi vya wanamgambo kama hamas,hizbullah ambavyo vinafadhiliwa na iran. Si ni juzi tu hapa iran karusha makombora 180 israel na hadi sasa hivi israel hajajibu yupo kimya unasemaje iran hawezi kupigana na israel? Iran sio waarabu na hawajawahi kuwa waarabu.
 
mbona unakurupuka kama mtu asiejitambua? Israel hapigani na iran na hajawahi kupigana na iran hata siku moja na mimi siizungumzii iran navizungumzia vikundi vya wanamgambo kama hamas,hizbullah ambavyo vinafadhiliwa na iran. Si ni juzi tu hapa iran karusha makombora 180 israel na hadi sasa hivi israel hajajibu yupo kimya unasemaje iran hawezi kupigana na israel? Iran sio waarabu na hawajawahi kuwa waarabu.
kabla ya kusema nakurupuka ulitakiwa ujiulize kamanda wa Iran aliyeuliwa wakiwa pamoja naslarah alikua anafanya nini lebanon? tumia akili za kichwani sio za matakoni, israel hajajibu we ulitaka ajibu vipi? ulitaka na yeye arushe makombora sio? acha ukichaa wewe
 
mbona unakurupuka kama mtu asiejitambua? Israel hapigani na iran na hajawahi kupigana na iran hata siku moja na mimi siizungumzii iran navizungumzia vikundi vya wanamgambo kama hamas,hizbullah ambavyo vinafadhiliwa na iran. Si ni juzi tu hapa iran karusha makombora 180 israel na hadi sasa hivi israel hajajibu yupo kimya unasemaje iran hawezi kupigana na israel? Iran sio waarabu na hawajawahi kuwa waarabu.
sasa unarusha makombora 180 alafu yote yanatunguliwa angani moja linadondokea milimani na wewe unajiita kidume?
 
Back
Top Bottom