Kiongozi Mwandamizi wa CHADEMA akutana na Kikwete, Kinana na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Hana akili ya kukuelewa
 
na mkicheza anafungwa hivyohivyo kimchongo mwenzenu ateseke nyie na uenyekiti mumnyang'anye
Lissu analeta uanaharakati katika vitu vinavyohitaji hekima.

Yeye hakubaki humuhumu nchini na kuishinikiza serikali imhakikishie usalama wake Ila anadhani anaweza kuishinikiza serikali hiyohiyo imuachie Mbowe bila masharti wakati imeshaamua kucheza faulo!

Busara, Busara, Busara
Siyo kila kitu kinahitaji uanaharakati
 
Sasa wanahangaika nini? Ohh mara chadema hawakuhudhuria mkutano ooh sijui wamenuna?. Nyie si mlisema ni Gaidi??

Onyesheni ugaidi wake sasa sio muombe kuombwa msamaha[emoji28][emoji28][emoji28]
Ndo maana tunataka kesi iendelee mahakamani ili ijulikane mbivu na mbichi.
 
Ya Jiwe muachie Jiwe. Mama hana shida kabisa shida iko kwa CDM, kundi la wahuni
MAMA Ni muhusika na huu umbambikiaji. Lazima mjue HAKUNA MWANADAMU ANAJUTA KWA KUONEWA KWA HIYO KUMUONEA MBOWE USITEGEMEE KUWA ATAJUTA. MSHAMFANYIA MABAYA MENGI TU KWA UONEZI HAJAJUTA MPAKA MKAMPA UGAIDI SASA. Unamtetea mama kwa lipi? Mbona Magufuli alimtoa babu seya mlipombambikia kesi na kumfunga?. Mama anahusika na ndiyo maana alijikanyaga alipojojiwa na bbc
 
Huijui serikali vizuri mzee, Mbowe ni takataka tu, Aliuawa MKURUGENZI WA TAIFA MSTAAFU KISA KUMSHABIKIA MREMA, SEMBUSE HUYO CHIZI WENU MAKENGEZA MBOWE?? Hivi nyie mkisikia SERIKALI ina mkono mrefu huwa mnaelewa nini??
Tuliza makalio creche...
 
Hii kamba DO hayupo bongo
 
Hivi kumbe hukuitoa ile mimba ya Sabaya? Miaka 30 mingi utamlea mtoto kama singo mama...
Tatizo lako unafikiri kila mtu alipigwa mimba na sabaya kama ulivyo wewe
 
Hii ndio inafanya wasifute hiyo kesi, we unadhani wao ni wajinga? Hivi unadhani serikali kama ingekuwa na nia mbaya na Mbowe so hata wangemtengenezea ajali?? Hivi huwa mnawaza kwa kutumia nini??
Ajali ni mambo ya kizamani enzi za akina Dube.

Hii ni dunia ya kidigitali bwashee!
 
Yaani ashachafuka,,na nadhani hawatakuja wakurupuke Tena kuwapa viongozi wa Chadema Bogus cases
Tangu hili li case lianze watu Hadi wameanza kumshambulia mno wamesahau na mazuri yote awafute kazi wahuni waliomuingiza mkenge kwenye hii case aisee
 
Huijui serikali vizuri mzee, Mbowe ni takataka tu, Aliuawa MKURUGENZI WA TAIFA MSTAAFU KISA KUMSHABIKIA MREMA, SEMBUSE HUYO CHIZI WENU MAKENGEZA MBOWE?? Hivi nyie mkisikia SERIKALI ina mkono mrefu huwa mnaelewa nini??

Aisee. Dunia inaenda mbio. Hii sio classified information tena? Waliotengeneza assassination ile wote hawapo. Mzee wa Kiraracha naye keshafifia.

Hakuna mkono mrefu. It’s plain cold blooded murder by state tyranny. It’s a no brainer. Serikali inaweza kuua mtu yeyote mahali popote na kusingizia chochote. Hakuna wa kuhoji. Ni kitu cha kujivunia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…