Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

cha kwanza iran hana hypersonic misiles, ambae hadi sasa ana hypesonic duniani ni mrusi peke yake, amerca yuko kwenye majaribio ya mwisho mwisho, hao wavaa kobasi tech ya hypersonic hawana na hawawezi kua nayo ..upoo hapo shehe ubwabwa?
Huu ujinga utaacha lini!?
Nani kakudanganya Iran hana hypersonic missiles!?
Anazo na hata kombora alilorusha Houthi lilikua hypersonic kutoka kwa Iran.Iran duniani ni moja ya mataifa yenye technology kubwa katika uundaji wa missiles aina zote.
kuhusu suala la kufa vitani ni kawaida hakuna vita ambayo askari hawafi, hezbolah wao wamesema wameshaua askari 50 wa israel, israel imesema imeshaua wapiganaji 1500 wa hezbolah, sasa hapo wewe angalia nani ndo anaepewa kichapo?
Unaweza ukaleta ushahidi wa hao askari 1500 wa Hizbollah kuuawa!?
Usifananishe raia na wanamgambo.
Wanaouawa ni raia usilete habari za wanamgambo.
Kila mtu anafahamu hapa waliouawa ni raia tena Beirut baada ya zile IDF airstrikes.
cha pili hayo makombora 300 ni kama alilipiza kisasi hewa hivi mfano mimi nakupiga wewe nakuvunja taya alafu wewe unanirushia ngumi zote nazizuia sasa hapo utasema umelipiza kisasi au nimekupiga? kisasi lazima kilete madhara kama ambayo wewe umeletewa madhara? makombora ambayo iran alirusha israel ilikua ni kujitutumua tuu ili kurudisha uaminifu kwa raia wake.. lakini hakuna madhara yoyote yaliyofika..hakuna mtu aliyekufa.. yalitunguliwa angani, mengine yalidondoka hewani yenyewe yaliishiwa nguvu..sasa hicho nacho utaita kulipiza kisasi?
Acha ufala basi kupotosha taarifa.
Ndio maana nasema naongea na mtu ambaye hayuko well informed.
Shambulio la May ya drone 300 na ballistic missiles lilileta madhara katika kambi za jeshi na shambulio la Oktoba mosi la missiles 200 lilileta madhara pia hususan kambi za kijeshi.
Hakuna mtu asiyefahamu kuwa USA,UK,FRANCE na Jordan waliisaidia Israel kuzuia lile shambulio licha ya kuzuia makombora baadhi yalipita na yakaleta madhara vile vile.
Jiulize hayo mataifa yasingehusika kuzuia hayo makombora mwezi May Israel ingekua na hali gani!?
Still bado mwezi huu aliyeshiriki kuzuia ni USA peke yake umeona madhara yake kambi zimepigwa ikiwemo NEVATIM AIRBASE imepigwa tena kisawa sawa.
Huzungumzi na watoto humu.
Pia usisahau Hizbollah inapigana kwa usaidizi wa IRGC.
 
hivi viongozi wako wote wa juu wanauliwa alafu unasema unajiweza? kama kujilinda tu mwenyewe changamoto vita utaiwezea wapi? shambulio la kambi ya binyamina lilileta maafa ya wanajeshi wanne walikufa according to the media, drone ilifeli kua detected na radar, na hizo failures ni kawaida hakuna system iliyo 100% efficiency hata urusi pamoja na kua na radar kali lakini drone za ukraine hua zinapenya na kuhit target, hao wanajeshi 300 waliuliwa wapi shehe kipoozeo?
Unatuchukulia sisi watoto!?
Shambulizi la Binyamina waliuawa wanajeshi zaidi nane na majeruhi walikua makumi ya wanajeshi wa IDF.
Mbaya zaidi drone ilipita na haikuwa detected mbaka inafanya shambulio.

Kuuawa viongozi haimaanishi ninyi mko dhaifu.
Nilishatoa mfano hapa hata viongozi wa Haiti tena marais kama wawili walikua assassinated.
Viongozi huwindwa mmoja mmoja huwezi ukasema umlinde kirahisi, assassination attempts ni ngumu kulinda.
Usifananishe na full out war ambapo watu mnakinzana kwa wazi eidha kwa infantry ama mashambulizi ya anga ama ya makombora.
Hapo ndio utaona utofauti wake maana hakuna kuviziana.
 
Nasralah ameuliwa kwenye jengo wenye makazi ya kiraia akliwa kajificha chini huko.. we shehe ubwabwa umevimbiwa nini?
Ona unavyodata sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Nasrallah ni kiongozi wa chama kizima cha Hizbollah.
Na hizbollah kishakua chama cha siasa Lebanon,sasa unataka akae kambini muda wote!?
Kumuua Yoav Gallant akiwa makazi ya raia ndio justification ya kusema IDF inaficha silaha katika makazi ya raia!?
Hivi kaka unajielewa kweli!?
 
IDF walitegemea Gaza ikiwa hivyo hakuna mtu atarusha ata jiwe ila ndio kwanza anaona hajafanya kitu anapiga marudio akitoka wahuni wanatoka humo humo wanakula vichwa vifaru

Jagina......angalia muhuni alivyokata tamaa....
Yaani mumepata kiwewe kwa kupata kichapo cha watu wasio na serikali wala silaha wala jeshi wala nchi? Ukafiri ni msiba

Uislamu ni msiba.....Muhuni kakata tamaa....
 

Attachments

  • 1729629095363.png
    1729629095363.png
    1.8 MB · Views: 5
Kukata Tamaa ni dhambi ya motoni isiyo na msamaha ndio maana unaona hamas bado kashika silaha hakuna muislam anakata tamaa labda ambaye dini haijui, ndio maana ni nadra kukuta muislam alishiba dini kujinyonga
 
Ona unavyodata sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Nasrallah ni kiongozi wa chama kizima cha Hizbollah.
Na hizbollah kishakua chama cha siasa Lebanon,sasa unataka akae kambini muda wote!?
Kumuua Yoav Gallant akiwa makazi ya raia ndio justification ya kusema IDF inaficha silaha katika makazi ya raia!?
Hivi kaka unajielewa kweli!?

Kweli una kichwa maji.....Gallant kafa....? Labda kwenye ubogo wako....Hii ni October 22/ akikutana Na Blinken....Au Hata aljazeera inapropanganda...!


Live Update arrow right icon From the Liveblog of Tuesday, October 22, 2024

Gallant tells Blinken IDF will continue targeting Hezbollah, even after ground op ends​



1729630275314.png
 
IDF walitegemea Gaza ikiwa hivyo hakuna mtu atarusha ata jiwe ila ndio kwanza anaona hajafanya kitu anapiga marudio akitoka wahuni wanatoka humo humo wanakula vichwa vifaru

Nani kaliwa kichwa hasa?

1729630422476.png
 
Yaani mumepata kiwewe kwa kupata kichapo cha watu wasio na serikali wala silaha wala jeshi wala nchi? Ukafiri ni msiba

Angalia wanaoswaga kama Makondoo.....wanakimbia Jabaliya.......? Mpaka Israel afikishe 80,000!

1729630584914.png
 
Ona unavyodata sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Nasrallah ni kiongozi wa chama kizima cha Hizbollah.
Na hizbollah kishakua chama cha siasa Lebanon,sasa unataka akae kambini muda wote!?
Kumuua Yoav Gallant akiwa makazi ya raia ndio justification ya kusema IDF inaficha silaha katika makazi ya raia!?
Hivi kaka unajielewa kweli!?
naslarah aliuliwa kwenye hedquota za hezbolah tena akiwa kajificha underground na viongozi wenzake, hilo jengo ndani yake kulikua kuna comand centres na silaha ambapo jengo lote lilishushwa chini, hilo jengo lipo kwenye makazi ya kiraia..hapa bongo ushaona jeshi linajenga kwenye makazi ya kiraia? fuatilia sehem ambazo jeshi wanajenga kambi zake wewe shehe ubwabwa
 
Unatuchukulia sisi watoto!?
Shambulizi la Binyamina waliuawa wanajeshi zaidi nane na majeruhi walikua makumi ya wanajeshi wa IDF.
Mbaya zaidi drone ilipita na haikuwa detected mbaka inafanya shambulio.

Kuuawa viongozi haimaanishi ninyi mko dhaifu.
Nilishatoa mfano hapa hata viongozi wa Haiti tena marais kama wawili walikua assassinated.
Viongozi huwindwa mmoja mmoja huwezi ukasema umlinde kirahisi, assassination attempts ni ngumu kulinda.
Usifananishe na full out war ambapo watu mnakinzana kwa wazi eidha kwa infantry ama mashambulizi ya anga ama ya makombora.
Hapo ndio utaona utofauti wake maana hakuna kuviziana.
viongozi wote wameuliwa yani wewe unaona ni kawaida? tena linashuka bomu moja linaondoka na viongozi wa juu zaidi ya kumi? kweli ndo maana mnachinjwa kama kuku akili zenu bado ndogo sana
 
m
Huu ujinga utaacha lini!?
Nani kakudanganya Iran hana hypersonic missiles!?
Anazo na hata kombora alilorusha Houthi lilikua hypersonic kutoka kwa Iran.Iran duniani ni moja ya mataifa yenye technology kubwa katika uundaji wa missiles aina zote.

Unaweza ukaleta ushahidi wa hao askari 1500 wa Hizbollah kuuawa!?
Usifananishe raia na wanamgambo.
Wanaouawa ni raia usilete habari za wanamgambo.
Kila mtu anafahamu hapa waliouawa ni raia tena Beirut baada ya zile IDF airstrikes.

Acha ufala basi kupotosha taarifa.
Ndio maana nasema naongea na mtu ambaye hayuko well informed.
Shambulio la May ya drone 300 na ballistic missiles lilileta madhara katika kambi za jeshi na shambulio la Oktoba mosi la missiles 200 lilileta madhara pia hususan kambi za kijeshi.
Hakuna mtu asiyefahamu kuwa USA,UK,FRANCE na Jordan waliisaidia Israel kuzuia lile shambulio licha ya kuzuia makombora baadhi yalipita na yakaleta madhara vile vile.
Jiulize hayo mataifa yasingehusika kuzuia hayo makombora mwezi May Israel ingekua na hali gani!?
Still bado mwezi huu aliyeshiriki kuzuia ni USA peke yake umeona madhara yake kambi zimepigwa ikiwemo NEVATIM AIRBASE imepigwa tena kisawa sawa.
Huzungumzi na watoto humu.
Pia usisahau Hizbollah inapigana kwa usaidizi wa IRGC.
mzee mwenye hpersonic adi sasa kwenye dunia hii ni urusi iran technolojia ya helicopta tuu bado anatumia ya mwaka sabini hii hypesonic ya kisasa ataipatia wapi? nenda kawadanganye wavaa kobasi wenzako ule muda mnafundishana karate msikitini
 
Still you are an idiot jinga wewe.
Hizo benki zinatoa huduma za kifedha kwa raia wa Lebanon sio Hizbollah.
Hizbollah financial aid inatoka Iran mpuuzi wewe.
Silaha zinatoka Iran na kupitishwa Syria ambayo ndio command centre.
Lipua benki za biashara halafu uone nini utapata.
hela zinapitia bank au zinabebwa na masanduku? na wafanyakazi wa hezbolah hua wanalipwaje bana?
 
Hili jambo tulishalizungumzia humu hakuna mahala Hamas au Hizbollah wanatumia raia kama ngao HUU UONGO ICJ WALISHAUWEKA WAZI.
Usiniletee kelele hizi za uongo,sawa kijana!?
Wiki mbili zilizopita Hizbollah wameshambulia Kiryat Shmona wao Israel wanalipua Beirut ilhali Hizbollah wapo katika mipaka yao.
Kwa akili za kawaida utajua tu IDF inalipua makazi ya raia kimakusudi.

Nikisema we FALA NA MPUMBAVU NAKOSEA!??
Umeona damage ya makombora ya Iran ndani ya Israel!?
Pia nilishakueleza HIBZOLLAH OPERATIONS ANAZOFANYA MOJA WAPO ILE YA KWANZA ALIOUA IDF 300 WANASAIDIWA NA IRGC IRAN REVOLUTIONARY GUARDS CORPS.
Ndio maana unaona Israel inapata tabu na vifo vya askari wake wengi tu.
Iran ana njia ya kulipiza kisasi direct na indirect kupitia proxy wake,na katika hao proxy wake ameweka askari wake nguruwe pori wewe.

Hakuna media ambayo ilifungwa usitufanye sisi watoto hapa.
Hata baadhi ya makamanda wa Israel waliongea kuwa lile ni shambulio la kioga kutoka Israel na wakalaumiana wenyewe kwa wenyewe.
Huongei na mtoto hapa sawa kijana!??
shehe ubwabwa iran walizima media ili shambulio lisijulikane kama limefanyika ila sasa wenyewe wamekubali ukweli kwamba kitu kilipenya..shehe ubwabwa naona jasho limekutoka hadi kwenye makalio

soma hapo ebu
In April, the Iranian government denied an attack targeting Iranian air defences near Isfahan, but last week, Gen. Jafari, former commander of the Revolutionary Guards, admitted it took place, though he minimised its impact.
 
naslarah aliuliwa kwenye hedquota za hezbolah tena akiwa kajificha underground na viongozi wenzake, hilo jengo ndani yake kulikua kuna comand centres na silaha ambapo jengo lote lilishushwa chini, hilo jengo lipo kwenye makazi ya kiraia..hapa bongo ushaona jeshi linajenga kwenye makazi ya kiraia? fuatilia sehem ambazo jeshi wanajenga kambi zake wewe shehe ubwabwa
Alipouliwa Nasrallah ni makao makuu ya Hizbollah ila sio command centre ya Hizbollah.
Command centre haipo Beirut ipo Syria na silaha hazihifadhiwi pale.
Kwa akili zako sehemu kukiwa na handaki lazima kuwe na silaha!?
Zile tunnels ni kwasababu ya kiusalama tu ila sio kuhifadhia silaha
.
 
Back
Top Bottom