Tetesi: Kiongozi mwandamizi ajitolea kumtetea Mbowe mahakamani asema hata Mkapa alimtetea Profesa Mahalu pale ilipolazimu!

Tetesi: Kiongozi mwandamizi ajitolea kumtetea Mbowe mahakamani asema hata Mkapa alimtetea Profesa Mahalu pale ilipolazimu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiongozi mmoja mstaafu aliyehudumu katika awamu ya kwanza hadi ya nne na ambaye hayati Magufuli alisema Rekodi yake haitavunjwa amesema atamtetea Freeman Mbowe mahakamani endapo Peter Kibatala atatoa baraka zake.

Mstaafu huyo amesema anamjua Freeman na anaijua Chadema lakini pia anazijua fitna za Wanasiasa wenye ngozi nyeusi.

Mzee huyo amedai ilikuwa ngumu sana mzee Mkapa kumtetea Mahalu ila alipomaliza aliwapa wosia mzito.
 
Siku hizi tunaujua u - mafia wa ma- CCM, wanajipanga kumtuma mamluki ili ammalize mwamba…..
 
Hakuna ubaya akitoa ushahidi wake endapo mawakili wa utetezi wataridhishwa na dhamiri yake
 
Huyo Magu ndio kituvo cha huu uovu unaoendelea leo hii.
Chadema wote ni wajingaa sana ,mm niliwaambia sana wasifurahie kifo cha JPM bila kujua kwanza kama kauliwa au la, maana ikiwa kauliwa wajue kuwa watapitia kwenye mambo mabaya maana walio usika kwenye hilo tukio awawezi kukubali katiba mpya wala kitu chochote kinachoweza kuatarisha usalama wao na familia zao kwenye hiyo soft mapinduzi
 
Kufurahia kufa kwa shetani mmoja siyo ujinga, mashetani wengine wanaunafuu hata wanakubali kuketi meza moja na malaika ishara kuwa ipo siku watakujakubadilika na kuongea lugha moja na malaika.
Magufuli naye alikaa meza moja na Mbowe Mwanza kwenye uwanja wa CCM kwenye ufunguzi wa sherehe za kitaifa. Hapo vipi?
 
Kufurahia kufa kwa shetani mmoja siyo ujinga, mashetani wengine wanaunafuu hata wanakubali kuketi meza moja na malaika ishara kuwa ipo siku watakujakubadilika na kuongea lugha moja na malaika.
[emoji120]Haya bhana!

[emoji871]Mlipewa Sabaya na akachukuwa Mbowe.

[emoji871]Mmepewa mazungumzo, Mbowe amepata kesi ya kujibu.

[emoji871]Mama anajua kucheza na akili zenu.

[emoji871]Halafu muda kidogo huko mbele Sabaya atapata msamaha.
 
Mahakama ya Tanzania Haina ubavu wa kumuita raisi aliyeko madarakani kizimbani narudia tena Haina ubavu huo.

Raisi ni muhimili uliojichimbia sana kuliko yote.

Hii mihimili mingine Bunge/Mahakama ni vivuli tu vya Serikali.

Ndio maana Serikali ikisikia neno"katiba Mpya" inashikwa na tumbo la kuendesha!
 
Kiongozi mmoja mstaafu aliyehudumu katika awamu ya kwanza hadi ya nne na ambaye hayati Magufuli alisema Rekodi yake haitavunjwa amesema atamtetea Freeman Mbowe mahakamani endapo Peter Kibatala atatoa baraka zake.

Mstaafu huyo amesema anamjua Freeman na anaijua Chadema lakini pia anazijua fitna za Wanasiasa wenye ngozi nyeusi.

Mzee huyo amedai ilikuwa ngumu sana mzee Mkapa kumtetea Mahalu ila alipomaliza aliwapa wosia mzito.

Mtaje sasa !!!
 
Back
Top Bottom