SI KWELI Kiongozi Mkuu wa North Korea asilimu kuwa Muislam

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kwa hiyo anaitwa Abuobakar Jong Un..
 
Sasa taarifa kaileta Covax mnahangaika kuithibitisha, wanajf wote tunajua huyu mfia dini hana taarifa za kweli , kidogo yule kijana Malaria 2 anaetumia AI huwa anajitahidi.
 
Uislam bila Uongo huwa hauwezi hata kutembea kutoka Kimara Korogwe hadi Baruti.
Uongo ni kama mafuta kwenye gari ya Uislam.
 
Kuna dini eti unaruhisiwa kusema uongo ukiwa unaitetea🤣🤣🤣🤣. Which translate kwamba inawezekana hata dini yenyewe ni uongo au ni mchongo wa watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…