Tetesi: Kiongozi mwandamizi ajitolea kumtetea Mbowe mahakamani asema hata Mkapa alimtetea Profesa Mahalu pale ilipolazimu!

Tetesi: Kiongozi mwandamizi ajitolea kumtetea Mbowe mahakamani asema hata Mkapa alimtetea Profesa Mahalu pale ilipolazimu!

WIVU ni kitu kibaya sana, kuna watu wakiona mtu yuko safi wanataka kumchafua SASA yule mzee na haya mambo wapi? na wapi ?


hii si habari nzuri huu uzi ufutwe.
 
[emoji120]Haya bhana!

[emoji871]Mlipewa Sabaya na akachukuwa Mbowe.

[emoji871]Mmepewa mazungumzo, Mbowe amepata kesi ya kujibu.

[emoji871]Mama anajua kucheza na akili zenu.

[emoji871]Halafu muda kidogo huko mbele Sabaya atapata msamaha.
Mamlaka kumfunga Sabaya ni kumsaidia na kumlinda maana mtaani sidhani kama angedumu
 
Mamlaka kumfunga Sabaya ni kumsaidia na kumlinda maana mtaani sidhani kama angedumu
[emoji871]Kina Adamoo walikwisha kamatwa na wako ndani wao na Bosi wa mipango yote Mbowe.

[emoji871]Nani tena angemdhuru Sabaya huko uraiani?

[emoji871]Kesi ya Sabaya ni mpango wa Mbowe na mkwe wake yule DPP Kweka.

[emoji871]Engineer wa yoote ni Hamduni.

[emoji871]Mmetuulia mama yetu Mghwira kwa Pressure ya njama za kumfunga Sabaya na kumchafua yeye kwa Samia

[emoji871]Wacha Mwamba nae ajue maana ya nipe nikupe.
 
Principal moja kubwa sana ya maisha inayotakiwa kuzingatiwa na mtu yeyote yule anapokuwa anaishi mahali POPOTE PALE DUNIANI: Usjaribu kufanya kitu chochote kile ambacho kinaweza kuifanya SERIKALI ikaingia kazini. Usiipe kazi SERIKALI; bali iache SERIKALI yenyewe ikupe wewe kazi, kama itaona kuwa unafaa kupewa kazi
 
[emoji871]Kina Adamoo walikwisha kamatwa na wako ndani wao na Bosi wa mipango yote Mbowe.

[emoji871]Nani tena angemdhuru Sabaya huko uraiani?

[emoji871]Kesi ya Sabaya ni mpango wa Mbowe na mkwe wake yule DPP Kweka.

[emoji871]Engineer wa yoote ni Hamduni.

[emoji871]Mmetuulia mama yetu Mghwira kwa Pressure ya njama za kumfunga Sabaya na kumchafua yeye kwa Samia

[emoji871]Wacha Mwamba nae ajue maana ya nipe nikupe.
Inaelekea una habari na uko well informed. Unafaa sana kuisaidia Jamhuri kutekeleza jukumu la kuiweka jamii kwenye mstari!!
 
Mahakama ya Tanzania Haina ubavu wa kumuita raisi aliyeko madarakani kizimbani narudia tena Haina ubavu huo.

Raisi ni muhimili uliojichimbia sana kuliko yote.

Hii mihimili mingine Bunge/Mahakama ni vivuli tu vya Serikali.

Ndio maana Serikali ikisikia neno"katiba Mpya" inashikwa na tumbo la kuendesha!
Kwa ujla, hiyo inayoitwa mihimili ni idara za Rais, ndiyo maana watendaji wake wakuu wote anawateua yeye.
 
Nilikua naongea na rafiki yangu mmoja wakili wa serikali leo, nikamuuliza naona mmeamua kumpoteza mbowe, akasema hatofungwa ila anapewa jamba jamba kwanza ili awe na heshima kwa mamlaka. Kaniambia hiyo kesi jaji na mawakili wa serikali wote wana maelekezo kutoka juu ya nini cha kumfanya mbowe.
 
Jaji alikuwa nazo hukumu zote mbili mfukoni mwake.Hukumu moja tayari yaani wana kesi ya kujibu ya pili itakuwa ile ya kifungo.Nawapongeza mawakili wa.utetezi ambao wamekuwa wavumilivu na kuendelea kukusanya details ambazo zitawaidia.kwenda mahakama ya rufaa.Kuanzia shahidi wa kwanza hadi yule wa kumi.na tatu ambaye aligeuza vyoo vya mahakama kuwa sehemu yake.ya kupumzika kwa.kukwepa maswali .hakuna hata mmoja aliyeleta ushahidi wa kuwatia hatiani watuhumiwa .Hata siku ile ya kufunga ushahidi wao.alikuwa na uwezo kutoa hukumu maana hukumu.alikuwa nayo.
 
Kiongozi mmoja mstaafu aliyehudumu katika awamu ya kwanza hadi ya nne na ambaye hayati Magufuli alisema Rekodi yake haitavunjwa amesema atamtetea Freeman Mbowe mahakamani endapo Peter Kibatala atatoa baraka zake.

Mstaafu huyo amesema anamjua Freeman na anaijua Chadema lakini pia anazijua fitna za Wanasiasa wenye ngozi nyeusi.

Mzee huyo amedai ilikuwa ngumu sana mzee Mkapa kumtetea Mahalu ila alipomaliza aliwapa wosia mzito.
Mbona unakiwa na mambo ya kike kwa kuongeza mafumbo,so useme tu kuwa Ni CHENGE
 
Back
Top Bottom