SI KWELI Kiongozi Mkuu wa North Korea asilimu kuwa Muislam

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.


Wakristo mkishaikatia tamaa dini yenu utasikia "hizi dini this, hizi dini that" kujipa moyo. Sisi tunamshukuru Allah kwa neema ya Uislam. Na Uislam ndio mfumo wa maisha ulio juu ya mifumo yote ya maisha, sio ukristo, sio uyahudi, sio uhindu, sio ubudha, sio u "atheism", sio jainism, sio Confucianism, sio Taoism, sio u feminist, sio ukomunisti, sio demokrasia wala mifumo mengine ya maisha. Uislam uko juu ya mifumo yote mengine ya maisha.

Wala hakuna haja ya propaganda ili kuueneza Uislam. Uislam ndio haki.

Namuomba Allah anifishe katika Uislam.
 
Mkuu nchi za kikuristo ni zipi hizo? au unamanisha za kishogaa?
We ni choko? Naona unapenda kuzungumzia habari za machoko hata kwenye mada zisizowahusu! Umetajiwa nchi za Kikristo zinazotawala Dunia, nawe taja za Kiislam kama zipo na zinatawala kwatika nyanja zipi?
Mijinga kama wewe ndo inayopokea tamaduni za watu kwa mgongo wa dini na kuzivaa zaidi hata ya hao waliozileta. Hapo ukute umesugua komwe mpaka limeota sugu (wenyewe mnaita sijda) ila waliokuletea dini (Waarabu) hawana huo upuuzi, wanaswali kwenye mazingira mazuri yasiyo athiri maungo yao.
 
Nilichokiandika nakijua,hakuna Mkristo mwenye maandishi uliyoandika hapa zaidi sana hakuna Mkristo duniani anayeamini ujinga ulioandika hapo juu.
 
Nilichokiandika nakijua,hakuna Mkristo mwenye maandishi uliyoandika hapa zaidi sana hakuna Mkristo duniani anayeamini ujinga ulioandika hapo juu.
Kwani kuna tofauti gani baina ya Usilamu na ukuristo ulio huru?.........naomba nikupe somo leo watu wote duniani walikua waislamu isipo kua baadhi viongozi wao walichakachua vitabu vyao nakuingiza mambo yao wengine walikata Mtume wa Mungu wa mwisho nakumtukana ndo hao tunao waita wa kuristo wa siku hizi makuffaru.
 
Hii dini inafanya propaganda za kijinga za kuieneza kama wafanyavyo watu wanaouza bidhaa zilizopitwa na wakati au zisizo na ubora
 
Bwahahah wewe nikuache!!!

Naona unatafuta appetite ya biriani la buku 3 kwangu.
 
Bwahahah wewe nikuache!!!

Naona unatafuta appetite ya biriani la buku 3 kwangu.
Mkuu umeishiwa hoja, njia ya muongo ni fupi ziku zote, huna muongozo wa maisha ndo maana mnatapatapa.
 
Inashangaza
 
Kwani waislamu sio watanzania kwamini wakimbilia nchi nyingine wakati ni jukumu lao kuakikisha kwamba nchi yao Tanzania pia inakua ya kiislamu kwa 100% nani asio taka pepo ya Allah.
Kwenda zako huko kaa na imani yenu ya kibabe
 
Bullshit.
 
Hata ikiwa ni kweli amekuwa Muislamu siamini kama anaweza kuishi katika misingi ya dini hasa katika kuhakikisha haki imetamalaki ndani ya nchi yake pia nasikia ni mlevi sana kitu ambacho dini hairuhusu.
 
Huyo anatapatapa tu maana siku zake zinahesabika. Mungu anaenda kuingilia kati utawala wa Korea Kaskazini na Uamsho mkubwa utatokea na Wakorea kumjua Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wao. Hivyo hivyo kwa nchi za kiislamu. Mungu hana upendeleo. Watu waliodanganywa kwa muda mrefu na Ukomunist na Uislamu wanakwenda kuona Nuru Kuu!
 
Hata ikiwa ni kweli amekuwa Muislamu siamini kama anaweza kuishi katika misingi ya dini hasa katika kuhakikisha haki imetamalaki ndani ya nchi yake pia nasikia ni mlevi sana kitu ambacho dini hairuhusu.
Imani ya Dini hubadili tabia za watu anaweza kuacha hizo tabia zote na akawa muumini mzuri sanaa.
 
Mkuu be careful na hasa picha maana video hiyo ni muunganiko wa picha si video ambayo unaona kashika Quran, siku hizi ni rahisi generate picha.
Mfano hii ni picha niliyoigenerate kwa sekunde 15 kwa kutumia AI ningeweza kuiphotoshop kwa kutumia picha yake mwenyewe ila nilitaka tu kukuonyesha mfano. Covax
 
Habari mbaya sana kwa kobazi na kanzu. Takbirrrr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…